Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wilaya za sasa zinawahusu watoto wa 2000 na sio mimi wa mwaka 1989Mbona haujasema na kwa wilaya za sasa?
Yanga mango, Wailes, Sudan, MaputoTemeke Hoyee
Mwembemakundi , Davis Corner, Mikoroshini
Inaumiza sana, hao watoto baba zao wapo wapi mbwa hao?!Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Wamewatelekeza mkuu..Inaumiza sana, hao watoto baba zao wapo wapi mbwa hao?!
Yes. Temeke kiumeni..Yanga mango, Wailes, Sudan, Maputo
Umekuja lini mjini, Ma anacheza kigodoro na kanga moko, kitu tigo hao watoto atawajali sa ngapi? Mtoni kwa Aziz Ally mi nilikuwepo pale.Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Haukua na nia ya kuwapa, nauli ya Mtoni kwa Aziz Ally mpaka Ilala ni shilingi 500/= bado ungebaki na shs.1500/=, umbeya tu ulikupeleka Temeke, hiloooo! Limbeya hiloooooo!Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
ðŸ¤Sweetheart una nini lakini??..
Sijawahi hata sikumoja.... mwandiko wangu ni uleule mkuu...Usingekuwa unaweweseka namna hii..
Sijui yupo wap tume mmissHivi yuko wapi siku hizi
Ipo siku tu kwa maana hata Shakira alisemaga hivyo hivyo kwa Pique..Sijawahi hata sikumoja.... mwandiko wangu ni uleule mkuu...
Jf best wangu simwachi
Unapajua Ilala Kivule au una bwabwaja tu??..Haukua na nia ya kuwapa, nauli ya Mtoni kwa Aziz Ally mpaka Ilala ni shilingi 500/= bado ungebaki na shs.1500/=, umbeya tu ulikupeleka Temeke, hiloooo! Limbeya hiloooooo!
Limbeya lipo ndani ya shimo la mama yako la haya kubwa. Kum@ wewe.Haukua na nia ya kuwapa, nauli ya Mtoni kwa Aziz Ally mpaka Ilala ni shilingi 500/= bado ungebaki na shs.1500/=, umbeya tu ulikupeleka Temeke, hiloooo! Limbeya hiloooooo!
Sana aiseee yule mwamba alijua kujisifu alooSijui yupo wap tume mmiss
Wengi wa uswahilini ni sisi tunaovaa mashati/Tisheti za rangi za kijani/njano na suruali/sketi za rangi nyeusi!Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Hatari sana mkuuWengi wa uswahilini ni sisi tunaovaa mashati/Tisheti za rangi za kijani/njano na suruali/sketi za rangi nyeusi!
GOD BLESS TANGANYIKA!