Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

Nakupa mfano wa kazi inamfanya mtu awe online muda wote,
Kwa mfano mlengaji wa magari yaliyotumika Tanzania na mostly makazi yake ni Dar au mwanza, huyu kitendea kazi kikubwa ni simu, yaani madalali wakipost gari ukiielewa kazi ni kwenda kukagua wewe na fundi wako na mnaenda na gari, pale mtabargain bei utaangalia ina vipengele gani, gari utaichukua labda kuna marekebisho ya gearbox, kumwaga oil, kubadili bonet au mwamba, kufunga shockup mpya au kufunga android radio, au kunyoosha bodi na kupiga mkono mmoja rangi smart na put isiwe nyingi, kuweka tairi mpya, au kurekebisha engine hapa wewe unakua pembeni unakula nyama choma huku ukiwa online, labda ulinunua hiyo gari kwa kulenga kwa milioni tano plus marekebisho ubaoni unaiweka kwa milioni 8 hapo labda unafukuzia hata milioni moja unusu, sasa unawapa kazi madalalari waipost mitandaoni huko labda vijiwe vya kinondoni vijana, chipolopolo, mlimani, mikumi, lumumba kote huko utasikia simu tu zinaita watu wanakuja kukagua gari ataefika bei basi anapewa gari na faili anakuwekea pesa kwenye akaunti yako, hasa mtu wa namna hii asiwe online ili iweje wakati anategemea biashara awe hewani ili afanye business,
Sawa bwana dalali
 
Kuna hizi Id kila uzi zipp masaa yote hadi usiku. Kila ukiingia unaeakuta wanapiga stori, nahisi hawa wanajiuza humu.
-Depal
-amehlo
-Antonia
-corrsasico
-half american
-Wengine nikikumbuka nitawataja
Tunasubiri update ya mkeka [emoji3]
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha
Wewe umejuaje kama wanashinda mtandaoni ikiwa wewe hushindi huko?
Je, kama muda unaokuwa online ndio na wao wanakuwa online why useme wanashinda mtandaoni?
 
Watu washatega mitego Yao Hela zinaingia tu kwenye account na tigo pesa .then wapo humu masaa yote wanaperuzi unahisi kama hawana kazi kumbe wanakuchora tu
 
Kuna huyo
Lenie
Palina
Nk
Wote hao ni kujichatisha na wanaume tu humu always. Sijui kama wanakumbuka kufua chupi
Wivuuuu

Kama huna wa kuchat nao, hauko intouch na watu humu, basi kakate nyasi uuze huko upate pesa.

Koma kufatilia maisha ya watu mjomba
Mjini hapa, utalishwa fish wakati we mwenyewe fish
 
Wivuuuu

Kama huna wa kuchat nao, hauko intouch na watu humu, basi kakate nyasi uuze huko upate pesa.

Koma kufatilia maisha ya watu mjomba
Mjini hapa, utalishwa fish wakati we mwenyewe fish
Halafu kajuaje ninaochat nao ni wanaume??

Au anawafukuzia na yeye anataka wamchatishe
 
Halafu kajuaje ninaochat nao ni wanaume??

Au anawafukuzia na yeye anataka wamchatishe
Mwanaume kuwa na wivu, kufatilia na vitu usivyohusika navyo, ni aina fulani ya wazimu.
 
Back
Top Bottom