Mlioko kwenye ndoa na watoto wenu wa nje, Mnalitatuaje hili swala?? Msaada jamani naombeni....

Mlioko kwenye ndoa na watoto wenu wa nje, Mnalitatuaje hili swala?? Msaada jamani naombeni....

Watatafuta namna njema ya kuweka mizania sawa.Penye wengi hapaharibiki jambo.
20230928_093431.jpg
 
Itakuwa huyo Mwanamke alificha kuwa ana mtoto,huwa sio rahisi kwa Mama kumuacha Mtoto.
Hata hivyo ninamuonea huruma huyo jamaa aliye muoa huyo Mwanamke-atakuwa analiwa timing ya kuondoshwa duniani na huyo Mama ili badaye aishi na watoto wake wote.
20230928_093431.jpg
 
Endapo mtoto analelewa vizuri na mama wakambo bora kuendelea kata mawasiliano na mwenza wa zamani

kwa maisha ya sasa mkikutana mtaanza oneana aibuu .... mara manapongezana et J amekuwaa mkubwaa eee tumelea /tumekuza ..... mnaishia kujozanaa ..shenzi kabsaa
 
Endapo mtoto analelewa vizuri na mama wakambo bora kuendelea kata mawasiliano na mwenza wa zamani

kwa maisha ya sasa mkikutana mtaanza oneana aibuu .... mara manapongezana et J amekuwaa mkubwaa eee tumelea /tumekuza ..... mnaishia kujozanaa ..shenzi kabsaa
Kama mama mtoto hana habari na mtoto wake iwe kwa hiyari yake au shinikizo la mumewe,ni vema kumuacha aendelee na maisha yake.Yafaa nini kusumbuana?Watafute tu namna ya kumpanga mtoto asiwasumbue.
 
Eeh muacheni atunze ndoa yake akiachika mtamuoa? Mtoto yuko sehemu salama akikua atamtafuta mama ake
Atamtafuta kwa lipi ili Hali anamkwepa kuonana naye? huyo mama hajitambui huwezi kumkwepa mwanao wa kumzaa kisa eti unabembeleza ndoa kesho na keshokutwa unaachika na huyo bwana kwa sababu za kipuuzi tu, , ningekuwa mm ndio baba wa huyo mtoto nampiga pin mazima mtoto asionane na mama yake ikiwezekana nasingizia umekufa kabisa , hiki ndio chanzo Cha watoto kutokuwa na Upendo na wazazi wao
 
Atamtafuta kwa lipi ili Hali anamkwepa kuonana naye? huyo mama hajitambui huwezi kumkwepa mwanao wa kumzaa kisa eti unabembeleza ndoa kesho na keshokutwa unaachika na huyo bwana kwa sababu za kipuuzi tu, , ningekuwa mm ndio baba wa huyo mtoto nampiga pin mazima mtoto asionane na mama yake ikiwezekana nasingizia umekufa kabisa , hiki ndio chanzo Cha watoto kutokuwa na Upendo na wazazi wao

Ndo wanchotakiwa kufanya kumpiga pin na si kuanza kuhangaika kumtafuta huyo mama, kama ameweza kumiacha akiwa na 4 yrs means hana umuhimu au anajua kua yuko sehemu salama lakini pia hatujui upande wa pili wa story kuna nini
 
Welfare ya mtoto mmoja iharibu welfare ya watoto wengine kwenye ndoa?
Kwanini mtoto akalale kwa baba wa kambo unaona inaingia akilini. Risk ni kubwa kuliko faida. Mtoto atembelewe mama, sio yeye akamtembelee mama
Kuna kitu hujakiona.
Kama mume ana wivu mtoto wa mkewe akimtembelea mama yake, Je, wivu utakuwa mkubwa kiasi gani akisikia mkewe kamtembelea mwanawe kwa mwanaume aliye zaa naye?
 
Welfare ya mtoto mmoja iharibu welfare ya watoto wengine kwenye ndoa?
Kwanini mtoto akalale kwa baba wa kambo unaona inaingia akilini. Risk ni kubwa kuliko faida. Mtoto atembelewe mama, sio yeye akamtembelee mama
Kama mama hawezi au hataki au haruhusiwi kumtembelea mtoto, ni haki mtoto aharibikiwe maisha sababu ya msingi wa mawazo? Anaweza behave vibaya kiasi cha kuharibu maisha yake hata kujiua?

Unafikiri no sawa kuchagua nani Kati ya watoto wako atengwe na wengine wawe na maisha mazuri ya furaha?
Mtoto alikuomba umlete duniani?
 
Kuna kitu hujakiona.
Kama mume ana wivu mtoto wa mkewe akimtembelea mama yake, Je, wivu utakuwa mkubwa kiasi gani akisikia mkewe kamtembelea mwanawe kwa mwanaume aliye zaa naye?
Nimekuuliza swali ambalo hujibu.

Mfano wewe umezaa na mwanamke mkaachana kisha akaenda uko kwingine akaolewa na Makanyaga ambaye hujawahi kumuona wala humjui. Unaweza ruhusu mwanao unayeishi nae aende uko kwa Makanyaga alale siku tano ili amuone mama yake kama ulivyoshauri hapa?
 
Kama mama hawezi au hataki au haruhusiwi kumtembelea mtoto, ni haki mtoto aharibikiwe maisha sababu ya msingi wa mawazo? Anaweza behave vibaya kiasi cha kuharibu maisha yake hata kujiua?

Unafikiri no sawa kuchagua nani Kati ya watoto wako atengwe na wengine wawe na maisha mazuri ya furaha?
Mtoto alikuomba umlete duniani?
Kama mama hataki kumtembelea mtoto wake unadhani kumpakia mtoto aende kama parcel ndio kutaleta upendo?

Wewe unatazama furaha ya mtoto, mimi natazama usalama wa mtoto. Kama kwako furaha na kujifurahisha ni bora kuliko usalama basi tusiende mbali. Mtoto akienda uko baba yake wa kambo akamjeruhi?
Huyo baba mnajua tabia yake mpaka mumpe majukumu ya kupokea mtoto wa kufikia?

Ni jambo moja tu lifanyike, mwanamke ndio aandae mazingira ya kumuona mwanae iwe kwa bibi, shuleni, mtaani, mahakamani, kanisani au wapi. Ila sio mtoto atumwe kwa stepfather
 
Back
Top Bottom