Mlioko kwenye ndoa na watoto wenu wa nje, Mnalitatuaje hili swala?? Msaada jamani naombeni....

Mlioko kwenye ndoa na watoto wenu wa nje, Mnalitatuaje hili swala?? Msaada jamani naombeni....

Nimekuuliza swali ambalo hujibu.

Mfano wewe umezaa na mwanamke mkaachana kisha akaenda uko kwingine akaolewa na Makanyaga ambaye hujawahi kumuona wala humjui. Unaweza ruhusu mwanao unayeishi nae aende uko kwa Makanyaga alale siku tano ili amuone mama yake kama ulivyoshauri hapa?
Makanyanga ni mtazamo wako. Anaweza kuwa mtu mzuri tu. Ikilazimu kapange lodge jirani unampeleka asubuhi unaenda mchukua jioni kwa muda wa siku 3 Hadi 5 kutegemea na muda na uwezo kiuchumi.
Determined parents will do that for their kids.

Talking about me.
Mimi kitu cha kwanza nikizaa na mwanamke nitafanya kila niwezalo watoto wetu wapate malezi ya baba na mama.
Nitajitoa muhanga (sacrifice) hisia zangu au starehe zangu mradi nitimize hilo.
I would go far even to forgive adultery.
Ikitokea nimeshindwa basi nitampa mtoto wangu haki ya kumsalimia mama yake popote itakapo lazimu nimpeleke.

Unajua hisia za kutaka kumfahamu au kukaa na baba au mama kama haujakuwa karibu naye kimalezi?

Unawasikia wenzio tu habari ya mama au baba.
Never underestimate that feeling. Ni kwa vile hujui tu how it feels and how it may affect a teenager pyschologically.
 
Mimi kitu cha kwanza nikizaa na mwanamke nitafanya kila niwezalo watoto wetu wapate malezi ya baba na mama.
Mama akiolewa na mwingine afu ndo hivyo nae jamaa ataki mkewe akutane na mzazi mwenzie na mtoto kuja kwake. Utaisolve vipi hio.
 
Maana kuna dada mmoja namjua alizalia home kwao mtoto akabaki home kwa bibi na babu yeye akaenda kuolewa baba mtomi mitini tangu mimba.
 
Mama akiolewa na mwingine afu ndo hivyo nae jamaa ataki mkewe akutane na mzazi mwenzie na mtoto kuja kwake. Utaisolve vipi hio.
Kwani hakuna mahakama ya kumlazimisha mama aonane na watoto wake angalau kwa mwezi mara moja?
Ustawi wa jamii wanafanya kazi gani?
 
Kuna Kaka yangu mmoja kutoka kwa Baba mkubwa alizaa na mwanamke mmoja miaka kama 12 hivi iliyopita. Ila hawakufanikiwa kuwa pamoja baada ya mtoto kufikisha miaka 4 mama yake alimleta kwa Baba yake na kumpa na kumwambia yeye anaolewa kapata Bwana mpya.

Basi kaka yangu huyu akamchukua mtoto wake. Na yeye akaoa baadae.

Sasa ishu ni hii sasa yafika miaka 8 dogo hajawahi kumuona mama yake tangu anamika 4. Kwa sasa anamika 12 yupo darasa la 6. Kuna kipindi dogo alikuwa anahitaji kuwa karibu na mama yake. Maana viashiria alikuwa anaonyesha anamuitaji mama yake.

Ila jamaa yangu akimpigia mama yake simu wanaishia kuongea tuu na mtoto. Wazazi wake wakamwambia ongea na mzazi mwenzio awe anamtembelea hata 1 wiki moja, ila mwezie wala hana time kabisa.

Sasa msaada jamani hii ishu kama ni wewe ilikukuta au ndugu au rafiki uliisolve vipi ishu kama hii. Msaada jamani.
Kule alikoolewa amesema Hana mtoto kabisa . Kwahiyo ni ngumu kukubaliana anaogopa kuachika kama alidanganya kwenye hiyo ndoa mpya . Ndio maisha yalivyo hivi siku hizi.
 
Kwani hakuna mahakama ya kumlazimisha mama aonane na watoto wake angalau kwa mwezi mara moja?
Ustawi wa jamii wanafanya kazi gani?
Sijajua kama ustawi wa jamii wanaweza fanya hivyo.
 
Kule alikoolewa amesema Hana mtoto kabisa . Kwahiyo ni ngumu kukubaliana anaogopa kuachika kama alidanganya kwenye hiyo ndoa mpya . Ndio maisha yalivyo hivi siku hizi.
Mume wake anajua hilo kuwa anamtoto.
 
wamama wengine rohombaya tuu.
kunajirani aliachiwa kichanga Cha miezi minne.
bidada alimfuata mshkaji kazini akamwambia nishikie mtoto maramoja nakuja akaondoka hakurudi tena.jamaa aliteseka sana kumtunza yule kichanga aisee jinsi alivyokuwa analía.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
M to to avumilie tu atakuja siku kumuona maisha yanabadilikaga mama atajileta mwenyewe.
 
Back
Top Bottom