Mnaotumia Masaa Mengi Kujadili Mpira, Mnapata Dola Ngapi kwa Siku?

Mnaotumia Masaa Mengi Kujadili Mpira, Mnapata Dola Ngapi kwa Siku?

Huu muda unaotumia kuandika thread ndefu kuhusu mpira umeutoa wapi,?
Bado unaendelea kusoma comments! Watu mna muda wa kuchezea bàdala ya kujifunza biblia.
Hujaona jinsi ninavyo-quote mistari mingi ya Biblia? Ninatumia muda mwingi kujifunza Biblia ndio sababu Maandiko yanatiririka kama maji. Kwa taarifa yako, Biblia nimeishaisoma sura kwa sura kuanzia Mwanzo-Ufunuo zaidi ya mara tatu. Neno la Kristo limekaa kwa wingi ndani yangu(Kol 3:16).
 
Mpira umekuwa ulevi wa wanaume wengi,wanaharibu muda mwingi na kutumia akili kwa mambo yasiyo ya msingi.Muda mwingi hawana utulivu wa kutulia na kufikiri mambo ya msingi pia
 
Mpira wa miguu ni burudani inayowachangamsha wengi, lakini je, umewahi kujiuliza thamani ya muda unaotumia kujadili mpira? Wengine hutumia saa nyingi kubishana kuhusu wachezaji, timu, na matokeo, lakini je, mijadala hiyo inazalisha kipato chochote?

Katika ulimwengu wa sasa, muda ni rasilimali muhimu. Wale wanaonufaika zaidi na mpira ni wachezaji, makocha, watangazaji, na wadhamini—si mashabiki wanaopoteza masaa kwenye mabishano yasiyo na tija.

Biblia inasema: “Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya. Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.”(Waefeso 5:16-17 BHN). Badala ya kutumia muda mwingi kuzungumzia mpira bila faida, ni vyema kufikiria jinsi unavyoweza kutumia muda wako kwa njia yenye manufaa zaidi, kama kujifunza ujuzi mpya, kuwekeza, au kuunda fursa za kipato. Hebu jiulize tena:

👉Baada ya kubishana kuhusu mpira, akaunti yako ya benki itaongezewa pesa?
👉Je, mjadala wako wa mpira utalipia bili zako za mwezi huu?
👉Dakika unazotumia kubishana kuhusu mpira zingekuletea faida gani kama ungezitumia kwa kazi inayokuongezea kipato?
👉Wachezaji unaowatetea wanajua hata jina lako?
👉Kama ungetumia muda huo kujifunza ujuzi mpya, ungekuwa mbali kiasi gani sasa?

Si afadhali hata ungetumia muda mwingi kujadili mambo ya rohoni ili ujizoeze kuwa na utauwa? Utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye(1 Timotheo 4:7-8).
ndio ujue nchi masikini hamna tunachowaza zaidi ya vitu very cheap lakini yanapokuja masuala ya msingi huwezi kuona mtu hata anatia neno.
 
Nafikiri hujaelewa vizuri walengwa(target audience) wa mada hii. Walengwa ni wale wanaolalamika kwamba maisha ni magumu, pesa hamna, wanakula mlo mmoja kwa siku, watoto wamefukuzwa shule kwa kukosa ada... au kwa ujumla walala hoi.
Kama wale ambao yote hayo hawana na wanashinda kanisani au kutumia muda wao kusali (Zote hizo ni Opium za kupunguza Stress);
Sasa hawa badala ya kutumia muda wao kutafuta njia au kufanya shughuli za kujikwamua kutoka katika adha hizo, wanapoteza muda kujadili mpira.
Uliwapa shughuli za kupata ujira wakakataa ? Ni kwamba watunga Sera they have let these people down ndio maana likitokea tangazo la ajira wanatokea watu maradufu which means sio kwamba watu hawataki kufanya kitu bali infrastructure na system iliyopo imeshindwa kuwakwamua hawa (na badala ya kulaumu huo mpira shukuru sababu unapunguza stress) sababu baadhi ya hao ndio walilima mazao yakakosa wanunuzi, kila wakichukua mizigo kodi mpaka kwenye kope, wameuza shamba wakawe wauguzi na wakufunzi wanaambiwa wakauze uji (believe me bila kupata sehemu ya kutoa stress huenda watu hawa wangeku harass mtaani)
Majadiliano ambayo hayawaongezei hata senti, badala yake yanawaongezea stress pale timu zao pendwa zinapofungwa. Kwenye piramidi yako, hao bado hawajavuka hiyo ngazi ya basic needs.
Moja kuongelea ni kwamba yanawapa furaha ya kujadili na rafiki zao kitu ambacho wanacho in common hapo unaweza kutoa mpira ukaweka siasa, dini, wanawake, movies au chochote kile be it entertainment or anything

