Mnaijeria anataka kumpora rafiki yangu girlfriend wake, Mbinu zipi zitumike kumshinda mgeni huyu uwanja wa nyumbani?

Mnaijeria anataka kumpora rafiki yangu girlfriend wake, Mbinu zipi zitumike kumshinda mgeni huyu uwanja wa nyumbani?

Ushaliwa na wanaume Wanigeria wangapi na wabongo wangapi binti mpaka ukahitimisha hivyo?
Huwez jua kwakua hujui habar zao, wao ndio wanaongoza kuwa na mitalimbo, sema matapeli tapel mambo yao.
 
Nigerians: wanawatumia dada zetu kuvusha unga toka sehemu moja kwenda nyingine, huyo mnigeria atamwonyesha mapenzi Moto Moto kwa lengo la kumwingiza kingi huyo binti, huwa hawana mapenzi ya kweli atamwonga chochote anachotaka huyo binti lakini siku zake anaziweka rehani. Wengi nimeshashuhudia dada wengi wanafungwa nchi mbali mbali. Kuna mtanzania mmoja India aliingizwa chaka na mnigeria wao Wana passport hata nne majina tofauti atakwambia jina hili na kukuonyesha passport yake, lakini siku ya kukuingiza chaka anabeba passport nyingine jina tofauti. Mnigeria kamununulia binti wa watu zawadi kibao na pesa ndefu, wakapanga Safari kwenda Thailand , tokea India mnigeria kamununulia high hill shoes huyo binti kwamba atavaa hivyo viatu, mnigeria kashindilia unga kwenye soli ya viatu kama nusu kilo akwambia binti avae siku hiyo , binti hajui hili wala lile kavaa kufika airport ya Thailand binti kaahitukiwa wakavua viatu kupeleka kwenye scanner wakaona unga. Binti kajitetea kwamba kanunuliwa viatu na boyfriend wake , wakamwita huyo boyfriend mnigeria. Kufika hapo mnigeria kakataa kwamba hamujui huyo binti. Mnigeria kawambia wamuulize Kama anajua jina langu kataja alilozoea na kuona kwenye passport, mnigeria katoa passport yake nyingine jina tofauti kabisa. Na hile passport nyingine aliacha uko India kwa jamaa zake wengine. Hivyo huyo binti awe makini sana.

2. Amwache huyo binti atafute mwingine

3. American/ Nigerian piga risasi huyo jamaa

4. Mupe onyo huyo mnigeria na vitisho vingi ukimwambia kwamba tutakukamata na dawa za kulevya.
Yani binti alikosa kabisa ushahidi mwingine wa kuonesha kwamba anafahamiana na jamaa hata picha walizopiga wakiwa pamoja??
 
Nigerians: wanawatumia dada zetu kuvusha unga toka sehemu moja kwenda nyingine, huyo mnigeria atamwonyesha mapenzi Moto Moto kwa lengo la kumwingiza kingi huyo binti, huwa hawana mapenzi ya kweli atamwonga chochote anachotaka huyo binti lakini siku zake anaziweka rehani. Wengi nimeshashuhudia dada wengi wanafungwa nchi mbali mbali. Kuna mtanzania mmoja India aliingizwa chaka na mnigeria wao Wana passport hata nne majina tofauti atakwambia jina hili na kukuonyesha passport yake, lakini siku ya kukuingiza chaka anabeba passport nyingine jina tofauti. Mnigeria kamununulia binti wa watu zawadi kibao na pesa ndefu, wakapanga Safari kwenda Thailand , tokea India mnigeria kamununulia high hill shoes huyo binti kwamba atavaa hivyo viatu, mnigeria kashindilia unga kwenye soli ya viatu kama nusu kilo akwambia binti avae siku hiyo , binti hajui hili wala lile kavaa kufika airport ya Thailand binti kaahitukiwa wakavua viatu kupeleka kwenye scanner wakaona unga. Binti kajitetea kwamba kanunuliwa viatu na boyfriend wake , wakamwita huyo boyfriend mnigeria. Kufika hapo mnigeria kakataa kwamba hamujui huyo binti. Mnigeria kawambia wamuulize Kama anajua jina langu kataja alilozoea na kuona kwenye passport, mnigeria katoa passport yake nyingine jina tofauti kabisa. Na hile passport nyingine aliacha uko India kwa jamaa zake wengine. Hivyo huyo binti awe makini sana.

