Mnaotaka kuingia USA pitieni BAHAMAS πŸ‡§πŸ‡Έ

Sambamba na mada naomba kwa anayejua utaratibu wa wanaoshinda USA Residence Visa Permit 2024 niliomba so matokeo watatoa next month so kwa waliowahi kuchaguliwa huwa mambo yakoje? Mean Visa ndo walisema kwa watakaoshinda watashughulikia wao waombaji na je, mambo mengine ya usafiri, maladhi na kupata kazi huko inakuwaje?

Thanks
 
Long time mpwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…