Pili kwahio unataka kusema wote wanaoongelea mpira ni mafukara ? Na kama ni mafukara hata entertainment na yenyewe wasipate ? Alafu unajua basic needs mkuu ? (Yaani mtu hata chakula hana na security anaogopa / hana peace of mind) atapata muda hata wa kuongelea mpira ?!!!!

Pili unavyounganisha umasikini na uchapaji kazi / uvivu na utajiri nadhani katika karne hii unakosea sana...

 
Kama wale ambao yote hayo hawana na wanashinda kanisani au kutumia muda wao kusali (Zote hizo ni Opium za kupunguza Stress);
Wanaoshinda kanisani wana kitu cha ziada. Soma: 1 Tim 6:6-19, 1 Tim 4:8.
Halafu nikuambie shabiki wa mpira timu yake ikifungwa anaongeza stress badala ya kupunguza, maana atazomewa, atadharauliwa...
Uliwapa shughuli za kupata ujira wakakataa ?
Mimi nimewapa ideas za jinsi ya kujiongezea kipato. Shughuli za kufanya zipo nyingi lakini mtu hawezi kuziona 'akilewa' ushabiki wa mpira, mkuu.
 
Wanaoshinda kanisani wana kitu cha ziada. Soma: 1 Tim 6:6-19, 1 Tim 4:8.
Hio ni perception yako.., kwa perception ya jamii hawa wanaozungumzia mpira ni wateja / consumers kuna nchi mpira ndio kati ya economic powerhouse..., pili uchumi wa sasa unaendeshwa na consumption huyu anayezungumzia mpira ndio anatune kuangalia mpira, anaangalia TV, anasikiliza redio kwahio anatafuta pesa za ili kupata vitu hivyo anavyotaka.., kwahio kwake yeye hata leo akipata pesa huo ndio ulevi wake, kwahio its the ONUS ya Taifa / Nchi itumie nguvu kazi yake huyu ili aweze kumudu zaidi luxury yake...

And I can tell you katika vitu ambavyo vimeleta umoja na mshikamano na mpira upo on that same token naweza nikwambia a lot of wars and harm has been cause na hao washinda makanisani na misikitini sababu at its core kuna wao na sisi (kwenye mpira mara nyingi ni utani wa jadi ukinifunga nakusubiria) huko ni kuitana makafiri....
Halafu nikuambie shabiki wa mpira timu yake ikifungwa anaongeza stress badala ya kupunguza, maana atazomewa, atadharauliwa...
High and lows that is life kwahio at every given time kuna ambao wana furaha wengine hawana furaha until the next game (life goes on)
Mimi nimewapa ideas za jinsi ya kujiongezea kipato. Shughuli za kufanya zipo nyingi lakini mtu hawezi kuziona 'akilewa' ushabiki wa mpira, mkuu.
Mtu mmoja mmoja anaweza kutoka kivyake inategemea na discipline ya mtu na kujituma na kutokukata tamaa ila as a majority na kuondoa lindi la masikini (hilo linahitaji nguvu ya ziada na infrastructure ambayo ni sustable) Pia kwa mmoja mmoja kutoka kivyake haiondoi wajibu wa Serikali kuhakikisha kwamba wanatunga sera za kuweza kuhakikisha majority wanapata ujira. Watu wote kila mtu hawezi kuingia kitaa lazima kuwe na systems ambazo ni sustainable bila ya hivyo the gap of have and have nots inazidi na tunapoelekea sitashangaa yakitokea ya French Revolution (Absolute Poverty anywhere is a Threat to Society Everywhere) na hapo tukifika hata hio Opium of the Mass haitafanya kazi....;