2. Amwache huyo binti atafute mwingine

3. American/ Nigerian piga risasi huyo jamaa

4. Mupe onyo huyo mnigeria na vitisho vingi ukimwambia kwamba tutakukamata na dawa za kulevya.
Duh!!noma sana.Lkn kwa jinsi ninavyowajua dada zetu na akili zao, sidhani km ataweza kuelewa hata km akieleweshwa.Sana sana atasema mnamuonea wivu.
 
Mshikaji mwambie dogo Kwenye mapenzi suala siyo pesa wala unyunyu wala ndinga kali wala biashara wala kuwa na hela benki mzee, Akili za wanawake wanazijua wenyewe, fanyeni mambo ya msingi maana huyo demu hujui anasimamia nini kwenye kichwa chake hizo sifa za kitoto ulizotoa hazitawasaidia wala kama demu akiamua kumtema huyo mdogo wako atafanya ivo tuu
 
Wako smart sana kwa evidence, wanajitahidi kutoa evidence zote.
 
Kama yeye ndo muhusika, basi kichwa chake kina mbegu ya parachichi badala ya ubongo. Maana hiki kitu anachoomba msaada kiko wazi kabisa. Shida hawa vijana mapenzi wanayakutia ukubwani bila kua na misingi imara. Mpaka sasa hivi kashachapiwa iko wazi. Maskini mdada wa watu hadi anamtetea mnaija wake, sasa fikiria mnaija anaambiwa nini kuhusu huyu mshkaji. Itakua jamaa anapondewa kinyaaama kwa mnaija

🤣🤣🤣🤣 mtamuua kwa presha
 
Mnaigeria anachukua Jimbo...huyo dogo aandike maumivu...Kuna kampuni moja nilifanyaga kazi...secretary wa boss kisu Cha hatari na boss anamkula...jamaa kibao walijaribu kirusha ndoano bila mafanikioa pamoja na pamba zao kali na maunyunyu kama dogo.

Kipindi Fulani akaja mnaigeria kutufanyia training ya software Fulani. Alimkula yule demu na kusikolika na video alikuwa anamchukua anakuja kunionyesha maana mm na yeye ziliiva balaa maana mm ni fast learner .

Nilipomuambia demu ni chakula ya boss akaniambia hata demu kamuambia ila kwa saound alizompiga demu alishindwa kuchomoa.

Baada ya mnaigeria kuondoka na mm nikamtokea demu..akanitolea nje nikamwambia uchafu wako wote uliokuwa unafanya na mnaigeria naujua..akaniambia kweli ulivokua karibu na mnaigeria inawezekana unaujua...akaniambia isiwe kesi sisi watu wazima...tukalianzisha..
 
Ushaliwa na wanaume Wanigeria wangapi na wabongo wangapi binti mpaka ukahitimisha hivyo?
Mabinti wengi wa kitanzania uko USA wanaolewa Sana na na watu kutoka west Africa, either kwa sababu ya uchumi maana nasikia wanajitoa Sana, pia hiyo dudu la punda ndo maana ukikuta binti ana date na wa west mara nyingi ukingia hapo unaogelea tu unaweza usimalize test zero kabisa. Wanapanua sana. Kwa sababu ya mitalimbo mikubwa.
 
Bila kuhudika Moja kwa Moja,
Wafanyie fitna wagombane wao kwa wao wachukiane mazima[emoji4]
 
Kuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na nina familia tayari, pia kwenye mambo ya mapenzi nina uzoefu si haba.

