Mnaijeria anataka kumpora rafiki yangu girlfriend wake, Mbinu zipi zitumike kumshinda mgeni huyu uwanja wa nyumbani?

Tatizo huyo demu ana ushamba na ulimbukeni kwamba ana mnaigeria anamtaka ,Hapo unaweza kuta ameshawaambia marafiki zake wote .....kumtoa kwenye hicho kivuli cha mnaigeria sio swala dogo ,
Huo urafiki ambao anauendekeza lazima aliwe tuu
 
Ukisikia wa Tz wanne kati ya kumi ni vichaa ndo Hii sasa yaani ubongo wako na mdogo wako mmeshidwa kutatua ujinga huu?
 
Mbinu za Nini sasa! Kama rafiki Yako hatakiwi, mwanamke haporwi yeye mwenyewe ndio anaamua aende wapi.
 
Aachwe aende zake.Wala asimfuate.
Mambo ni mengi...afanye yake.
 


Ila watuuuu😂😂😂 what if muanzisha uzi ndio muhusika hizi comments
 
Ila watuuuu😂😂😂 what if muanzisha uzi ndio muhusika hizi comments
Kama yeye ndo muhusika, basi kichwa chake kina mbegu ya parachichi badala ya ubongo. Maana hiki kitu anachoomba msaada kiko wazi kabisa. Shida hawa vijana mapenzi wanayakutia ukubwani bila kua na misingi imara. Mpaka sasa hivi kashachapiwa iko wazi. Maskini mdada wa watu hadi anamtetea mnaija wake, sasa fikiria mnaija anaambiwa nini kuhusu huyu mshkaji. Itakua jamaa anapondewa kinyaaama kwa mnaija
 
Huyo dogo anaonekana mnyonge sana, ni simple tu piga stop dem kuwasiliana na huyo mnaigeria wake.

Sema dogo ndo kashazama sasa na nadhani huyo dem kashajua hili kolo nishaliteka.

Kama unategemea mbinu za kumpa vitu, zawadi na hizo outing msahauni huyo dem. Mnigeria yeye kua tu mnigeria tayari hiyo ni sifa tosha ya kumdaka huyo manzi.
Na walivo mataperi wale watu aisee wana mbinu za hatari. Mpe pole jamaa mshauri atafute kipozeo tu, hana chake hapo.
 
Kama ana manati ya mzungu, amtangulize mbele ya haki huyo mnaijeria

View attachment 2184657
Akizidiwa akili na Kidume mwingine labda Mwafrika kusini pia amtangulize na hiyo manati ya kizungu?

Sasa atatanguliza wangapi nakati viumbe vyenyewe huwa havitabiriki(havina love permanent warranty) [emoji848][emoji16]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Hapa unaomba ushauri ufanyaje, ukute mnaijeria yeye anafanya kazi na kumpa P2 halafu akishamalizana naye anamwacha mwanamke anarudi kwenu halafu nyinyi mnashangilia ushindi.

Mwambie mdogo wako awe mwanaume, na hizo pesa akiwa mwanaume hawezi kuja kwako kuomba ushauri wa kumpigania mwanamke na mnaijeria, labda ushauri wa atawakimbiaje wanawake maana ni wengi.
 
Unapoteza mda demu kishaonesha yupo mguu ndani mguu nje, inawezakana mpaka sasa huyo mdogo wako ni kidumu cha huyo demu, mapenzi ni kujaliana so dogo anaforce.

NB:Ktk maisha yangu sinaga upuuzi wa kupigania penzi nikiona mwanamke hajielewi na jiweka pembeni mapema, kama demu ana kuelewa hutumii nguvu bali vitu huflow vyenyewe.

Ningekuwa mimi ningemwambia aachane naye afanye mambo mengine.
 
Urafiki tu... unatofautiana kati ya mtu na mtu/ taifa kwa taifa.
Jinsia moja kwa jinsia tofauti/ ustaarabu wa watu na watu.
Utamaduni wa mtu na mtu hata pia exposure.
Sasa kama kuna viashiria tofauti si mbaya yeye pia ku-act as a gentleman kujua nini kinaendelea asifanye maamuzi kwa emotions.
 
Mkuu ukisema ni wewe utapungukiwa nini?sasa fanya hivi njoo Angola [emoji1029] utakuta watoto wa kireno wengi balaa ni wewe tu kasi yako ya uchakataji maana watoto ni wakali balaa halafu hawajui hata kukataa ili mradi tu uwe na visenti vya kutoka kila weekend,ukifika huku utajiona fala sana kulilia na wanawake wa kibongo wanuka jasho [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…