Blood of Jesus Christ
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 538
- 984
Kabisa maana asipokua na.msimamo tena wataanza oohh single mamas hivi single mamas vile.Eeh muacheni atunze ndoa yake akiachika mtamuoa? Mtoto yuko sehemu salama akikua atamtafuta mama ake
Mwanaume mwenye akili hawez kuacha mkewe eti akaonane na mzazi mwenzie huko chaka. Huku ni kutafutiana mabalaa na kutumiana majiniNa hapa ndonapopata ukakasi.......huyo jamaa yako kuna analotafuta wala si mtoto kumuona mama
Mkuu dogo kuna kipindi alikuwa anataka kuonana na mana yake.Na hapa ndonapopata ukakasi.......huyo jamaa yako kuna analotafuta wala si mtoto kumuona mama
Tatzo liko hapo KE hana shida tatzo ni mumewe hajapenda boga na uwa lake
Makanyanga ni mtazamo wako. Anaweza kuwa mtu mzuri tu. Ikilazimu kapange lodge jirani unampeleka asubuhi unaenda mchukua jioni kwa muda wa siku 3 Hadi 5 kutegemea na muda na uwezo kiuchumi.Nimekuuliza swali ambalo hujibu.
Mfano wewe umezaa na mwanamke mkaachana kisha akaenda uko kwingine akaolewa na Makanyaga ambaye hujawahi kumuona wala humjui. Unaweza ruhusu mwanao unayeishi nae aende uko kwa Makanyaga alale siku tano ili amuone mama yake kama ulivyoshauri hapa?
Mama akiolewa na mwingine afu ndo hivyo nae jamaa ataki mkewe akutane na mzazi mwenzie na mtoto kuja kwake. Utaisolve vipi hio.Mimi kitu cha kwanza nikizaa na mwanamke nitafanya kila niwezalo watoto wetu wapate malezi ya baba na mama.
Kwani hakuna mahakama ya kumlazimisha mama aonane na watoto wake angalau kwa mwezi mara moja?Mama akiolewa na mwingine afu ndo hivyo nae jamaa ataki mkewe akutane na mzazi mwenzie na mtoto kuja kwake. Utaisolve vipi hio.
Kule alikoolewa amesema Hana mtoto kabisa . Kwahiyo ni ngumu kukubaliana anaogopa kuachika kama alidanganya kwenye hiyo ndoa mpya . Ndio maisha yalivyo hivi siku hizi.Kuna Kaka yangu mmoja kutoka kwa Baba mkubwa alizaa na mwanamke mmoja miaka kama 12 hivi iliyopita. Ila hawakufanikiwa kuwa pamoja baada ya mtoto kufikisha miaka 4 mama yake alimleta kwa Baba yake na kumpa na kumwambia yeye anaolewa kapata Bwana mpya.
Basi kaka yangu huyu akamchukua mtoto wake. Na yeye akaoa baadae.
Sasa ishu ni hii sasa yafika miaka 8 dogo hajawahi kumuona mama yake tangu anamika 4. Kwa sasa anamika 12 yupo darasa la 6. Kuna kipindi dogo alikuwa anahitaji kuwa karibu na mama yake. Maana viashiria alikuwa anaonyesha anamuitaji mama yake.
Ila jamaa yangu akimpigia mama yake simu wanaishia kuongea tuu na mtoto. Wazazi wake wakamwambia ongea na mzazi mwenzio awe anamtembelea hata 1 wiki moja, ila mwezie wala hana time kabisa.
Sasa msaada jamani hii ishu kama ni wewe ilikukuta au ndugu au rafiki uliisolve vipi ishu kama hii. Msaada jamani.
Sijajua kama ustawi wa jamii wanaweza fanya hivyo.Kwani hakuna mahakama ya kumlazimisha mama aonane na watoto wake angalau kwa mwezi mara moja?
Ustawi wa jamii wanafanya kazi gani?
Mume wake anajua hilo kuwa anamtoto.Kule alikoolewa amesema Hana mtoto kabisa . Kwahiyo ni ngumu kukubaliana anaogopa kuachika kama alidanganya kwenye hiyo ndoa mpya . Ndio maisha yalivyo hivi siku hizi.
Shukuru Mungu hukumuoa. Huyo ana problem zake binafsiMume wake anajua hilo kuwa anamtoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wamama wengine rohombaya tuu.
kunajirani aliachiwa kichanga Cha miezi minne.
bidada alimfuata mshkaji kazini akamwambia nishikie mtoto maramoja nakuja akaondoka hakurudi tena.jamaa aliteseka sana kumtunza yule kichanga aisee jinsi alivyokuwa analía.