Mnaotumia Masaa Mengi Kujadili Mpira, Mnapata Dola Ngapi kwa Siku?

Mnaotumia Masaa Mengi Kujadili Mpira, Mnapata Dola Ngapi kwa Siku?

Kwahio huyo kujiua ndio wote wanajiua ? Kwahio tuache / tukataze watu kuamiani au kuwa na Imani sababu kuna watu wanajiunga kwenye Cult kama kule Kenya ? Uchizi wa mtu mmoja (mgonjwa hauwezi kusababisha kitu kionekane hakifai)

Huyo kajirusha sababu ya uchizi wa ushabiki hajajirusha sababu anaongelea siku nzima kuhusu soka huenda angeongea angepunguza hizo hasira kuona ni mambo ya kawaida (kuna watu wanakunywa sumu na kujiua sababu ya mapenzi mbona hatushauri mapenzi yapigwe marufuku) ?

Hivi unajua kuna nchi ziliweka silaha chini na kuacha kupigana ili kwanza wakaangalie soka ? Watu waache kuongelea mpira ili waongelee nini ? (Siasa)!!! au wakeshe (Makanisani)!!! Sababu alternative kwamba waende kufanya uzalishaji ndio hivyo nakwambia as a country tumeshindwa kutumia nguvu kazi iliyopo (kuwatengeneza ajira zenye ujira) na kuhusu kwamba ordinary minds discuss events (its a step from discussing people) na kuhusu ideas, worldwide ni wachache sana wanaofanya hivyo..; na hata kusali from morning till dawn that ain't discussing ideas..., thus its like a Pot calling a Kettle Black.
Huu mjadala umemkasirisha sana shabiki mkubwa wa mpira GENTAMYCINE. Kuna mtu amemuita aje hapa, amemjibu kwa matusi ya nguoni. Unaonaje tukiishia hapa, mkuu. Biblia inasema tuwe macho. Shetani asije akawafanya na wengine wakajirusha chini kutoka ghorofani kwa hasira kwa sababu wamekosa points za kutetea ushabiki wao. Wanaojirusha sio machizi. Wanadanganywa na Ibilisi kwamba wakijiua aibu yao ya kufungwa magoli itaisha, kumbe wanajipeleka jehanam.
1 Petro 5:8 BHN
Muwe macho; kesheni! Maana adui yenu, Ibilisi, huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mawindo.
 
Wewe unavyokemea mtu / apate shida au kumuangamiza eti kwa jina la Yesu
Biblia hainifundishi kukemea mtu apate shida. Hata adui napaswa kumlisha. Wa kukemewa ni mmoja tu(shetani) kama ilivyoandikwa katika Yakobo 4:7

Nawapenda watu kama Mungu alivyonipenda. Upendo wa Mungu ndio ulionisukuma niwape ushauri hao wanaopoteza muda kujadili mpira, watumie muda wao vizuri kujiongezea kipato. Nashukuru wengi wameufurahia ushauri huo, isipokuwa wewe tu na wengine wachache.
 
Huu mjadala umemkasirisha sana shabiki mkubwa wa mpira GENTAMYCINE. Kuna mtu amemuita aje hapa, amemjibu kwa matusi ya nguoni. Unaonaje tukiishia hapa, mkuu. Biblia inasema tuwe macho. Shetani asije akawafanya na wengine wakajirusha chini kutoka ghorofani kwa hasira kwa sababu wamekosa points za kutetea ushabiki wao. Wanaojirusha sio machizi. Wanadanganywa na Ibilisi kwamba wakijiua aibu yao ya kufungwa magoli itaisha, kumbe wanajipeleka jehanam.
1 Petro 5:8 BHN
Muwe macho; kesheni! Maana adui yenu, Ibilisi, huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mawindo.
Lakini kama kifo kimepangwa na siku haijafika hao wanaojirusha si wangepona na wasingekufa ? : Anyway to each his own ndio maana nikasema Home is where your Heart is wewe kama una feel safe and secure Kanisani all the best na hao kama wanapiga talalila day in day out (iwapo hawapo makazini na kushindwa kutoa huduma ambayo wanalipwa watoe) basi fair to them..., tena huenda wasingefanya hivyo as the saying goes "Idle Hands are the Devils Plaything" kwahio hao ambao wamekuja hapa kukutukana kama wangekuwa hawana sehemu ya kwenda kuzungumzia mpira huenda wangefuata wakati unaimba Kwaya na wakakutukana huko..., Sasa sijui unge turn the other cheek au na wewe ungejirusha toka ghorofani....
 
