Em tuambie hapo shuleni anayepokea mshahara mdogo n kiasi gn ili angalau kuwatia moyo hawa waalimu wasiotaka usaili π2038 ndo mwaka wa kuachana na ualimu,Hadi nastaafu nitakuwa na mshahara WA 3M kama mkuu wa idara,harafu mtu anakuja kudanya umma kuwa mshahara mdogo
Hapo c bado miaka kama 30 tuu, kwahy n michache.Uko mbali waambie wakupunguzie Mzee nasi tule hiyo kekiπ€£
Hyo ya kwangu..Oh bc safi, bc screenshot nyingi ambazo naziona humu hawajawahi kuonyesha hy ndo mana nimeshangaa
Karibuni mkuu..2027 naachana na kazi za kuajiriwa niweze kusimamia mambo yangu kwa ufasaha.Uko mbali waambie wakupunguzie Mzee nasi tule hiyo kekiπ€£
TGHS ni afya siyo ya walimuHyo ya kwangu..
View attachment 3084222
Yeah niko Afya mkuu.TGHS ni afya siyo ya walimu
Mingi sana hiyo mkuu assume nimebakiza miaka 14 TU ya kusaka keki ya taifa kinyume na hapo nakuwa na 46+ ntakuwa nje ya mfumo yaani Mzee sitokuwa na sifa ya hata kusogelea tangazo la ajira.Hapo c bado miaka kama 30 tuu, kwahy n michache.
Dah sasa mbona hawa ndugu zetu wanalalamika hvy utadhani wanalipwa buku mbili, kumbe mambo mazuri hv mpaka nshaanza kupata wivu kwann sikusoma ualimu πHyo ya kwangu..
View attachment 3084222
sawa kwahiyo unaka-diploma bwanaYeah niko Afya mkuu.
π Mm nmebakisha miaka 16 ili serikali inipe mkono wa kwaheri πMingi sana hiyo mkuu assume nimebakiza miaka 14 TU ya kusaka keki ya taifa kinyume na hapo nakuwa na 46+ ntakuwa nje ya mfumo yaani Mzee sitokuwa na sifa ya hata kusogelea tangazo la ajira.
Wakati nafasi ninayoitegemea aliyekwepo anatundika daruga 2052 so balaa hili
Mimi niko kada ya Afya mkuu. Mi siyo mwalimuDah sasa mbona hawa ndugu zetu wanalalamika hvy utadhani wanalipwa buku mbili, kumbe mambo mazuri hv mpaka nshaanza kupata wivu kwann sikusoma ualimu π
Anyway, waalimu wanaokataa usaili em njoeni huku mlambe glucose ya salary slip ili mpate nguvu kdg π
Tuanzishe kampeni ya kuwasapuza wastaff kAzi mkuuπ Mm nmebakisha miaka 16 ili serikali inipe mkono wa kwaheri π
Ila hawa ndugu zetu walioajiriwa serikalini kuna baadhi wanalalamika ila aisee mm nawaonea wivu mno.
Ila inategemea na umesoma nn, kuna kada zingine utasugua benchi sana.Tuanzishe kampeni ya kuwasapuza wastaff kAzi mkuu
tukizubaaa aki ya nani keki ya taifa atutolamba.
Kwa tumiaka tulichobakiza na aina ya mikando ya utumishi bila kutuonea huruma atutoboi
Wape elimu mkuu πzingatieni madili ya kazi vijana
Oh safi mkuu, kuna mwngn ana degree na hapati hyMimi niko kada ya Afya mkuu. Mi siyo mwalimu
mtumishi wa uma ni kama matendo ya huruma kwa jamiiWape elimu mkuu π