Ila until that time arrive (inabidi watunga Sera wahakikishe watu wanapata ujira, na wanachofanyia huo ujira wao ni uamuzi wao) wala tusiwachagulie ukizingatia hatujawaita kwenye shughuli za kufanya wakaacha kuja (after all ni wengi wanatafuta shughuli zenye ujira); kwahio hata hawa wakifanya mengi hakuna buying power ya kuchukua bidhaa zao
 
Hio ni perception yako.., kwa perception ya jamii hawa wanaozungumzia mpira ni wateja / consumers kuna nchi mpira ndio kati ya economic powerhouse..., pili uchumi wa sasa unaendeshwa na consumption huyu anayezungumzia mpira ndio anatune kuangalia mpira, anaangalia TV, anasikiliza redio kwahio anatafuta pesa za ili kupata vitu hivyo anavyotaka.., kwahio kwake yeye hata leo akipata pesa huo ndio ulevi wake, kwahio its the ONUS ya Taifa / Nchi itumie nguvu kazi yake huyu ili aweze kumudu zaidi luxury yake...

And I can tell you katika vitu ambavyo vimeleta umoja na mshikamano na mpira upo on that same token naweza nikwambia a lot of wars and harm has been cause na hao washinda makanisani na misikitini sababu at its core kuna wao na sisi (kwenye mpira mara nyingi ni utani wa jadi ukinifunga nakusubiria) huko ni kuitana makafiri....

High and lows that is life kwahio at every given time kuna ambao wana furaha wengine hawana furaha until the next game (life goes on)

Mtu mmoja mmoja anaweza kutoka kivyake inategemea na discipline ya mtu na kujituma na kutokukata tamaa ila as a majority na kuondoa lindi la masikini (hilo linahitaji nguvu ya ziada na infrastructure ambayo ni sustable) Pia kwa mmoja mmoja kutoka kivyake haiondoi wajibu wa Serikali kuhakikisha kwamba wanatunga sera za kuweza kuhakikisha majority wanapata ujira. Watu wote kila mtu hawezi kuingia kitaa lazima kuwe na systems ambazo ni sustainable bila ya hivyo the gap of have and have nots inazidi na tunapoelekea sitashangaa yakitokea ya French Revolution (Absolute Poverty anywhere is a Threat to Society Everywhere) na hapo tukifika hata hio Opium of the Mass haitafanya kazi....;

Ila until that time arrive (inabidi watunga Sera wahakikishe watu wanapata ujira, na wanachofanyia huo ujira wao ni uamuzi wao) wala tusiwachagulie ukizingatia hatujawaita kwenye shughuli za kufanya wakaacha kuja (after all ni wengi wanatafuta shughuli zenye ujira); kwahio hata hawa wakifanya mengi hakuna buying power ya kuchukua bidhaa zao
Unawatetea mashabiki lakini familia ya huyu shabiki hujaenda kuwapa rambirambi

Hiyo ndiyo luxury unayoombea mashabiki wawe nayo
 
Hujawahi kuacha kunitajataja utadhani nilikuwa Mumeo au Hawara yako huko nyuma sasa nimekuacha hivyo una Hasira nami au unatamani urejee tena Kwangu.
Kazi yangu mimi ni kukuita tu ndio maana JF wakaweka kipengele hicho cha kuita
 