Biblia hainifundishi kukemea mtu apate shida. Hata adui napaswa kumlisha. Wa kukemewa ni mmoja tu(shetani) kama ilivyoandikwa katika Yakobo 4:7

Nawapenda watu kama Mungu alivyonipenda. Upendo wa Mungu ndio ulionisukuma niwape ushauri hao wanaopoteza muda kujadili mpira, watumie muda wao vizuri kujiongezea kipato. Nashukuru wengi wameufurahia ushauri huo, isipokuwa wewe tu na wengine wachache.
Ili iweje ? Kwahio kipato kikishafikia hatua ya kuweza kupata mlo wafanye nini ? Au at what time ndio waanze kuzungumzia mpira..., sababu hawajafa kwa njaa wala kwa kukosa Chakula Mavazi na Malazi nadhani wamejipatia kipato na tena wengi wanaojadili mpira hivyo wanavyo kuliko wale wenye njaa hata nguvu za kujadili hawana...

Thus comes my main point (unalaumu wasio na makosa) laumu watunga sera kutoweza kuzuia hili wimbi la mafukara kwa watu kukosa ajira zenye ujira na kila wakijitahidi kubangaiza imekuwa ni kama betting...
 
Mkuu unataka watu wajadili mambo gani?

nakuomba sana usiseme mambo ya DINI!
 
Lakini kama kifo kimepangwa na siku haijafika hao wanaojirusha si wangepona na wasingekufa ?
Kifo hakipangwi. According to Psalms 90:10, miaka yetu inapaswa kuwa around 80. Lakini kama nilivyokuambia Ibilisi yuko kazini, anatafuta mawindo. Na kwenye ushabiki kama huo wa mpira, shetani hakosekani. So, akiweza kumshawishi mtu akatishe umri wake kwa kujiua, hiyo ndio furaha ya shetani. Na mtu akijiua, anakuwa amefanya dhambi hivyo anaenda moja kwa moja jehanam.
huenda wangefuata wakati unaimba Kwaya na wakakutukana huko..., Sasa sijui unge turn the other cheek au na wewe ungejirusha toka ghorofani....
Of course, ningemgeuzia shavu la kushoto! Siwezi kujirusha maana najua kwa kufanya hivyo ntaikosa raha ya mbinguni.
 
tena wengi wanaojadili mpira hivyo wanavyo kuliko wale wenye njaa
Unaongea ukiwa California? Tembelea sehemu nyingine za dunia uone. Nikianza kukupa stori za wenye njaa lakini wanajadili mpira utashangaa.
 
Kifo hakipangwi. According to Psalms 90:10, miaka yetu inapaswa kuwa around 80. Lakini kama nilivyokuambia Ibilisi yuko kazini, anatafuta mawindo. Na kwenye ushabiki kama huo wa mpira, shetani hakosekani. So, akiweza kumshawishi mtu akatishe umri wake kwa kujiua, hiyo ndio furaha ya shetani. Na mtu akijiua, anakuwa amefanya dhambi hivyo anaenda moja kwa moja jehanam.
Kwahio mtoto akifa instantly anavyozaliwa ni kwamba Ibilisi kamshinda Mungu ? After all huwezi ukasema huyu mtoto alikuwa na option; au yule anayebakwa ? Kwahio wanaofikisha miaka 100 what then hapo ibilisi anamzuia Mungu kuchukua roho ?
Of course, ningemgeuzia shavu la kushoto! Siwezi kujirusha maana najua kwa kufanya hivyo ntaikosa raha ya mbinguni.
Na kusamehe unasamehe sio sababu ya Dini wala Imani ni ubinadamu sababu ungefuata Dini na Maandiko ungeweza kufanya kama ya Sodoma na Gomorrah au ya kule Egypt kosa la mmoja unaangamiza mji mzima.
 
