Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!

Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji

Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas

Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini

Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa

Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu

Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea

Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi

Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.

Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuibadili haraka sana Tanzania kiuchumi


View attachment 2207616
Wanawekeza nini..?
 
Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!

Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji

Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas

Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini

Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa

Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu

Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea

Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi

Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.

Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuibadili haraka sana Tanzania kiuchumi


View attachment 2207616

Katika nchi yenye maskini wengi, kuwepo kwa tajiri mmoja, ambaye anakuwa na sauti kuhusu wapi kuwekeza, hakuna shaka ni kuongeza idadi ya maskini.

Mimi bado naamini Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, kwa "state dictatorship" ni suluhisho la umaskini katika jamii. UBEPARI NI UNYAMA
 
Rostam Aziz ndiye aliyekuwa Archtect wa wizi wa fedha kule BoT enzi ya Mkapa wakati huo marehemu Daudi Balali akiwa Gavana. Alifanikisha mpango wake kwa kumuingia Rais Mkapa nakuwa karibu nae kwa kumtumia aliyekuwa Balozi Ruhinda . Amefanikiwa kumuingia Samia kwa kupitia Kikwete hivyo tutegemee ufisadi mkubwa!
Hela yote ya uchaguzi mkuu 2025 itaibwa Kutoka serikalini na kumpelekea ccm kupitia makampuni ya Rostam.
Mwendazake aliwaaminisha watu kua matajiri wote ni wezi, wengine wanaitwa freemason[emoji23][emoji23][emoji23] umaskini ni m'baya sana
 
Pengine ulikuwa hujazaliwa lakini nyie msio kuwa na akili mnadhani anawasaidia kumbe he is capitalizing on your dumbness.
Rostam is a crook. Nendeni U-Tube mkamsikilize marehemu Mengi alivyowaumbua Hawa wezi.
Halafu mnaIona connection ya Rostam, waziri wa kilimo Bashe na hizo fedha Hangaya alizomdhamini Rostam zinazokwenda kilimo kusimamiwa na mtoto wa Rostam ; Hussein Bashe?
AMKENI SIO SHWARI TENA.
Kuna watu mlitamani wasiwepo lkn kwa uongozi wa magu kama angekua fisadi asingemuacha salama.
 
Katika nchi yenye maskini wengi, kuwepo kwa tajiri mmoja, ambaye anakuwa na sauti kuhusu wapi kuwekeza, hakuna shaka ni kuongeza idadi ya maskini.

Mimi bado naamini Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, kwa "state dictatorship" ni suluhisho la umaskini katika jamii. UBEPARI NI UNYAMA
100% Truth,
 
Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!

Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji

Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas

Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini

Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa

Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu

Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea

Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi

Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.

Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuibadili haraka sana Tanzania kiuchumi


View attachment 2207616
Na ukienda nchini Uganda kuna Mtu anaitwa Mukwano ( japo siyo Jina lake Halisi ) ila ndiyo Mhinci Tishio kwa Utajiri, Biashara na Uwekezaji nchini humo.

Sina shaka na Mtazamo wako kuhusu hizi Hoja zako ambazo kwa angle nyingine ya Kifikra naweza Kukubaliana nazo kwa 75%, ila ulichosahau tu ni kwamba Rekodi ya Matendo ya Rostam hasa katika Siasa, anaoshirikiana na hata Yeye pia Kuhusishwa katika Kashfa kadhaa za Ufisadi hapa Tanzania ndizo zinewatisha Watu waliohoji na wanaomtilia Shaka na nakuomba hata Usiwalaumu au Usiwashangae kwani hata Wao wana Hoja zenye Mantiki juu yake.
 
Katika nchi yenye maskini wengi, kuwepo kwa tajiri mmoja, ambaye anakuwa na sauti kuhusu wapi kuwekeza, hakuna shaka ni kuongeza idadi ya maskini.

Mimi bado naamini Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, kwa "state dictatorship" ni suluhisho la umaskini katika jamii. UBEPARI NI UNYAMA
Wapi duniani iyo siasa imefanikiwa na kuondoa umasikini? Nipe mfano wa nchi mbili tu?
 
Na ukienda nchini Uganda kuna Mtu anaitwa Mukwano ( japo siyo Jina lake Halisi ) ila ndiyo Mhinci Tishio kwa Utajiri, Biashara na Uwekezaji nchini humo.

Sina shaka na Mtazamo wako kuhusu hizi Hoja zako ambazo kwa angle nyingine ya Kifikra naweza Kukubaliana nazo kwa 75%, ila ulichosahau tu ni kwamba Rekodi ya Matendo ya Rostam hasa katika Siasa, anaoshirikiana na hata Yeye pia Kuhusishwa katika Kashfa kadhaa za Ufisadi hapa Tanzania ndizo zinewatisha Watu waliohoji na wanaomtilia Shaka na nakuomba hata Usiwalaumu au Usiwashangae kwani hata Wao wana Hoja zenye Mantiki juu yake.
Hata Yesu na Mtume SAW walitiliwa shaka. Rostam ni nani asitiliwe shaka?
 
Mwendazake aliwaaminisha watu kua matajiri wote ni wezi, wengine wanaitwa freemason[emoji23][emoji23][emoji23] umaskini ni m'baya sana
Kati ya vitu vya kumuomba Mungu , usiache kumuomba Mungu akuepushe na akili ya kimaskini na umaskini!
 
JPM alijikita kutengeneza masikini wengi ili baadae wampe kura
Kutengeneza masikini? Wakati ukoo wenu umejaa umaskini kabla ya uhuru. Nyie wapumbavu msijifanye mna pesa au mnajua pesa wakati mnatoka na kuishi kwenye umaskini. Hii nchi imejaa umaskini na wanyonge mpende au msipende.
 
Kutengeneza masikini? Wakati ukoo wenu umejaa umaskini kabla ya uhuru. Nyie wapumbavu msijifanye mna pesa au mnajua pesa wakati mnatoka na kuishi kwenye umaskini. Hii nchi imejaa umaskini na wanyonge mpende au msipende.
Haya, nenda ukiriguru Sasa ukapumzike
 
Kutengeneza masikini? Wakati ukoo wenu umejaa umaskini kabla ya uhuru. Nyie wapumbavu msijifanye mna pesa au mnajua pesa wakati mnatoka na kuishi kwenye umaskini. Hii nchi imejaa umaskini na wanyonge mpende au msipende.
Wao wanapenda kutengeneza Nchi yenye tabaka la watwana na mabwana !! Ndio lengo lao !!!
 
Mtapata tabu sana mnaomshambulia marehemu !! Sasa kila MTU mnamwita sukuma gang !!
Na ndio maana mlishaambiwa kwamba nendeni kwa Ground mkajionee jinsi watu walivyommiss mwendazake !! Acheni kubwabwaja nyuma ya keyboards zenu ! !!
 
Back
Top Bottom