kuna mmoja alinitukana kuwa nashindia mtandaoni kutwa nipo on line, sijui alijuaje? Kuna aina ya kazi unaweza kuzifanya huku uko on line na kazi inafanyika kama kawaidaTukiachana na maisha yao binafsi.
Hata mimi najiulizaga sana kuna ID masaa 20-24 ziko online zinachangia kila mada na kujua almost everything
Utasema ni robot [emoji1] hivi wenzetu hawanaga ubusy au ndo matajiri!!! Huwa inanishangazaga sana hii kitu
yani sisi wa upande huu tunashangaa sana! maana mi hata iwaje siwezi kuwa online jf mda wote hamna cha maana sana, pia siwezi kuwa nafanya kazi huku niko online maana najuaga humu unachangia mada kwahiyo inahitaji utulivu wa akili sio nafanya hiki huku niko online kama muajiriwa wa Jfkuna mmoja alinitukana kuwa nashindia mtandaoni kutwa nipo on line, sijui alijuaje? Kuna aina ya kazi unaweza kuzifanya huku uko on line na kazi inafanyika kama kawaida
Huo muda wako unaofanya utafiti kuanzia asubuhi mpaka lukwili na wewe huwa unafanya kazi ipi?Tukiuacha utafiti wako.Umofya kwenu members! Umofya tena !!!
Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?
Nawasilisha
Umejuwaje Jirani yako Mwanga Kama wwe si Mwanga pia!!? Kumbe wote wamekutana kwenye kuwanga alafu anataka kumshangaa mwenzie!!Kama wewe haushindi mtandaoni umejuaje kwamba kuna watu wanashinda mtandaoni?
Kuna hizi Id kila uzi zipp masaa yote hadi usiku. Kila ukiingia unaeakuta wanapiga stori, nahisi hawa wanajiuza humu.
-Depal
-amehlo
-Antonia
-corrsasico
-half american
-Wengine nikikumbuka nitawataja
TunabetUmofya kwenu members! Umofya tena !!!
Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?
Nawasilisha
huku kuwa mtandaoni ndo kazi zenyewe kama hujui we endeleea kubunghaa tu wenzako wanapiga helaUmofya kwenu members! Umofya tena !!!
Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?
Nawasilisha
Ndio Kaz yetu kushinda mitandaoni kusogoa.....Umofya kwenu members! Umofya tena !!!
Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?
Nawasilisha
Tuna nyumba za urithiπ€£π€£π€£Wewe shida yako nini?
MpfyuuuuuuuuuuuuKwanza umofya mwenyewe, halafu wacha kufatilia maisha ya watu.