saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,880
- 2,843
Huwez jua kwakua hujui habar zao, wao ndio wanaongoza kuwa na mitalimbo, sema matapeli tapel mambo yao.Ushaliwa na wanaume Wanigeria wangapi na wabongo wangapi binti mpaka ukahitimisha hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwez jua kwakua hujui habar zao, wao ndio wanaongoza kuwa na mitalimbo, sema matapeli tapel mambo yao.Ushaliwa na wanaume Wanigeria wangapi na wabongo wangapi binti mpaka ukahitimisha hivyo?
Yani binti alikosa kabisa ushahidi mwingine wa kuonesha kwamba anafahamiana na jamaa hata picha walizopiga wakiwa pamoja??Nigerians: wanawatumia dada zetu kuvusha unga toka sehemu moja kwenda nyingine, huyo mnigeria atamwonyesha mapenzi Moto Moto kwa lengo la kumwingiza kingi huyo binti, huwa hawana mapenzi ya kweli atamwonga chochote anachotaka huyo binti lakini siku zake anaziweka rehani. Wengi nimeshashuhudia dada wengi wanafungwa nchi mbali mbali. Kuna mtanzania mmoja India aliingizwa chaka na mnigeria wao Wana passport hata nne majina tofauti atakwambia jina hili na kukuonyesha passport yake, lakini siku ya kukuingiza chaka anabeba passport nyingine jina tofauti. Mnigeria kamununulia binti wa watu zawadi kibao na pesa ndefu, wakapanga Safari kwenda Thailand , tokea India mnigeria kamununulia high hill shoes huyo binti kwamba atavaa hivyo viatu, mnigeria kashindilia unga kwenye soli ya viatu kama nusu kilo akwambia binti avae siku hiyo , binti hajui hili wala lile kavaa kufika airport ya Thailand binti kaahitukiwa wakavua viatu kupeleka kwenye scanner wakaona unga. Binti kajitetea kwamba kanunuliwa viatu na boyfriend wake , wakamwita huyo boyfriend mnigeria. Kufika hapo mnigeria kakataa kwamba hamujui huyo binti. Mnigeria kawambia wamuulize Kama anajua jina langu kataja alilozoea na kuona kwenye passport, mnigeria katoa passport yake nyingine jina tofauti kabisa. Na hile passport nyingine aliacha uko India kwa jamaa zake wengine. Hivyo huyo binti awe makini sana.
2. Amwache huyo binti atafute mwingine
3. American/ Nigerian piga risasi huyo jamaa
4. Mupe onyo huyo mnigeria na vitisho vingi ukimwambia kwamba tutakukamata na dawa za kulevya.
Duh!!noma sana.Lkn kwa jinsi ninavyowajua dada zetu na akili zao, sidhani km ataweza kuelewa hata km akieleweshwa.Sana sana atasema mnamuonea wivu.Nigerians: wanawatumia dada zetu kuvusha unga toka sehemu moja kwenda nyingine, huyo mnigeria atamwonyesha mapenzi Moto Moto kwa lengo la kumwingiza kingi huyo binti, huwa hawana mapenzi ya kweli atamwonga chochote anachotaka huyo binti lakini siku zake anaziweka rehani. Wengi nimeshashuhudia dada wengi wanafungwa nchi mbali mbali. Kuna mtanzania mmoja India aliingizwa chaka na mnigeria wao Wana passport hata nne majina tofauti atakwambia jina hili na kukuonyesha passport yake, lakini siku ya kukuingiza chaka anabeba passport nyingine jina tofauti. Mnigeria kamununulia binti wa watu zawadi kibao na pesa ndefu, wakapanga Safari kwenda Thailand , tokea India mnigeria kamununulia high hill shoes huyo binti kwamba atavaa hivyo viatu, mnigeria kashindilia unga kwenye soli ya viatu kama nusu kilo akwambia binti avae siku hiyo , binti hajui hili wala lile kavaa kufika airport ya Thailand binti kaahitukiwa wakavua viatu kupeleka kwenye scanner wakaona unga. Binti kajitetea kwamba kanunuliwa viatu na boyfriend wake , wakamwita huyo boyfriend mnigeria. Kufika hapo mnigeria kakataa kwamba hamujui huyo binti. Mnigeria kawambia wamuulize Kama anajua jina langu kataja alilozoea na kuona kwenye passport, mnigeria katoa passport yake nyingine jina tofauti kabisa. Na hile passport nyingine aliacha uko India kwa jamaa zake wengine. Hivyo huyo binti awe makini sana.
2. Amwache huyo binti atafute mwingine
3. American/ Nigerian piga risasi huyo jamaa
4. Mupe onyo huyo mnigeria na vitisho vingi ukimwambia kwamba tutakukamata na dawa za kulevya.
Kama yeye ndo muhusika, basi kichwa chake kina mbegu ya parachichi badala ya ubongo. Maana hiki kitu anachoomba msaada kiko wazi kabisa. Shida hawa vijana mapenzi wanayakutia ukubwani bila kua na misingi imara. Mpaka sasa hivi kashachapiwa iko wazi. Maskini mdada wa watu hadi anamtetea mnaija wake, sasa fikiria mnaija anaambiwa nini kuhusu huyu mshkaji. Itakua jamaa anapondewa kinyaaama kwa mnaija
hana pesa weweeee.Huyo jamaa yako ni falaaa....una hela alafu unakuwa na demu mmoja 🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa. Ukiwa na pesa huwezi kuwa na demu mmoja....wee kazi yako ni kuchapchapa matako ya warembo huku wakifyonza uji kutoka kwenye mtibwa sugar yakohana pesa weweeee.
