Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Hivi Pugu nayo siipo Temeke, aisee kule pia hali si shwari ,ukipita na SGR juu unakutana na bati zimechakaa sio poa, vijumba mbanano, meza za wauza matumbo, vichwa vya kuku etc
 
Hivi Pugu nayo siipo Temeke, aisee kule pia hali si shwari ,ukipita na SGR juu unakutana na bati zimechakaa sio poa, vijumba mbanano, meza za wauza matumbo, vichwa vya kuku etc
Temeke umasikini ni mkubwa mno ukilinganisha na Wilaya zingine zote za mkoa wa Dar Es Salaam..
 
Wewe unayeishi Ilala na hao wanaoishi Temeke tofauti yenu ni nini ikiwa mwanaume mzima ulibakiwa na nauli tu? Kisha unaleta masimango humu ilimladi tu uonekane umeanzisha uzi?
We ndio huyo mama aliyetoa 500 kwa watoto wake nini maana si kwa makasiriko hayo😀😀😀😀
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Na hapo bado Trump hajaanza kukabia Juu..

😁
 
Back
Top Bottom