Unaongea ukiwa California? Tembelea sehemu nyingine za dunia uone. Nikianza kukupa stori za wenye njaa lakini wanajadili mpira utashangaa.
Huwezi ukawa na njaa unapiga mihayo ukajadili mpira, chakula ndio nishati without it you die, hadi ukiona mtu anaingia kwenye entertainment ni kwamba atleast ameridhika na hali yake...; sasa wewe ukitaka hata kumuondolea hio starehe yake ndogo iliyobaki isiyo na gharama nashindwa kukuelewa motive yako ni nini ?
 
Huwezi ukawa na njaa unapiga mihayo ukajadili mpira, chakula ndio nishati without it you die, hadi ukiona mtu anaingia kwenye entertainment ni kwamba atleast ameridhika na hali yake...; sasa wewe ukitaka hata kumuondolea hio starehe yake ndogo iliyobaki isiyo na gharama nashindwa kukuelewa motive yako ni nini ?
Hakuna mtu anaridhika kula mlo mmoja wa ugali maharage, daily. Na kiafya hiyo sio sahihi hata kama ugali unatoa nishati ya kujadili mpira. Halafu unajipinga, ulisema mashabiki wanajadili mpira kuondoa stress; sasa unasema ni entertainment isiyo na gharama? Motive yangu nimeishasema, ni kuwafungua macho mashabiki wanaolia njaa na ukosefu wa ajira watumie muda wao kufikiri na kutafuta fursa mpya za kujiongezea kipato, ili angalau basi wale milo miwili kwa siku. Nimeshauri pia kwamba afadhali wajadili mambo ya utauwa, kwa sababu yana ahadi ya uzima wa sasa na ya ule ujao(1 Tim 4:8). Afadhali mtu aishi kwa shida hapa duniani then aingie mbinguni kwenye raha ya milele, kuliko aishi kwa shida 70 years then aende kuteseka tena milele jehanam. Aliyeelewa, Mungu ambariki. Ambaye bado hajaelewa, Mungu amsaidie kuelewa.🔚🔒🤐
 
Hakuna mtu anaridhika kula mlo mmoja wa ugali maharage, daily.
Unajua maana ya kuridhika ? Mtu anayefunga na anakula daku haridhiki ? Sababu kichwani mwake anajua anachofanya ni bora zaidi hivyo ameridhika (kwa nafsi yake) mwingine hata akila milo kumi sababu hajaenda restaurant na watu kumuona anaspend pesa basi anakuwa hajaridhika nafsi yake...

Na mtu huyu akiacha kuongelea mpira ndio automatically ugali maharage yatabadilika kuwa chakula kingine au akitumia muda huo kusali ndio atabadilisha mlo mmoja wa mkate na maji kuwa milo mitatu ya mkate na divai ?!!!