kuna nchi mpira ndio kati ya economic powerhouse..., pili uchumi wa sasa unaendeshwa na consumption huyu anayezungumzia mpira ndio anatune kuangalia mpira, anaangalia TV, anasikiliza redio kwahio anatafuta pesa
Mimi sijazungumzia mashabiki wa nchi ambazo mpira ni economic power house. Nazungumzia mashabiki hawa ambao hata kombe la Africa hawajawahi kuliona 'live'. Nazungumzia wale ambao wanakusanyika kama mashabiki ishirini halafu wanaenda kwenye nyumba ya mtu mmoja mwenye TV ili kutazama mpira!
And I can tell you katika vitu ambavyo vimeleta umoja na mshikamano na mpira upo on that same token
Jaribu ku-google "MASHABIKI wapigana baada ya timu yao kufungwa" utapata habari nyingi za mapigano. Halafu uniambie kama hizo 'ndondi' ndio mshikamano unaousema.

Halafu hujasikia mambo ya uchawi na kurogana kwenye mpira? Huo ndio umoja au ni ushetani tu.
 
Mpira wa miguu ni burudani inayowachangamsha wengi, lakini je, umewahi kujiuliza thamani ya muda unaotumia kujadili mpira? Wengine hutumia saa nyingi kubishana kuhusu wachezaji, timu, na matokeo, lakini je, mijadala hiyo inazalisha kipato chochote?

Katika ulimwengu wa sasa, muda ni rasilimali muhimu. Wale wanaonufaika zaidi na mpira ni wachezaji, makocha, watangazaji, na wadhamini—si mashabiki wanaopoteza masaa kwenye mabishano yasiyo na tija.

Biblia inasema: “Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya. Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.”(Waefeso 5:16-17 BHN). Badala ya kutumia muda mwingi kuzungumzia mpira bila faida, ni vyema kufikiria jinsi unavyoweza kutumia muda wako kwa njia yenye manufaa zaidi, kama kujifunza ujuzi mpya, kuwekeza, au kuunda fursa za kipato. Hebu jiulize tena:

👉Baada ya kubishana kuhusu mpira, akaunti yako ya benki itaongezewa pesa?
👉Je, mjadala wako wa mpira utalipia bili zako za mwezi huu?
👉Dakika unazotumia kubishana kuhusu mpira zingekuletea faida gani kama ungezitumia kwa kazi inayokuongezea kipato?
👉Wachezaji unaowatetea wanajua hata jina lako?
👉Kama ungetumia muda huo kujifunza ujuzi mpya, ungekuwa mbali kiasi gani sasa?

Si afadhali hata ungetumia muda mwingi kujadili mambo ya rohoni ili ujizoeze kuwa na utauwa? Utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye(1 Timotheo 4:7-8).
Hivi umendika uzi mrefu bivi unalipwa dola ngapi?
 
Sijui kizazi hiki kimekuwaje maana Yanga na Simba zipo toka zamani ila hatujawahi ona huu UPUUZI..au Serikali ya CCM ina mkono wake?
 
Moja ya watu wa hovyo na ambao hawatakiwi kusikilizwa ni WALOKOLE, ..ona huyu mlokole sasa anataka kila mtu aishi maisha yake.
Halafu sio kila mtu anaebishania mpira hana kazi, wengine wanabishania mpira wakiwa katika maeneo yao ya kazi huku wakiendelea kuchapa kazi,..swali la kujiuliza ni mbona wapo na wanaishi, hizo bills za gharama za maisha wewe ndo unawalipia?.
Acha unafki mlokole wewe.
 
Mpira wa miguu ni burudani inayowachangamsha wengi, lakini je, umewahi kujiuliza thamani ya muda unaotumia kujadili mpira? Wengine hutumia saa nyingi kubishana kuhusu wachezaji, timu, na matokeo, lakini je, mijadala hiyo inazalisha kipato chochote?

Katika ulimwengu wa sasa, muda ni rasilimali muhimu. Wale wanaonufaika zaidi na mpira ni wachezaji, makocha, watangazaji, na wadhamini—si mashabiki wanaopoteza masaa kwenye mabishano yasiyo na tija.

