Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Itakuwa huyo Mwanamke alificha kuwa ana mtoto,huwa sio rahisi kwa Mama kumuacha Mtoto.
Hata hivyo ninamuonea huruma huyo jamaa aliye muoa huyo Mwanamke-atakuwa analiwa timing ya kuondoshwa duniani na huyo Mama ili badaye aishi na watoto wake wote.
Hata hivyo ninamuonea huruma huyo jamaa aliye muoa huyo Mwanamke-atakuwa analiwa timing ya kuondoshwa duniani na huyo Mama ili badaye aishi na watoto wake wote.