Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wateja hawajitunauza duka
Hpa unakosea atauliza hela ya bndo unapta wapi wakati sisi wakina Hakimi tunatunza vibundaWengine sie ni majobless, hatuna cha kufanya zaidi ya kuchat na kushinda mtandaoni
UsitupangieMpfyuuuuuuuuuuuu wewe
Unataka kuwanunua?Kuna hizi Id kila uzi zipp masaa yote hadi usiku. Kila ukiingia unaeakuta wanapiga stori, nahisi hawa wanajiuza humu.
-Depal
-amehlo
-Antonia
-corrsasico
-half american
-Wengine nikikumbuka nitawataja
😂😂😂😂😂😂Umofya Umofya na kwako mkuu
Nikiwa mmoja wa ofsa wasemaji wa wanaoshinda mtandaoni, asilimia kubwa kazi hatuna.
Tunaishi maisha ya kulenga Kwa manati.Pia Kuna wengine kazi zao ni mtandaoni
Wengine kazi zao zinaendelea wakiwa mtandaoni haiwapi tabu kufanya kazi na kuwa mtandaoni
Itaendelea
Mkuu hawa wanaojikuta ni bize most waga ni loner 😂😂😂Sio kazi tu hata kula hatuli
Unaweza kukuta mleta mada ndio kapata kazi wiki iliyopita tu kwenye Duka la Kanjibai Kariakoo,full kutumwa mpaka kuwapeleka Shule kina Sunche na Kapeto,mara atumwe Giligilani Kisutu....Ndio maana ana shangaa kuona mbona watu wengine wapo free sometimes.
Pita kuleUnaweza kukuta mleta mada ndio kapata kazi wiki iliyopita tu kwenye Duka la Kanjibai Kariakoo,full kutumwa mpaka kuwapeleka Shule kina Sunche na Kapeto,mara atumwe Giligilani Kisutu....Ndio maana ana shangaa kuona mbona watu wengine wapo free sometimes.