Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hii
kuna dawa za asili ambazo zinasaidia kuondoa hiyo shida ya mwanamke mwenye mji mengi. Pia ziko za kusaidia mwenye uke mkavu uwe na majimaji. Hata mwanamke asiesikia nyege dawa zipo
 
Hii hali ihifadhi baadae tutaitumia kama reference pale atakapokuwa haloeshi godoro... Penzi jipya huwa tamu sana
 
Jambo Dogo Hilo Huhitaji Kuhaha Sana
Inabidi Upate Godoro Halafu Nunua Nylon Kama Ile Unayoikuta Kwenye Vitanda Vya Hospital, Unaitandika Hapo Halafu Muda Wa Zoezi Mnakuwa Na Kitambaa Safi



Usije Kuona Kama Ni Ajabu
Ukifika Bunazi, Kemondo Bay, Rwamishenyi, Nkwenda, Kyerwa, Omurushaka, Kayanga, Ngara
Huwezi Shangaa Utaona Kawaida Sana
Iweeee bojooo!!
 
Asee dunia haina usawa, Dodoma tunahangaika maji huko mnayarusha kweny mashuka?
 
Samahani napata wapi hizi cover kwa dar tafadhali,natanguliza shukrani
 
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hii
Ni vema mngepata watoto kwani itakuwa ni rahisi kusingizia wao kuwa wamekojoa kitandani ila wakikua sasa ndiyo shida, ushauri wangu kwenu inabidi mnapo gegedana muwe mnalala sakafuni ili iwe rahisi kwenu kupiga deki.
 
Tukirusha maji shida tusiporusha shida pia🤔
Jamaa anafurahia tuu hilo bwawa la mwalimu Nyerere, ila anatafuta namna ya kudhibiti mafuriko.
Kumwagiwa yale mafuriko raha sana, tàtizo haya mashuka na godoro.
 
Sasa mkuu tufanyie chini?
Ila una bahati aisee, nikipata wa hivyo nitashukuru kweli.
Magadoro mengi tuu yana plastic covers. Tafuta ma mataulo makubwa Kama 10 hivi yanatosha.
Yale maji ya moto yanatia raha sana wakati anakumwagia.
 
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hii
Aisee mwache huyo mwanamke mara moja atakutia hasara, naomba unipe connection yake aje nyumbani nimseme, tabia gani hii?
 
Ila una bahati aisee, nikipata wa hivyo nitashukuru kweli.
Magadoro mengi tuu yana plastic covers. Tafuta ma mataulo makubwa Kama 10 hivi yanatosha.
Yale maji ya moto yanatia raha sana wakati anakumwagia.
Hakuna haja ya kuweka mataulo kitandani, awe tu na madebe au magunia kadhaa ya mchanga chumbani ili wakitaka kugegedana wanamwaga mchanga kitandani kulilinda godoro lisiharibike haraka.
 
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hii
..........
 
Back
Top Bottom