Mlionitukana niliposema kuwa ndani ya Simba SC kuna tatizo kubwa, rudini tena mnitukane

Mlionitukana niliposema kuwa ndani ya Simba SC kuna tatizo kubwa, rudini tena mnitukane

Yote kwa yote unaugomvi binafsi na Babra kama ule wa Manara na Karia..na unahamishia ugomvi wako uwe kwa wote.
 
Mimi MINOCYCLINE kama mwana Simba SC Mwandamizi Jamiiforums nakubali kuwa sina Akili na wana Simba SC wote nao hawana Akili.
Ukishakuwa huna akili huwezi kuwa na akili ya kutambua wenye akili na wasio nazo. Taahira hana utambuzi wala uwezo wa uchambuzi.
 
Haiingii Akilini Kocha Mkuu umemtafuta Mwenyewe na Dela lako Mchongoko na Miguu yako ya Fito na Mwili wa Fidodido tena Ukatuhakikishia ni bonge la Kocha halafu leo ghafla tu mnaachana nae.

Maumivu ya Kutuletea Kocha Mzoa Taka wa Jijini Madrid aliyekuwa akifundisha Real Madrid ya Temeke Mwembe Yanga ambaye pia Ulimpamba na kusema alifanya Kazi na Zidane hayajaisha leo tena unarudia Kosa lile lile.

Leo nimeamini hakuna Mashabiki Wapumbavu kama Sisi wa Simba SC ( nami nikiwemo ) kwani kwa ninavyowajua Yanga SC walivyo na wasivyovumilia Upuuzi leo hii hiki Kifidodido cha Mo Dewji kingewatambua na Kingeondoka mazima.

Nilisema na leo narudia tena kuwa Yanga SC kwa Msimu huu ni Bingwa tena na tarehe 23 Oktoba 2022 Simba SC atafungwa na Yanga SC na hata huko CAFCL tunatolewa ndani ya Mechi moja au ya pili tu.

Simba SC wote Hatuna Akili.....!!!!!!!!!
Wewe mbona tunakujua kuwa ni mpenzi wa wananchi!!
 
Hata sasa watakutukana tu
Anatukanwa kwa kutumia lugha ya kishenzi wala siyo kwa sababu ya hoja zake. Huyu jamaa anajiona anajua kila kitu na ukihitilafiana naye lazima uyakoge matusi. Ni mpuuzi fulani tu ambaye ana dalili zote za mtu ambaye dish limeyumba.
 
Back
Top Bottom