MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Tunaisi labda mume wake kule anaweza kuwa ndo kikwazo.
Itakua anazuia maana hawakawii kupasha kiporo, dogo aachwe akue ipo siku atamsaka mama yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaisi labda mume wake kule anaweza kuwa ndo kikwazo.
Angeachana nae tu kama hamtaki mtoto mambo ya siwe mengi baadae mtoto akifanikiwa aache shobo huyo mzazi asije akaanza tamaa ooh mwananguKuna Kaka yangu mmoja kutoka kwa Baba mkubwa alizaa na mwanamke mmoja miaka kama 12 hivi iliyopita. Ila hawakufanikiwa kuwa pamoja baada ya mtoto kufikisha miaka 4 mama yake alimleta kwa Baba yake na kumpa na kumwambia yeye anaolewa kapata Bwana mpya.
Basi kaka yangu huyu akamchukua mtoto wake. Na yeye akaoa baadae.
Sasa ishu ni hii sasa yafika miaka 8 dogo hajawahi kumuona mama yake tangu anamika 4. Kwa sasa anamika 12 yupo darasa la 6. Kuna kipindi dogo alikuwa anahitaji kuwa karibu na mama yake. Maana viashiria alikuwa anaonyesha anamuitaji mama yake.
Ila jamaa yangu akimpigia mama yake simu wanaishia kuongea tuu na mtoto. Wazazi wake wakamwambia ongea na mzazi mwenzio awe anamtembelea hata 1 wiki moja, ila mwezie wala hana time kabisa.
Sasa msaada jamani hii ishu kama ni wewe ilikukuta au ndugu au rafiki uliisolve vipi ishu kama hii. Msaada jamani.
Sio mke wangu ni bro wangu kwa Baba mkubwa.Vipi huyo mkeo anam treat namna gani huyo mtoto?
Kabisa naunga mkono hoja 👍👏Wanawake wakishatuchezea wanaume wanatutelekeza kama hivi. Ni kawaida yao siku hizi. Jamaa amueleze tu ukweli dogo kuwa mama yake alimtelekeza hapo
Haja ipo kwa manufaa ya saikolojia ya mtoto.Haina haja
Yes.Yani nyumbani kwake ambako anapoishi na mume wake?
Hapo tatizo mwanaume yupi?Mwanaume ukikosa maamuzi na msimamo mbele ya mwanamke basi ni upumbavu wa hali ya juu
Unajua mkuu mama yake kule ni maisha mazuri kinoma. Mume wake anapesa huwaga wanasafiri hata china uturuki kwenda kuchukua bidhaa za biashara zao.Angeachana nae tu kama hamtaki mtoto mambo ya siwe mengi baadae mtoto akifanikiwa aache shobo huyo mzazi asije akaanza tamaa ooh mwanangu
Watu wengine huwa hawajitambui. Au anataka kula viporo kwa gia ya mtoto wewe Record ManEeh muacheni atunze ndoa yake akiachika mtamuoa? Mtoto yuko sehemu salama akikua atamtafuta mama ake
Mwenye kosa ni nani hapo.Mwanaume ukikosa maamuzi na msimamo mbele ya mwanamke basi ni upumbavu wa hali ya juu
Katika hali,tabia na instincts za kawaida,hasa kwa mwanamke,ni ngumu kupenda kwa hiyari awe mbali na mtoto wake.Kuna sababu fiche ya "kiintelijensia"! Si bure.Baba mtoto amueleze mama mtoto hitaji la mtoto waziwazi.Asiikie jibu.Na yawezekana huyo mwanamke alimdanganya mumewe wa sasa kwamba hana mtoto.Watulie wasimuharibie ndoa yake.Tunaisi labda mume wake kule anaweza kuwa ndo kikwazo.
Mkuu hio kesi sio yangu ni bro wangu upande wa baba mkubwa.Watu wengine huwa hawajitambui. Au anataka kula viporo kwa gia ya mtoto wewe Record Man
Ni mwanao naonaSawa ila dogo anamuitaji mama yake sometime hata na machozi anatoa anataka mama yake .
Mama yake yupo dsm yeye yupo dodoma.
Duh kazi ipo huyo mama ampendi tu mwanae alimtelekeza baba yake angemwambia tu mwanae mama yako alikukimbiaUnajua mkuu mama yake kule ni maisha mazuri kinoma. Mume wake anapesa huwaga wanasafiri hata china uturuki kwenda kuchukua bidhaa za biashara zao.
Niliambiwa wanamiliki mpk V8 cruiser hizi. Maisha yao ni fresh sana kuliko hata baba yake huku dodoma.
Sasa tunaamini labda mama yake anaogopa asije kuaribu mahusiano na mume wake.
Wote kwa pamoja ,hivi umtoe mke kijijini unahudumia familia yake how anakupandishia sauti!?Hapo tatizo mwanaume yupi?
Mwenye mtoto au aliyo oa mama mwenye mtoto?
Mnatafuta sababu jmaa akapashe kiporo au vipi?.Tunaisi labda mume wake kule anaweza kuwa ndo kikwazo.
Ili wakaharibu ndoa yake kisha JF waanze kutukana single mothers. Wewe unaweza ruhusu mtoto wako akalale kwa mume mwenzio ambaye hujuani nae wala hujui tabia yake?Majibu mnayo sijui mnataka tushauri nini?
Hapo baba mtoto amuhoji kiujanja mama wa mtoto anuani ya makazi yake kisha mtoto akifikisha miaka 12 ampe nauli akamsalimie mama yake siku 5 tu arudi kwa baba yake.
Mama analinda ndoa yake, kwake ndoa muhimu kuliko mtoto wake damu yake. Analinda maokoto yake pia.
Kweli ni Bro wako upande wa baba mkubwa wa mkubwa wa mama yako wa nji jirani kabisa na Tanzania... Ni wako tuMkuu hio kesi sio yangu ni bro wangu upande wa baba mkubwa.