Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
kiukweli hata sisi tumesikitishwa sana ila ndoivo hamna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu bongo maisha ni rahisiBongo nyosso,,,,agenda za mpira zinateka watu kiasi kwamba wanashindwa kuhoji na kujadili ishu za msingi kwa maslah mapana ya nchi
Polenikiukweli hata sisi tumesikitishwa sana ila ndoivo hamna
View attachment 3263997
Intelligent businessman mwanao tayari kashagonga kitu Cha Maghayo Ghayo TheMongo BarbarianmaQuuu ww
fundi bishoo kwelikweli. What does that even mean? Are you agreeing or just making up new words? 😆maQuuu ww
you to talk english with me...? do you know or you just speak speak english without knowledge 🤣🤣you u make me to laughfundi bishoo kwelikweli. What does that even mean? Are you agreeing or just making up new words? 😆
🤣🤣kazngua uyo bhna
Nazifuata tu nyayo za Yesu. Yesu alipoongea na watu, mara nyingi alinukuu Maandiko. Kwa mfano Katika Mt 4 4 anasema: "Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu." Hapo alinukuu Kum 8:3.Nakufananisha na ID Moja hivi ilikuwa unapenda sana kutumia maandiko ya Bible sasa siioni.
% kubwa ya watanzania, muda sio mali.Ubaya uliopo ni kwamba wanapoteza muda mwingi bure. Muda ni mali.