M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Hebu tembelea nchi za Wazungu, kuna channels nyingi za sports 24/7 zaidi ya nchi yoyote Africa, udangaji ni official na malaya wanaheshimika kama official profession na wanalipa kodi, udangaji Africa(hasa Tanzania) ni mdogo mno.Kama jana maeneo tofauti nakutana na watu from nowhere wanajadiliana mpira wa Simba vs Yanga issue ya Derby.
Nikawa nawaza,hivi hawa mbona wamekazana sana?
Hivi hawa wangekuwa ndio kizazi cha miaka ya 1920+ hadi 1959+ hii inchi ingepata huu uhuru wa leo tulio nao?🤔
Imagine wazungu wangeweka mambo ya mpira redioni muda wote na kuruhusu pombe kwa wingi plus mademu kujiuza na udangaji hivi hili taifa lingepatikana.
Hiki kizazi ni cha hovyo kuwahi kutokea katika hii jamii ya muafrika tokea uhuru.
Kufanya kazi masaa mengi si kufanikiwa kimaisha, think,plan and strategize sensibly na utagundua masaa machache sana ya hustles yanatosha sana kwa mtu kufanikiwa kimaisha. Wasio na uwezo wa kufanya kazi zao wenyewe kuingiza kipato ndiyo hufanyishwa kazi kama punda na kipato portion kubwa ya kipato huenda kwa wanaowafanyia kazi ambao wana muda mwingi wa ku-relax.