Walikopa kimya kimya ila wakaweka wazi matumizi na miradi husika tena ya kimkakati.Bora hata tunawekwa wazi kuhusu hii mikopo, kuliko ile tuliyokuwa tunadanganywa Tanzania ni nchi tajiri wakati wanakopa kimya kimya.
Tofautisha mkopo wako wa kibinafsi na familia yako na huu tunaouongelea sisi ambao sio wa kulipwa na viongozi bali watanzania wote.Tozo na Kodi zozote haziwezi maliza matatizo ya watu kama tuu vile ambavyo wewe hutokuja kumaliza matatizo yako..
Ukikopa Unapata pesa ya pamoja na unafanya jambo lako fasta na Kwa mda mfupi huku ukilipa taratibu badala ya kusubiria sijui makusanyo yanachukua mda.
Huwezi kumuelewa mama kama IQ yako ndogo.Walikopa kimya kimya ila wakaweka wazi matumizi na miradi husika tena ya kimkakati.
Sasa wanakopa kwa sauti na kutumia kwa Ukimya.
Ebu nitolee ufafanuzi wa mapato na matumizi yatokanayo na Tozo za miamala inayoendelea?
Ni mradi gani wa kimkakati ambao umetokana na mikopo lukuki inayoendelea kumiminika kwa sasa?
Je!TRA wanakusanya 21 Trillion kwa mwaka mzima,
Mishahara 11 Trillion kwa mwaka
Ulipaji wa madeni 11 trillon kwa mwaka.
Bajeti ya mwaka mzima 2022/23 ya nchi kuhudumia watanzania milion 60 ni Trilllion 41.
Imagine Tanzania bila mikopo, na watu bado wanadai kodi na tozo zipunguzwe.
Hao ndugu zetu wanaolalamika kuhusu mikopo ndio wakwepaji wakubwa wa kulipa kodi, wakikosa huduma za jamii ndio wanakuwa wa kwanza kuikosoa serikali kwenye mitandao (keyboard worriors).
yani balaaa sema ndo hivyoo now nchi anaendesha kj aiseeHuo ndio ukweli halisi.mfano tulikuwa tukiona fedha za kuahirishwa sherehe zilivyokuwa zikitumika kwa miradi mbadala na inaonekana.
Kutokuwa na taarifa ni tatizo,Je!
Mbona hatuelezi zinazopotea kwa ufisadi?
Hausemi zinazopotea kwenye matumizi yasiyo na tija kama.
Posho za Warsha.
Posho za zsemina.
Posho za makongamano.
Posho za safari za nje kila uchao.
Gharama za kuendeshea ma V8 yote nchi nzima.
Mfano Meya wa jiji anatumia Land Cruisser V8 4Γ4.
Ilhali yuko kwenye lami kila siku na angeweza kutumia hata Suzuki Escudo tu.
Hao unaowapa vitasa huwa wanatumia kufungia milango au mafuvu ya ubongo wao.Achana na mataahira ndio maana Mimi huwa nawapa vitasa tuu huwa hawanipi shida na wananifahamu vizuri..
Waambie Serikali haikurupuki na hakuna Nchi isiyo na Mikopo hapa Duniani na infact Tanzania ndio wavivu Kukopa ndio maana tuna makodi Kodi mengi yanayoumiza Uchumi sababu ya jamii kukaa mandezi wengi..
Tungekuwa tunakopa walau kwa 50% ya uwezo wetu Kodi nyinginzingepungua,kiasi ambacho kingekuwa saved kwao kingestimulate aggregate demand na hivyo kuchochea zaidi productions..
Uzuri wa mikopo hulipwa mdogo mdogo.Ila kwa mentality za kijinga walizo nazo acha Serikali iendelee kuwagonga kwa VAT 18% na tozo kama zote .
Hawa wenzetu huwa hawajui adui yao rasmi ni nani!Mkuuu kama ww ni mwanaume Na unayo familia alafu unaongea hivi kwakweli wakwenu wote wamekula hasara....miaka ya nyuma ilitakiwa ufungwe jiwe utumbukizwe baharini ili husje waambukiza wenzio ujinga.
Huoni kupanda kwa gharama za maisha kwa mtanzania wa chini,bado unasifia ujinga mkuu,huyu mama nachotusahidia kwa sasa ni kipi yeye kama kiongozi mkuu wa Taifa?.
Yeye ashajua tayari 2025 hawezi pigiwa kura na mtu yeyote mwenye akili timamu.....anachokifanya sasa ni kama alichokifanya kikwete wakati anamalizia muhula wake wa mwisho.
Sina mda wa kujichosha kuelimisha mtu ambae ameamua kuwa mpumbavu..Tofautisha mkopo wako wa kibinafsi na familia yako na huu tunaouongelea sisi ambao sio wa kulipwa na viongozi bali watanzania wote.
Hebu tueleze nini hasa kimefanyika tangu hii mikopo imeanza kukopwa na sifa zikiendelea bila ukomo?