Biblia inasema: “Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya. Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.”(Waefeso 5:16-17 BHN). Badala ya kutumia muda mwingi kuzungumzia mpira bila faida, ni vyema kufikiria jinsi unavyoweza kutumia muda wako kwa njia yenye manufaa zaidi, kama kujifunza ujuzi mpya, kuwekeza, au kuunda fursa za kipato. Hebu jiulize tena:

👉Baada ya kubishana kuhusu mpira, akaunti yako ya benki itaongezewa pesa?
👉Je, mjadala wako wa mpira utalipia bili zako za mwezi huu?
👉Dakika unazotumia kubishana kuhusu mpira zingekuletea faida gani kama ungezitumia kwa kazi inayokuongezea kipato?
👉Wachezaji unaowatetea wanajua hata jina lako?
👉Kama ungetumia muda huo kujifunza ujuzi mpya, ungekuwa mbali kiasi gani sasa?

Si afadhali hata ungetumia muda mwingi kujadili mambo ya rohoni ili ujizoeze kuwa na utauwa? Utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye(1 Timotheo 4:7-8).
Yani kama ndio unafikiria hivyo. Dunia haipo hivyo.

Kila mtu ana maisha yake ya kumpa furaha. Kama ww ni mpenzi wa picha za ngono sisi ni washabiki wa soka
 
Mpira wa miguu ni burudani inayowachangamsha wengi, lakini je, umewahi kujiuliza thamani ya muda unaotumia kujadili mpira? Wengine hutumia saa nyingi kubishana kuhusu wachezaji, timu, na matokeo, lakini je, mijadala hiyo inazalisha kipato chochote?

Katika ulimwengu wa sasa, muda ni rasilimali muhimu. Wale wanaonufaika zaidi na mpira ni wachezaji, makocha, watangazaji, na wadhamini—si mashabiki wanaopoteza masaa kwenye mabishano yasiyo na tija.

Biblia inasema: “Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya. Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.”(Waefeso 5:16-17 BHN). Badala ya kutumia muda mwingi kuzungumzia mpira bila faida, ni vyema kufikiria jinsi unavyoweza kutumia muda wako kwa njia yenye manufaa zaidi, kama kujifunza ujuzi mpya, kuwekeza, au kuunda fursa za kipato. Hebu jiulize tena:

👉Baada ya kubishana kuhusu mpira, akaunti yako ya benki itaongezewa pesa?
👉Je, mjadala wako wa mpira utalipia bili zako za mwezi huu?
👉Dakika unazotumia kubishana kuhusu mpira zingekuletea faida gani kama ungezitumia kwa kazi inayokuongezea kipato?
👉Wachezaji unaowatetea wanajua hata jina lako?
👉Kama ungetumia muda huo kujifunza ujuzi mpya, ungekuwa mbali kiasi gani sasa?

Si afadhali hata ungetumia muda mwingi kujadili mambo ya rohoni ili ujizoeze kuwa na utauwa? Utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye(1 Timotheo 4:7-8).
Mashabeki wa mpira wapo katika makurdi mawili ,kundi la kwanza ni kundi la matajiri ambao eidha wanapata hela kutoka kwenye biashara kubwa zinazo jiendesha bila wao kutumia mda. Au wanapata hela kwa njia za kisiasa, ama wezi wa kodi za wananchi. Kundi la pili ambalo ndio wengi. Ni watu walio kataa tamaa ya maisha . Hawa ni washabeki wa mpira sio kwasababu wanapenda mpira ila mpira ndio chaka Lao la kujificha umasikini wao. Kwasababu hawataki kuumiza vichwa vyao kutafuta suluhu la umasikini wao wala hawataki kujuwa chanzo cha umasikini wao ni nini. Nao hao hawana mchango wowote kwa jamii. Maana hawashiliki kwenye shughuli za kijamii kama kwenda kwenye mikutano ya kisiasa. Au kujihusisha na shughuli za uzalishaji mali zaidi ya kufanya vibaruwa vya kupata hela ya kula na kuchezea tu.
 
