Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Hongera kwa kutukumbusha. Ila na wewe tuendelee kujikumbusha wote, umasikini mbaya sana
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Inaumiza sana, hao watoto baba zao wapo wapi mbwa hao?!
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Umekuja lini mjini, Ma anacheza kigodoro na kanga moko, kitu tigo hao watoto atawajali sa ngapi? Mtoni kwa Aziz Ally mi nilikuwepo pale.
Chapati 3 na bakuli la maharage 500 watu wa3 mnashiba kabisa.
Ushafika Njaro Temeke?Mbagala Zakhem ndani huko,Buguruni pale kimboka,mnyamala A mishkaki ya 100.kwa bonge msasani kule 500 utavimbiwa usiulize ni kitu gani umekula.
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Haukua na nia ya kuwapa, nauli ya Mtoni kwa Aziz Ally mpaka Ilala ni shilingi 500/= bado ungebaki na shs.1500/=, umbeya tu ulikupeleka Temeke, hiloooo! Limbeya hiloooooo!
 
Haukua na nia ya kuwapa, nauli ya Mtoni kwa Aziz Ally mpaka Ilala ni shilingi 500/= bado ungebaki na shs.1500/=, umbeya tu ulikupeleka Temeke, hiloooo! Limbeya hiloooooo!
Unapajua Ilala Kivule au una bwabwaja tu??..
 
Haukua na nia ya kuwapa, nauli ya Mtoni kwa Aziz Ally mpaka Ilala ni shilingi 500/= bado ungebaki na shs.1500/=, umbeya tu ulikupeleka Temeke, hiloooo! Limbeya hiloooooo!
Limbeya lipo ndani ya shimo la mama yako la haya kubwa. Kum@ wewe.

Go to my ignore list
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Wengi wa uswahilini ni sisi tunaovaa mashati/Tisheti za rangi za kijani/njano na suruali/sketi za rangi nyeusi!

GOD BLESS TANGANYIKA!
 
Back
Top Bottom