Wewe ni mjinga sasa ka.hata hujui vipaombele vya Serikali na budget read out zipo una maana gani? Why bother kumjibu mpumbavu?Hao unaowapa vitasa huwa wanatumia kufungia milango au mafuvu ya ubongo wao.
Unasapoti mikopo halafu unajipinga wewe mwenyewe.
Hapa tunaongelea Facts za matumizi zinakoelekezwa hizo pesa baada ya mkopo kupatikana.
Hatuongelei nchi kutokukopa.
Lakini pia tunaangalia ni jinsi gani uongozi uliopo unatumia vipaumbele gani kutokana na Raslimali lukuki tulizonazo nchi hii.
Tatizo ni kuwa na serikali iliyojaa michwa huku ikiwa haina ubunifu wa kiuongozi.
Sera ni kusifu na kuteuliwa kisha kutukuza.
Taarifa nyingine anazipata kwa kubishana humu humu jamii forum. Hana kitu kichwaniSina mda wa kujichosha kuelimisha mtu ambae ameamua kuwa mpumbavu..
Tafuta sources rasmi za serikali utaona kilichofanyika..
Kuna mada kibao humu zinaeleza hata Leo RUWASA walikuwa live kueleza kilichofanyika so ni wajibu wako kutafuta sio wajibu wangu..
Ulivyo mpumbavu huwa Rais anawaambia kila siku kwamba miradi yote mikubwa ni mikopo huelewi sasa kama wewe unaona hakuna kilichofanyika ila ukiamka asubuh unasafiri kwenye barabara,unatumia maji na unaenda hospital harafu unauliza zinakotumika ni wazi wewe ni mpumbavu.
Wengi humu wanaobisha kuhusu huu ukweli unakuta ni walamba asali kwa sasa.Hacha kuandika ujinga basi chief wanaume wakiwa wanajadili mambo ya kifamilia hasa taifa letu,Tunachozungumzia sawa wakope ila wanakopa kwa sababu zipi,Tunayo rasilimali za kutosha hapa nchini.
Na je hiyo mikopo tunayokopa inafanya kazi waliyokopea?,Ukianza kuongeza Ujinga waza kwamba hapa unatumia simu so kila muhamala unaofanya wenye mta ndao wao wanakata gharama,serikali nayo inakata tozo,wakati huo ukinunua vocha wanakata Kodi,alafu wanaenda Tena kukopa nje,kwenye huo mkopo pia na ww itatakiwa kuulipia kwa namna moja au nyingine.
Kuna miradi gani ya siri unayoijua wewe peke yako pamoja na serikali tu?Wewe ndio mjinga tena taahira,kuna Nchi huwa inakopa bila kuwa na Sababu za Kukopa?
Kwanza ulisoma maelezo ya wakopeshaji? Pili hujawahi isikia Serikali ikisema tunakopa kwa ajili ya miradi?
Harafu kwa akili zako za kindezi unajua miradi labda ni barabara tuu..Kuwa mwanaume hakukuongezei akili kama ulizaliwa nyumbu utakuwa nyumbu tuu.
Sijawahi kuipenda CCM, ila kwenye ukweli nitasema. SSH amepokea nchi ikiwa kwenye mzigo mzito wa miradi mikubwa na mapato kidogo, miaka 6 hakuna nyongeza ya mishahara, ajira mpya, watumishi kupandishwa vyeo vitu ambavyo mwendazake hakuviweza.Wengi humu wanaobisha kuhusu huu ukweli unakuta ni walamba asali kwa sasa.
Au waajiriwa sekta ya Umma ambao wanazisubiri ziingie kwenye anga zao ili waendelee kuzinyofoa kwa urefu wa kamba zao.
Imagine vitu vidogo kama hivi huelewi eti na wewe ndio msomi huko Chadomo ππππ..Walikopa kimya kimya ila wakaweka wazi matumizi na miradi husika tena ya kimkakati.
Sasa wanakopa kwa sauti na kutumia kwa Ukimya.
Ebu nitolee ufafanuzi wa mapato na matumizi yatokanayo na Tozo za miamala inayoendelea?
Ni mradi gani wa kimkakati ambao umetokana na mikopo lukuki inayoendelea kumiminika kwa sasa?
Kipindi cha JPM tuliona matumizi sahihi ya raslimali za nchi hii pamoja na kuzuia michwa kula mbao za maghala ya Taifa.Lini mshawai fanyiwa mazur na mkakili kuwa ni kweli lini?
SGR Lot 3,4,5, Magu aliacha Lot 1,2Kuna miradi gani ya siri unayoijua wewe peke yako pamoja na serikali tu?
Tuambie mradi hata mmoja ambao kauanzisha mama yenu, ambao ni wenye tija kwa taifa.
Tangu katiba ilipompa madaraka?
Do you have evidence about thatKipindi cha JPM tuliona matumizi sahihi ya raslimali za nchi hii pamoja na kuzuia michwa kula mbao za maghala ya Taifa.
Sasa walipoona kawabana na wanaelekea kupotea kwenye ramani ndio wakatuondolea mtu wa ukweli. View attachment 2296602