Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Je huyo dada alishamwambia mumewe kama ana mtotoKuna Kaka yangu mmoja kutoka kwa Baba mkubwa alizaa na mwanamke mmoja miaka kama 12 hivi iliyopita. Ila hawakufanikiwa kuwa pamoja baada ya mtoto kufikisha miaka 4 mama yake alimleta kwa Baba yake na kumpa na kumwambia yeye anaolewa kapata Bwana mpya.
Basi kaka yangu huyu akamchukua mtoto wake. Na yeye akaoa baadae.
Sasa ishu ni hii sasa yafika miaka 8 dogo hajawahi kumuona mama yake tangu anamika 4. Kwa sasa anamika 12 yupo darasa la 6. Kuna kipindi dogo alikuwa anahitaji kuwa karibu na mama yake. Maana viashiria alikuwa anaonyesha anamuitaji mama yake.
Ila jamaa yangu akimpigia mama yake simu wanaishia kuongea tuu na mtoto. Wazazi wake wakamwambia ongea na mzazi mwenzio awe anamtembelea hata 1 wiki moja, ila mwezie wala hana time kabisa.
Sasa msaada jamani hii ishu kama ni wewe ilikukuta au ndugu au rafiki uliisolve vipi ishu kama hii. Msaada jamani.
Ndoa muhimu kuliko welfare ya mtoto?Mna
Ili wakaharibu ndoa yake kisha JF waanze kutukana single mothers. Wewe unaweza ruhusu mtoto wako akalale kwa mume mwenzio ambaye hujuani nae wala hujui tabia yake?
Huyo mama ndio amfuate mtoto sio mtoto amfuate mama
Yani aiende nyumbani kwa mtu🤣🤣🤣Yes.
Sijui ila nafikili anajua hilo maana mtu si anaenda kujitambulisha kwao.Katika hali,tabia na instincts za kawaida,hasa kwa mwanamke,ni ngumu kupenda kwa hiyari awe mbali na mtoto wake.Kuna sababu fiche ya "kiintelijensia"! Si bure.Baba mtoto amueleze mama mtoto hitaji la mtoto waziwazi.Asiikie jibu.Na yawezekana huyo mwanamke alimdanganya mumewe wa sasa kwamba hana mtoto.Watulie wasimuharibie ndoa yake.
Ila kama ni kweli itakuwaje baadae hio issue.Katika hali,tabia na instincts za kawaida,hasa kwa mwanamke,ni ngumu kupenda kwa hiyari awe mbali na mtoto wake.Kuna sababu fiche ya "kiintelijensia"! Si bure.Baba mtoto amueleze mama mtoto hitaji la mtoto waziwazi.Asiikie jibu.Na yawezekana huyo mwanamke alimdanganya mumewe wa sasa kwamba hana mtoto.Watulie wasimuharibie ndoa yake.
Mtoto kuna kipindi analia anamuitaji mama yake , sasa ishu ni kumpandisha kwenye basi mpk dsm mama anampokea kwani shida iko wapi.Mnatafuta sababu jmaa akapashe kiporo au vipi?.
Kwani mtoto hapo si anakaa na mama wa kambo? Sio mama?
Hivi kweli mume anaweza mruhusu mkewe aje kwa mzazi mwenzie kwa kisingizio cha mtoto kweli.Mna
Ili wakaharibu ndoa yake kisha JF waanze kutukana single mothers. Wewe unaweza ruhusu mtoto wako akalale kwa mume mwenzio ambaye hujuani nae wala hujui tabia yake?
Huyo mama ndio amfuate mtoto sio mtoto amfuate mama
Nafikili maana mtoto alikuwa anaishi na mama yake dsm.Je huyo dada alishamwambia mumewe kama ana mtoto
Welfare ya mtoto mmoja iharibu welfare ya watoto wengine kwenye ndoa?Ndoa muhimu kuliko welfare ya mtoto?
Huo ni ubinafsi wa hali ya juu. Kwanini walimleta duniani kama walitaka waishi kwa Raha na starehe Bila bughudha ya mtoto?
Basi wamwambie mama yake amekufa au yupo mbali sana nje ya nchi.
Ngoja nimuulize kama jamaa yangu hapa kwanzaItakuwa huyo Mwanamke alificha kuwa ana mtoto,huwa sio rahisi kwa Mama kumuacha Mtoto.
Hata hivyo ninamuonea huruma huyo jamaa aliye muoa huyo Mwanamke-atakuwa analiwa timing ya kuondoshwa duniani na huyo Mama ili badaye aishi na watoto wake wote.
Mkuu kuna mwanaume ataruhusu mkewe aendee kwa mzazi mwenzie.Welfare ya mtoto mmoja iharibu welfare ya watoto wengine kwenye ndoa?
Kwanini mtoto akalale kwa baba wa kambo unaona inaingia akilini. Risk ni kubwa kuliko faida. Mtoto atembelewe mama, sio yeye akamtembelee mama
Mama kumfuata mtoto sio lazima awe kwa babaHivi kweli mume anaweza mruhusu mkewe aje kwa mzazi mwenzie kwa kisingizio cha mtoto kweli.
Kwamba kila anapokwenda mkeo huwa unajua. Umemfunga GPS?Mkuu kuna mwanaume ataruhusu mkewe aendee kwa mzazi mwenzie.
Labda hujaelewa mtoto ana miaka 12tayariMajibu mnayo sijui mnataka tushauri nini?
Hapo baba mtoto amuhoji kiujanja mama wa mtoto anuani ya makazi yake kisha mtoto akifikisha miaka 12 ampe nauli akamsalimie mama yake siku 5 tu arudi kwa baba yake.
Mama analinda ndoa yake, kwake ndoa muhimu kuliko mtoto wake damu yake. Analinda maokoto yake pia.
Watatafuta namna njema ya kuweka mizania sawa.Penye wengi hapaharibiki jambo.Ila kama ni kweli itakuwaje baadae hio issue.
Je huyo dada alishamwambia mumewe kama ana mtoto
Kuweka mizani sawa kivipi?mizania sawa
Haijalishi hiyo.Watu huficha taarifa kama hizi kwa mawazo yao tu hafifu.Sijui ila nafikili anajua hilo maana mtu si anaenda kujitambulisha kwao.
Au vipi