Pamoja na tahadhari zote, ni vigumu sana kuushinda ugaidi kwa asilimia 100. Kumbukeni magaidi uchwara yalivyoua kule Kibiti. Yaliua mpaka polisi. Yaliua padre kule Zanzibar. Na bado yanaua huko Msumbiji. Na kote yanasema kuwa yanatenda hayo yote kwa jina la Allah.Hivi serikali yetu haitoi security alert kwa wananchi wa Tanzania hasa inapotokea migogoro kama hii ya kivita, kuzuia wananchi wasiende kwenye nchi zenye machafuko ambapo kuna terrorist attack, kidnapping na vita? hili suala inabidi tuliangalie kwa umakini.
Sawa bibi muongoHyo mtu mweusi aiuliwa na wayahudi wenyewe toka siku ya kwanza, huyo walimmfikiria Mpalestina wakamuuwa kwa makusudi kabisa au kwa mboinu yao ya "hannibal diectives".
Hata siku moja usimwamini shetani. Shetani hana rafiki.Hivi wakati Yaser Arafat akiwa Kiongozi wa Palestine,Hamas walikuwa wanamuunga mkono au hapana?
Nauliza hivi Kwa sababu Nina hakika Serikali yetu ingepitia Iran ambako tuna mahusiano mazuri wao Iran wangewatafuta Washirika wao Hammas wangeqaachia Vijana Wetu.
[emoji23][emoji23]Israel aiokoe Palestina kwa kuyaangamiza magaidi ya Hamas yanayofanya maisha ya wapalestina kuwa magumu.
Maavi yako mbona hauelewekiAZAM media tunawaheshimu lakini ACHENI UPUUZI WENU, Ameuawa na magaidi wa kislamu wa HAMAS alafu mnaanza kusema nye nye nyeeee!
Ikiwa taarifa imetolewa na Israel basi Israel ndiyo wenye mwili na ndiyo waliosababisha kwa zile oparesheni zao za kuonesha ubabe baada ya kufeli,piga mabomu hovyo"Wizara itaendelea kuwaailiana na Israel ili kuhakikisha Watanzania wote wanakuwa salama"
Nje ya mada: Kijana alifia Gaza au Israel?
Kifo chake kimetokea lini na sababu ya kifo ni nini?
Ukweli wako uko wapi?Sawa bibi muongo
Acha ujinga wewe!Israel ilaaniwe Kwa kusababisha Kijana Wetu kupoteza maisha.
Kwa nini walimteka ,baada ya kujua kwamba siyo Muisrael si wangemwachia.Kauliwa na airstrike za wazayuni huyo usiwalaumu Hamas
Ukiwa umeamini kwa dhati kwamba hakuna Mungu apasae kuabudiwa zaidi ya Allah na kwamba Muhammad ni mtume wake,basi tayari ushakua muislam,ile kwenda kusilimushwa ni ili waislam wenzio wakujueKwa vyovyote vile huyu atakua kauwawa na magaidi ya IDF kwa airstrikes nilivyofuatilia hii vita Hamas wanapigana kistaarabu sana. Jamani kama kuna muislamu humu aniambie taratibu za kusilimu . Takbiiiiriiiii
Habari zimetoka Ghaza au Israel?AZAM media tunawaheshimu lakini ACHENI UPUUZI WENU, Ameuawa na magaidi wa kislamu wa HAMAS alafu mnaanza kusema nye nye nyeeee!
Walimteka, otherwise, angalikuwa hai kama wanafunzi wengine walivyo.Kwani ndio waliomuua ?
Lini ?Walimteka.
Hamas ni Majini si watu wale.... Ni wanyama na zaidi ya wanyama. Wamemuua kijana wetu aliyeenda kupata Elimu ya kilimoHivi wakati Yaser Arafat akiwa Kiongozi wa Palestine,Hamas walikuwa wanamuunga mkono au hapana?
Nauliza hivi Kwa sababu Nina hakika Serikali yetu ingepitia Iran ambako tuna mahusiano mazuri wao Iran wangewatafuta Washirika wao Hammas wangeqaachia Vijana Wetu.
Hamas ni Majini si watu wale.... Ni wanyama na zaidi ya wanyama. Wamemuua kijana wetu aliyeenda kupata Elimu ya kilimoHivi wakati Yaser Arafat akiwa Kiongozi wa Palestine,Hamas walikuwa wanamuunga mkono au hapana?
Nauliza hivi Kwa sababu Nina hakika Serikali yetu ingepitia Iran ambako tuna mahusiano mazuri wao Iran wangewatafuta Washirika wao Hammas wangeqaachia Vijana Wetu.