TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

Y
Sana sana Mkurugenzi.... Mfano lile tukio la mfanyabiashara kuuwawa mlangoni kwake kule Njombe....

Yaani eti unaondoka na makusanyo nyumbani Million 40..??? Kweliii??
YAan yule angeumia tyu ningemwita mwehu sema marehemu asemwi nilishangaa sanasana..sisiwengine hata milioni tunakomaa weka Bank dunia imebadilika sana mkuu
 
mbaya zaidi wafanyaviashara wa Dodoma wanapenda kuonyeshana wana magrp yao ya bar siku wakilipuliwa sijui mali wanamwachia nani.....

Hata arusha wana hako kamchezo uNaakuta sehemu wameitana kama wanataka kutaga na wana maghorofa masheli mashimo ya madini ya kutosha
 
Umenkkumbhusha mwaka Jana tuliyza kiwanja kimoja cha mzee moshi.....

Jamaa aakawa analazimisha wale mliokuwepo tunapena cash kwa mwanasheria weweee nkajibu kheartheart

naijua hioo baba hii moshi sio singida.

tukampa acc akaweke wewe nilikuja itoa dar kwenye ujenzi bna darmu si watuu.....
 
Kifo ni matrix sio kitu halisi kwakua nature haikua nasababu nae ya yeye kuendelea kuwepo katika season hii hivo basi ameenda season nyingine tena.
Kifa nisanaa.
Kifo hakipo.
Tunaivua miili hii nakuvaa miili mingine kwakua sisi ndio chanzo chenyewe cha uwepo wakila kitu.
Nakila kitu ndio sisi wenyewe.
 
Back
Top Bottom