One has got nothing to do with the other sasa hivi watu hawapati ujira wa kutosha not for the lack of trying or being lazy bali sababu ya mifumo ambayo sio sustainable...
Na kiafya hiyo sio sahihi hata kama ugali unatoa nishati ya kujadili mpira.
Unadhani kuwa na pesa ndio kula mlo sahihi.., kwanza sasa hivi kuna junk foods which cost more lakini kiafya sio sahihi lakini still huko ni kutoka kwenye mada mtu huyu akisali masaa ambayo angejadili mpira ndio atabadilisha wanga kuwa balanced diet ?
Halafu unajipinga, ulisema mashabiki wanajadili mpira kuondoa stress; sasa unasema ni entertainment isiyo na gharama?
Kwahio entertainment ambayo haina gharama haiondoi stress ?!! Sijakuelewa hapo kwahio ili stress iondoke lazima ugharamie (monetarywise) na isiwe entertainment ?
Motive yangu nimeishasema, ni kuwafungua macho mashabiki wanaolia njaa na ukosefu wa ajira watumie muda wao kufikiri na kutafuta fursa mpya za kujiongezea kipato, ili angalau basi wale milo miwili kwa siku.
Hio fursa ndio nakwambia waambie watunga sera unaowalipa Kodi zako waje na Sera nzuri hata watu hawa wakilima mihogo, matikiti na mahindi yasiozee shambani wapate masoko, na kila wakipata kidogo wasikichukue na matozo hadi watu hawa kudumbukia kwenye Vikoba
Nimeshauri pia kwamba afadhali wajadili mambo ya utauwa, kwa sababu yana ahadi ya uzima wa sasa na ya ule ujao(1 Tim 4:8). Afadhali mtu aishi kwa shida hapa duniani then aingie mbinguni kwenye raha ya milele, kuliko aishi kwa shida 70 years then aende kuteseka tena milele jehanam. Aliyeelewa, Mungu ambariki. Ambaye bado hajaelewa, Mungu amsaidie kuelewa.🔚🔒🤐
Huo uzima umeona wewe kwao wanaona unapoteza muda wako na hata ukisema kwamba ni bora utumie muda kujinyima huku ili ukimkuta kule uwe safe kuliko usingemtafuta huku ukimkuta kule ikawa shida (takwambia usipomkuta itakuwa umepoteza muda wako huku kwa kuishi kwa kujinyima nafsi..., na hata kama wewe haujinyimi hawa wanaozungumzia mpira watakuwa wamejinyima) And by the looks za watu wa huko na hypcrisy for my money hawa watu down to earth cheering happy go lucky they are better human beings kwahio sioni kwanini wawe penelized just for discussing their heart desires...
 
Kukaa kanisani masaa mengi ni kujizoeza utauwa.
1 Timotheo 4:8
"...utauwa una faida kwa mambo yote, una ahadi ya uzima wa sasa na ule ujao."

Wanaotumia muda mwingi kujadili mpira, mara nyingi wanaishia kujaa hasira, ghadhabu, kutukanana na kudharauliana. Hayo mambo yanaweza kuwapeleka motoni.

Waefeso 4:31
"Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matukano yaondoke kwenu, pamoja na kila uovu."
Quantify it in monetary terms. Wacha blah blah....kelele mingi
 
nakuomba sana usiseme mambo ya DINI!
Mimi nimesema mambo ya dini au nimetoa hoja za kuwasaidia wanaopoteza fursa ya kujiongezea kipato. Ungenipinga kwa hoja nilizotoa ingependeza zaidi.
Vinginevyo uwaambie wakuu wa JF wafute hiyo Tagline ya JamiiForums: "Where We Dare To Speak Openly"
 
Mimi nimesema mambo ya dini au nimetoa hoja za kuwasaidia wanaopoteza fursa ya kujiongezea kipato. Ungenipinga kwa hoja nilizotoa ingependeza zaidi.
Vinginevyo uwaambie wakuu wa JF wafute hiyo Tagline ya JamiiForums: "Where We Dare To Speak Openly"
Sasa usiwapangie watu..
kama wewe hakuna mtu yoyote humu JF kakupangia kuleta mada zako na hawa wanaopenda mpira nao ni sawa kabisa kushabikia na kuongelea mambo ya mpira.

Kila mtu ashinde mechi zake!
 
Back
Top Bottom