Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Na hapa alimuingia Kibwengo magufuli kupitia Nani?

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Jee, ni kweli Mtanzania kufanya kazi nzuri ya kushawishi uwekezaji nchini kwa kupitia African Development Bank ilibidi Mtanzania huyo aende Marekani, na kwa siku zote hizo? Hebu tujuze vizuri ilivyokuwa.
 
Rostam ni mpiga dili tu, na mwenye kujipenyeza penye utawala uliojaa wapiga dili!

Tujitahidi kudai katiba mpya ili tuepuke mabilionea wapiga dili wanaoishia kuumiza walio wengi ili kujineemesha
 
Jee, ni kweli Mtanzania kufanya kazi nzuri ya kushawishi uwekezaji nchini kwa kupitia African Development Bank ilibidi Mtanzania huyo aende Marekani, na kwa siku zote hizo? Hebu tujuze vizuri ilivyokuwa.
Kabla sijakujibu nieleze tu! Umeshawai safiri nje ya Geita?
 
Rostam ni mpiga dili tu, na mwenye kujipenyeza penye utawala uliojaa wapiga dili!

Tujitahidi kudai katiba mpya ili tuepuke mabilionea wapiga dili wanaoishia kuumiza walio wengi ili kujineemesha
Tupe ushahidi wa upigaji wa Rostam! Aliwai fungwa na mahakama ipi?
 
Hata ukifoka kama ng'ombe haisaidii.

Rostam ni jizi la kawaida sana kama majizi mengine madogo madogo.

Ni kibwengo kama vibwengo wengine wanaotumikia mashetani ya CIA.
Acha kelele dogo! Weka uthibitisho wa wizi wa Rostam na kutumika kwake na CIA
 
Sisi watanzania tunashida Sana mtu unasifia mhindi eti ni tajiri wa Tanzania kweli? Alafu unataja mabilionea wa nchi nyingine ambao wao ni asili kabisa sio kanjibai kama huyu rostam alafu umekalisha kende kusubiri maendeleo? Ama kweli alietuloga kafa
 
Nimezaliwa 1980! Kipi sijakiona? Tupe ushahidi wa huo wizi wa Rostam

Tanzania hatuna shida ya hela na Mali kusimamiwa na nani! Sie tunataka ajira, kodi na Uchumi kukua!
Hata kama ulizaliwa wakati huo umekuwa huoni wala kufikiri kwasababu ya kulemazwa na UCHAWA!
Uchumi hauwezi kukua kwa Hawa wanao chuma Tanzania na kuwekeza DUBAI ! Usijidanganye. Uchumi wetu utakuwa tukiwa na wawekezaji wa kweli wanao rudisha faida kwa kuwekeza humu humu nchini badala ya kuficha nje kama wakina MO!
 
Sisi watanzania tunashida Sana mtu unasifia mhindi eti ni tajiri wa Tanzania kweli? Alafu unataja mabilionea wa nchi nyingine ambao wao ni asili kabisa sio kanjibai kama huyu rostam alafu umekalisha kende kusubiri maendeleo? Ama kweli alietuloga kafa
Wewe ndo Nyerere aliwaita makabulu! Una uthibitisho wa uhindi wa Rostam?

Kwa iyo waarabu wote wa Tabora, shinyanga na Sumbawanga sio Watanzania?
 
Taifa Gas ipo Dubai? Tigo ipo Dubai? Zantel ipo Dubai? Caspian ipo Dubai?

Samahani au nikuulize tu! Umeishia darasa la ngapi?
 
Huyu paka anategemea kanjibay amletee maendeleo jinga kabisa hili
 
Utafoka sana na hayo mavibwengo yako yanayotumikia mashetani.

Hizi sio zama za kale.
Acha kelele dogo! Tupe uthibitisho!

Kama huna Nenda kanisani au msikitini ukaombewe roho na akili za Kumasi kuni na kichawi zikutoke
 
Wewe ndo Nyerere aliwaita makabulu! Una uthibitisho wa uhindi wa Rostam?

Kwa iyo waarabu wote wa Tabora, shinyanga na Sumbawanga sio Watanzania?
Wewe mjinga wapi uliwahi kusikia mtanzania mwenye asili ya India? Au Iran au china? Huko shule ulienda kusoma ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…