Nimekuuliza USD ngapi umejibu maneno. Hapa tunaongelea Dollar ngapi unapata kwa kujadili dini
Hahaa, should you find yourself unable to comprehend such a straightforward calculation, I would venture to suggest that even the seemingly simple task of converting from dollars to your local currency could very well constitute a formidable 'dilemma.'
NB: Eternal benefit SI kupaumbele cha wote
Hongera, mkuu! Naona wewe utaishi milele duniani, eternal benefit sio kipaumbele chako.
Mimi najua:
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi(Ayu 14:1).
Kwa sababu hiyo:
Nayatafuta yaliyo juu Kristo aliko, ameketi mkono wa kulia wa Mungu. Nayafikiri yaliyo juu, siyo yaliyo katika nchi(Wakolosai 3:1-4)
 
Yani kama ndio unafikiria hivyo. Dunia haipo hivyo.

Kila mtu ana maisha yake ya kumpa furaha. Kama ww ni mpenzi wa picha za ngono sisi ni washabiki wa soka
Timu yako ikifungwa unakasirika, mchezo ukiahirishwa unalia. Kama hiyo ndiyo furaha, pole sana. Nakushauri usome huu uzi ujue furaha ya mbinguni, ukate tiketi mapema ya kwenda mbinguni kabla neema haijafungwa:
 
Unawatetea mashabiki lakini familia ya huyu shabiki hujaenda kuwapa rambirambi

Hiyo ndiyo luxury unayoombea mashabiki wawe nayo
Kwahio huyo kujiua ndio wote wanajiua ? Kwahio tuache / tukataze watu kuamiani au kuwa na Imani sababu kuna watu wanajiunga kwenye Cult kama kule Kenya ? Uchizi wa mtu mmoja (mgonjwa hauwezi kusababisha kitu kionekane hakifai)

Huyo kajirusha sababu ya uchizi wa ushabiki hajajirusha sababu anaongelea siku nzima kuhusu soka huenda angeongea angepunguza hizo hasira kuona ni mambo ya kawaida (kuna watu wanakunywa sumu na kujiua sababu ya mapenzi mbona hatushauri mapenzi yapigwe marufuku) ?

Hivi unajua kuna nchi ziliweka silaha chini na kuacha kupigana ili kwanza wakaangalie soka ? Watu waache kuongelea mpira ili waongelee nini ? (Siasa)!!! au wakeshe (Makanisani)!!! Sababu alternative kwamba waende kufanya uzalishaji ndio hivyo nakwambia as a country tumeshindwa kutumia nguvu kazi iliyopo (kuwatengeneza ajira zenye ujira) na kuhusu kwamba ordinary minds discuss events (its a step from discussing people) na kuhusu ideas, worldwide ni wachache sana wanaofanya hivyo..; na hata kusali from morning till dawn that ain't discussing ideas..., thus its like a Pot calling a Kettle Black.
 
Halafu hujasikia mambo ya uchawi na kurogana kwenye mpira? Huo ndio umoja au ni ushetani tu.
Wewe unavyokemea mtu / apate shida au kumuangamiza eti kwa jina la Yesu au yoyote yule au mwingine anapigana vita na kumpiga mwingine eti taifa teule au mwingine sababu sio wa Imani yake huo kama sio Uchawi na Ushetani ni nini ?!!! (Kwangu mimi Ushetani ni jambo lolote ambalo ni cruelity na lina mean harm kwa mwingine no matter linatokana kwa nani au linatangulizwa na Prefix gani)

Kwahio hawa wanajadili mpira kama wanaamini ushetani basi hawana tofauti na wewe unayeamini upande mwingine zote ni Imani huenda yeye anaamini mababu zake wewe unaamini from the view of different culture tofauti na yake...

Na hapo sasa kama ukibadilisha wanaoongelea uchawi asubuhi mpaka jioni nadhani nisingebishana na wewe sababu wengine wanaongelea kitu kilichopo na wengine vitu abstract... (Yaani wanaongelea kitu hata ambacho hawakijui wala hawana uhakika nacho)
 
Back
Top Bottom