Huyo girlfend wake ni mrembo wa sura na shape kote, kaelimika (sio msomi wa vyeti), kwao pesa zipo maana mzee ni mzito wa kitengo flani, anajitamua, n.k. (Kiufupi hata mimi huwa nampa moyo dogo kwamba hapo alipopata asiachie)

Sasa kuna mnaijeria hapa anataka kuingiza mchanga kwenye kitumbua maana kaanza kuiteka akili ya girlfriend wa huyu dogo,

Dogo kama ni pesa anazo maana alipata bahati adimu mno kuajiriwa shirika ambalo ni ndoto ya wengi kipindi cha magu, ila pia anafanya biashara inayomlipa, ana ndinga kali, kama ni kuhonga tu hata 50 kwa siku huo uwezo anao ila gf wake ni kama huwa anamaindi, huwa anapendaga out hizi za weekend na vizawadi vidogo vidogo.

Kuhusu ishu nyingine kama kuvaa dogo anagonga pamba maana pesa anazo si haba, kama ni gari ya kupigia misele na dem wake anayo ndinga kali tu, kuhusu swaga dogo hajazubaa, kama ni kumjali huyo gf wake anamjali sana tu na gf wake analijua hilo.

Dogo alipiga maswali gf wake kumuuliza ni vipi na huyo mnaijeria, gf wake kakazania ni marafiki tu lakini kwa akili zetu wanaume hii ni hali ya atari (danger zone), muda wowote koloni linaporwa.

Ni mbinu zipi za kivita zitumike kulitetea taji hapa nyumbani?
Amwache tu atapata mwingine
 
Hao foreigners njaa njaa Kama hao wanaijeria dawa yao ni simple KABISA,

Mtaftie vijana wasojulikana wamteke, afungwe kitambaa usoni,kamba mikono na miguuni na Kichapo kiasi Kisha kwenda kumtupa maporini uko mto ruvu Bila kumsemesha chochote kile.

Ukimfanyia hivo Mara 3,
Anakimbia KABISA KABISA nchi Hii, anaona Hii nchi Haina USALAMA ntakuja kufa bure[emoji4]
 
Kuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na nina familia tayari, pia kwenye mambo ya mapenzi nina uzoefu si haba.

Huyo girlfend wake ni mrembo wa sura na shape kote, kaelimika (sio msomi wa vyeti), kwao pesa zipo maana mzee ni mzito wa kitengo flani, anajitamua, n.k. (Kiufupi hata mimi huwa nampa moyo dogo kwamba hapo alipopata asiachie)

Sasa kuna mnaijeria hapa anataka kuingiza mchanga kwenye kitumbua maana kaanza kuiteka akili ya girlfriend wa huyu dogo,

Dogo kama ni pesa anazo maana alipata bahati adimu mno kuajiriwa shirika ambalo ni ndoto ya wengi kipindi cha magu, ila pia anafanya biashara inayomlipa, ana ndinga kali, kama ni kuhonga tu hata 50 kwa siku huo uwezo anao ila gf wake ni kama huwa anamaindi, huwa anapendaga out hizi za weekend na vizawadi vidogo vidogo.

Kuhusu ishu nyingine kama kuvaa dogo anagonga pamba maana pesa anazo si haba, kama ni gari ya kupigia misele na dem wake anayo ndinga kali tu, kuhusu swaga dogo hajazubaa, kama ni kumjali huyo gf wake anamjali sana tu na gf wake analijua hilo.

Dogo alipiga maswali gf wake kumuuliza ni vipi na huyo mnaijeria, gf wake kakazania ni marafiki tu lakini kwa akili zetu wanaume hii ni hali ya atari (danger zone), muda wowote koloni linaporwa.

Ni mbinu zipi za kivita zitumike kulitetea taji hapa nyumbani?
Umeandka meng gar kal cjuw pamb,hela vyote vidog .Je amekamata hisia za mtot ipasavyo.Mana awezatow vyote akafel mahal padog.Akasaidiwa.
 
Back
Top Bottom