Meongea tuTalking from experience?
Kumbe wapenda mitulinga...dah sasa na hiki kibamia changu sii utaona nakuchafua tuu🤣🤣🤣🤣Meongea tu
Meongea tu narudia tenaKumbe wapenda mitulinga...dah sasa na hiki kibamia changu sii utaona nakuchafua tuu🤣🤣🤣🤣
Mabinti wengi wa kitanzania uko USA wanaolewa Sana na na watu kutoka west Africa, either kwa sababu ya uchumi maana nasikia wanajitoa Sana, pia hiyo dudu la punda ndo maana ukikuta binti ana date na wa west mara nyingi ukingia hapo unaogelea tu unaweza usimalize test zero kabisa. Wanapanua sana. Kwa sababu ya mitalimbo mikubwa.Ushaliwa na wanaume Wanigeria wangapi na wabongo wangapi binti mpaka ukahitimisha hivyo?
Amwache tu atapata mwingineKuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na nina familia tayari, pia kwenye mambo ya mapenzi nina uzoefu si haba.
Huyo girlfend wake ni mrembo wa sura na shape kote, kaelimika (sio msomi wa vyeti), kwao pesa zipo maana mzee ni mzito wa kitengo flani, anajitamua, n.k. (Kiufupi hata mimi huwa nampa moyo dogo kwamba hapo alipopata asiachie)
Sasa kuna mnaijeria hapa anataka kuingiza mchanga kwenye kitumbua maana kaanza kuiteka akili ya girlfriend wa huyu dogo,
Dogo kama ni pesa anazo maana alipata bahati adimu mno kuajiriwa shirika ambalo ni ndoto ya wengi kipindi cha magu, ila pia anafanya biashara inayomlipa, ana ndinga kali, kama ni kuhonga tu hata 50 kwa siku huo uwezo anao ila gf wake ni kama huwa anamaindi, huwa anapendaga out hizi za weekend na vizawadi vidogo vidogo.
Kuhusu ishu nyingine kama kuvaa dogo anagonga pamba maana pesa anazo si haba, kama ni gari ya kupigia misele na dem wake anayo ndinga kali tu, kuhusu swaga dogo hajazubaa, kama ni kumjali huyo gf wake anamjali sana tu na gf wake analijua hilo.
Dogo alipiga maswali gf wake kumuuliza ni vipi na huyo mnaijeria, gf wake kakazania ni marafiki tu lakini kwa akili zetu wanaume hii ni hali ya atari (danger zone), muda wowote koloni linaporwa.
Ni mbinu zipi za kivita zitumike kulitetea taji hapa nyumbani?
Naaam[emoji4]Mbona easy tu wazee wa fitna tushaona magap kibao hadi sasa[emoji2]
Penzi linapiganiwa bana,Mwacheni BINTI achague mwenyewe pa kwenda siku hizi hizo habari za kuanza kuforce mapendo hata hainogi
Umeandka meng gar kal cjuw pamb,hela vyote vidog .Je amekamata hisia za mtot ipasavyo.Mana awezatow vyote akafel mahal padog.Akasaidiwa.Kuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na nina familia tayari, pia kwenye mambo ya mapenzi nina uzoefu si haba.
Huyo girlfend wake ni mrembo wa sura na shape kote, kaelimika (sio msomi wa vyeti), kwao pesa zipo maana mzee ni mzito wa kitengo flani, anajitamua, n.k. (Kiufupi hata mimi huwa nampa moyo dogo kwamba hapo alipopata asiachie)
Sasa kuna mnaijeria hapa anataka kuingiza mchanga kwenye kitumbua maana kaanza kuiteka akili ya girlfriend wa huyu dogo,
Dogo kama ni pesa anazo maana alipata bahati adimu mno kuajiriwa shirika ambalo ni ndoto ya wengi kipindi cha magu, ila pia anafanya biashara inayomlipa, ana ndinga kali, kama ni kuhonga tu hata 50 kwa siku huo uwezo anao ila gf wake ni kama huwa anamaindi, huwa anapendaga out hizi za weekend na vizawadi vidogo vidogo.
Kuhusu ishu nyingine kama kuvaa dogo anagonga pamba maana pesa anazo si haba, kama ni gari ya kupigia misele na dem wake anayo ndinga kali tu, kuhusu swaga dogo hajazubaa, kama ni kumjali huyo gf wake anamjali sana tu na gf wake analijua hilo.
Dogo alipiga maswali gf wake kumuuliza ni vipi na huyo mnaijeria, gf wake kakazania ni marafiki tu lakini kwa akili zetu wanaume hii ni hali ya atari (danger zone), muda wowote koloni linaporwa.
Ni mbinu zipi za kivita zitumike kulitetea taji hapa nyumbani?