Mnaotumia bidhaa za Apple® Mnapigwa sana. Sijui hata mnavyotoa hela mnafikiriaga nini?

Hahahaa kuanzia iPhone 13 ukitafuta 12 kushuka nasikia wanaziharibu battery maksudi ili mnunue za juu
Ndo ulivyodanganywa 😂 😂
Wanatoa hizo sababu ili zisionekane betri hazina ubora ila ukweli ni kwamba hamna kitu, mi nina marafiki nawaona wanahangaika kubadilisha na sio kwamba wanaziharibu.

Wanasema Ooh sijui iPhone hupaswi kuchezea magemu, sijui hutakiwi sijui kufanya hivi vile 😂 sasa what's the aim of having a phone which is limited??
 
Aaah kumbe majanga tu!!

Cc Depal 🤣🤣🤣
 
Samsung gani unatumia mkubwa na Mimi nikaipate? Kigezo charge siku nzima.kutembea na USB hapana
 
Kuna kitu kinaitwa product review, kwa mentality yako basi watu wasingekua wanachambua kwa sababu tu ati kila product hua na targeted market. Hata magari yanachambuliwa kila kukicha na people make a fortune out of reviewing products.
Soma kwanza kichwa cha habari cha hii thread, halafu uje usome maoni yangu kisha unijibu upya.

Ova
 
Ukiona kitu hukielewi, ujue wewe sio mlengwa.

Walengwa wanaelewq
 
kmmko Kama huna uwezo wa kununua iPhone kaa kimya sio kufananisha iPhone na maredio yenu ya kichina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…