Mlioko kwenye ndoa na watoto wenu wa nje, Mnalitatuaje hili swala?? Msaada jamani naombeni....

Mlioko kwenye ndoa na watoto wenu wa nje, Mnalitatuaje hili swala?? Msaada jamani naombeni....

Itakuwa huyo Mwanamke alificha kuwa ana mtoto,huwa sio rahisi kwa Mama kumuacha Mtoto.
Hata hivyo ninamuonea huruma huyo jamaa aliye muoa huyo Mwanamke-atakuwa analiwa timing ya kuondoshwa duniani na huyo Mama ili badaye aishi na watoto wake wote.
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Kuna Kaka yangu mmoja kutoka kwa Baba mkubwa alizaa na mwanamke mmoja miaka kama 12 hivi iliyopita. Ila hawakufanikiwa kuwa pamoja baada ya mtoto kufikisha miaka 4 mama yake alimleta kwa Baba yake na kumpa na kumwambia yeye anaolewa kapata Bwana mpya.

Basi kaka yangu huyu akamchukua mtoto wake. Na yeye akaoa baadae.

Sasa ishu ni hii sasa yafika miaka 8 dogo hajawahi kumuona mama yake tangu anamika 4. Kwa sasa anamika 12 yupo darasa la 6. Kuna kipindi dogo alikuwa anahitaji kuwa karibu na mama yake. Maana viashiria alikuwa anaonyesha anamuitaji mama yake.

Ila jamaa yangu akimpigia mama yake simu wanaishia kuongea tuu na mtoto. Wazazi wake wakamwambia ongea na mzazi mwenzio awe anamtembelea hata 1 wiki moja, ila mwezie wala hana time kabisa.

Sasa msaada jamani hii ishu kama ni wewe ilikukuta au ndugu au rafiki uliisolve vipi ishu kama hii. Msaada jamani.
Je huyo dada alishamwambia mumewe kama ana mtoto
 
Mna

Ili wakaharibu ndoa yake kisha JF waanze kutukana single mothers. Wewe unaweza ruhusu mtoto wako akalale kwa mume mwenzio ambaye hujuani nae wala hujui tabia yake?
Huyo mama ndio amfuate mtoto sio mtoto amfuate mama
Ndoa muhimu kuliko welfare ya mtoto?
Huo ni ubinafsi wa hali ya juu. Kwanini walimleta duniani kama walitaka waishi kwa Raha na starehe Bila bughudha ya mtoto?
Basi wamwambie mama yake amekufa au yupo mbali sana nje ya nchi.
 
Katika hali,tabia na instincts za kawaida,hasa kwa mwanamke,ni ngumu kupenda kwa hiyari awe mbali na mtoto wake.Kuna sababu fiche ya "kiintelijensia"! Si bure.Baba mtoto amueleze mama mtoto hitaji la mtoto waziwazi.Asiikie jibu.Na yawezekana huyo mwanamke alimdanganya mumewe wa sasa kwamba hana mtoto.Watulie wasimuharibie ndoa yake.
Sijui ila nafikili anajua hilo maana mtu si anaenda kujitambulisha kwao.
Au vipi
 
Katika hali,tabia na instincts za kawaida,hasa kwa mwanamke,ni ngumu kupenda kwa hiyari awe mbali na mtoto wake.Kuna sababu fiche ya "kiintelijensia"! Si bure.Baba mtoto amueleze mama mtoto hitaji la mtoto waziwazi.Asiikie jibu.Na yawezekana huyo mwanamke alimdanganya mumewe wa sasa kwamba hana mtoto.Watulie wasimuharibie ndoa yake.
Ila kama ni kweli itakuwaje baadae hio issue.
 
Mnatafuta sababu jmaa akapashe kiporo au vipi?.

Kwani mtoto hapo si anakaa na mama wa kambo? Sio mama?
Mtoto kuna kipindi analia anamuitaji mama yake , sasa ishu ni kumpandisha kwenye basi mpk dsm mama anampokea kwani shida iko wapi.
 
Mna

Ili wakaharibu ndoa yake kisha JF waanze kutukana single mothers. Wewe unaweza ruhusu mtoto wako akalale kwa mume mwenzio ambaye hujuani nae wala hujui tabia yake?
Huyo mama ndio amfuate mtoto sio mtoto amfuate mama
Hivi kweli mume anaweza mruhusu mkewe aje kwa mzazi mwenzie kwa kisingizio cha mtoto kweli.
 
Je huyo dada alishamwambia mumewe kama ana mtoto
Nafikili maana mtoto alikuwa anaishi na mama yake dsm.
Wazazi wa huyo dada wanaishi iringa.
Naamini kipindi wanakutana na mume wake kipindi cha uchumba alikuwa anamuona mtoto maana alikuwa anakaa nae nyumba moja.
 
Ndoa muhimu kuliko welfare ya mtoto?
Huo ni ubinafsi wa hali ya juu. Kwanini walimleta duniani kama walitaka waishi kwa Raha na starehe Bila bughudha ya mtoto?
Basi wamwambie mama yake amekufa au yupo mbali sana nje ya nchi.
Welfare ya mtoto mmoja iharibu welfare ya watoto wengine kwenye ndoa?
Kwanini mtoto akalale kwa baba wa kambo unaona inaingia akilini. Risk ni kubwa kuliko faida. Mtoto atembelewe mama, sio yeye akamtembelee mama
 
Itakuwa huyo Mwanamke alificha kuwa ana mtoto,huwa sio rahisi kwa Mama kumuacha Mtoto.
Hata hivyo ninamuonea huruma huyo jamaa aliye muoa huyo Mwanamke-atakuwa analiwa timing ya kuondoshwa duniani na huyo Mama ili badaye aishi na watoto wake wote.
Ngoja nimuulize kama jamaa yangu hapa kwanza
 
Welfare ya mtoto mmoja iharibu welfare ya watoto wengine kwenye ndoa?
Kwanini mtoto akalale kwa baba wa kambo unaona inaingia akilini. Risk ni kubwa kuliko faida. Mtoto atembelewe mama, sio yeye akamtembelee mama
Mkuu kuna mwanaume ataruhusu mkewe aendee kwa mzazi mwenzie.
 
Mkuu kuna mwanaume ataruhusu mkewe aendee kwa mzazi mwenzie.
Kwamba kila anapokwenda mkeo huwa unajua. Umemfunga GPS?
Ndio maana mnakufa siku sio zenu, kwahiyo unakaa hapa unaamini sehemu zote mkeo ameenda unazijua na ambazo ulikataza basi hakwenda
 
Majibu mnayo sijui mnataka tushauri nini?
Hapo baba mtoto amuhoji kiujanja mama wa mtoto anuani ya makazi yake kisha mtoto akifikisha miaka 12 ampe nauli akamsalimie mama yake siku 5 tu arudi kwa baba yake.

Mama analinda ndoa yake, kwake ndoa muhimu kuliko mtoto wake damu yake. Analinda maokoto yake pia.
Labda hujaelewa mtoto ana miaka 12tayari
 
Je huyo dada alishamwambia mumewe kama ana mtoto
20230928_093431.jpg
 
Back
Top Bottom