Mnaotumia Masaa Mengi Kujadili Mpira, Mnapata Dola Ngapi kwa Siku?

Mnaotumia Masaa Mengi Kujadili Mpira, Mnapata Dola Ngapi kwa Siku?

Hakuna wanachokipata zaidi ni midomo kukosa nuru maana haipumzishwi muda wote ni kubwabwaja
 
Mpira wa miguu ni burudani inayowachangamsha wengi, lakini je, umewahi kujiuliza thamani ya muda unaotumia kujadili mpira? Wengine hutumia saa nyingi kubishana kuhusu wachezaji, timu, na matokeo, lakini je, mijadala hiyo inazalisha kipato chochote?

Katika ulimwengu wa sasa, muda ni rasilimali muhimu. Wale wanaonufaika zaidi na mpira ni wachezaji, makocha, watangazaji, na wadhamini—si mashabiki wanaopoteza masaa kwenye mabishano yasiyo na tija.

Biblia inasema: “Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya. Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.”(Waefeso 5:16-17 BHN). Badala ya kutumia muda mwingi kuzungumzia mpira bila faida, ni vyema kufikiria jinsi unavyoweza kutumia muda wako kwa njia yenye manufaa zaidi, kama kujifunza ujuzi mpya, kuwekeza, au kuunda fursa za kipato. Hebu jiulize tena:

👉Baada ya kubishana kuhusu mpira, akaunti yako ya benki itaongezewa pesa?
👉Je, mjadala wako wa mpira utalipia bili zako za mwezi huu?
👉Dakika unazotumia kubishana kuhusu mpira zingekuletea faida gani kama ungezitumia kwa kazi inayokuongezea kipato?
👉Wachezaji unaowatetea wanajua hata jina lako?
👉Kama ungetumia muda huo kujifunza ujuzi mpya, ungekuwa mbali kiasi gani sasa?

Si afadhali hata ungetumia muda mwingi kujadili mambo ya rohoni ili ujizoeze kuwa na utauwa? Utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye(1 Timotheo 4:7-8).
Si kila kinachojadiliwa kinaleta material things kama fedha, au mali, usisahau kuna emotional satisfaction.
 
Mpira wa miguu ni burudani inayowachangamsha wengi, lakini je, umewahi kujiuliza thamani ya muda unaotumia kujadili mpira? Wengine hutumia saa nyingi kubishana kuhusu wachezaji, timu, na matokeo, lakini je, mijadala hiyo inazalisha kipato chochote?

Katika ulimwengu wa sasa, muda ni rasilimali muhimu. Wale wanaonufaika zaidi na mpira ni wachezaji, makocha, watangazaji, na wadhamini—si mashabiki wanaopoteza masaa kwenye mabishano yasiyo na tija.

Biblia inasema: “Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya. Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.”(Waefeso 5:16-17 BHN). Badala ya kutumia muda mwingi kuzungumzia mpira bila faida, ni vyema kufikiria jinsi unavyoweza kutumia muda wako kwa njia yenye manufaa zaidi, kama kujifunza ujuzi mpya, kuwekeza, au kuunda fursa za kipato. Hebu jiulize tena:

👉Baada ya kubishana kuhusu mpira, akaunti yako ya benki itaongezewa pesa?
👉Je, mjadala wako wa mpira utalipia bili zako za mwezi huu?
👉Dakika unazotumia kubishana kuhusu mpira zingekuletea faida gani kama ungezitumia kwa kazi inayokuongezea kipato?
👉Wachezaji unaowatetea wanajua hata jina lako?
👉Kama ungetumia muda huo kujifunza ujuzi mpya, ungekuwa mbali kiasi gani sasa?

Si afadhali hata ungetumia muda mwingi kujadili mambo ya rohoni ili ujizoeze kuwa na utauwa? Utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye(1 Timotheo 4:7-8).
Huu muda wa kuanzisha thread hapa JF unautoa wapi na unapata faida gani.
Umeshawahi kusikia maneno kama entertainment, leisure, relaxation, vibing, chilling. You shouldn't be too serious kuepuka magonjwa kama pressure and the likes.
Mtu wa kijijini akifika nyumbani kwako akawa anakuona kila siku uko busy na bustani yako ya maua anakuona kama ni kwa sababu hauna shughuli zinazokubana sana lakini kumbe huwa unatenga muda to nurture your garden ambayo kwake lazima akushangae unahangaika na kitu ambacho hauli na wala haukiuzi.
Try to see beyond the end of your nose.
 
Radio zote tangu asbuhi hadi jioni wanajadili Mpira. Wacha mbuzi sijui wachambuzi wao ni kuongea tu yaani siku nzima.
Hata hizo nchi ambazo ndio tunazungumzia sana mipira yao sidhani Kama wana namna hii ya kusema Sema kuhusu michezo. Hapa kwetu Kuna tatizo
 
Mpira wa miguu ni burudani inayowachangamsha wengi, lakini je, umewahi kujiuliza thamani ya muda unaotumia kujadili mpira? Wengine hutumia saa nyingi kubishana kuhusu wachezaji, timu, na matokeo, lakini je, mijadala hiyo inazalisha kipato chochote?

Katika ulimwengu wa sasa, muda ni rasilimali muhimu. Wale wanaonufaika zaidi na mpira ni wachezaji, makocha, watangazaji, na wadhamini—si mashabiki wanaopoteza masaa kwenye mabishano yasiyo na tija.

Biblia inasema: “Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya. Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.”(Waefeso 5:16-17 BHN). Badala ya kutumia muda mwingi kuzungumzia mpira bila faida, ni vyema kufikiria jinsi unavyoweza kutumia muda wako kwa njia yenye manufaa zaidi, kama kujifunza ujuzi mpya, kuwekeza, au kuunda fursa za kipato. Hebu jiulize tena:

👉Baada ya kubishana kuhusu mpira, akaunti yako ya benki itaongezewa pesa?
👉Je, mjadala wako wa mpira utalipia bili zako za mwezi huu?
👉Dakika unazotumia kubishana kuhusu mpira zingekuletea faida gani kama ungezitumia kwa kazi inayokuongezea kipato?
👉Wachezaji unaowatetea wanajua hata jina lako?
👉Kama ungetumia muda huo kujifunza ujuzi mpya, ungekuwa mbali kiasi gani sasa?

Si afadhali hata ungetumia muda mwingi kujadili mambo ya rohoni ili ujizoeze kuwa na utauwa? Utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye(1 Timotheo 4:7-8).
Una stress!
 
Waefeso 2 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁸ Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu;
⁹ wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.
 
Anayepata dola na kuzitumia kuangalia mpira, pembeni ya kochi lake hapakosekani juice au karanga au supu. Huyu mwingine anajadili bila kutia chochote kinywani.
kwamba kuna binadamu anaweza kuishi bila basic needs (hao wangekuwa hawapati mlo wangeshakufa kitambo) After basic needs kila mtu ana mahitaji yake binafsi na dunia ya leo hakuna correlation between hard work and getting paid....; na sijasema kuangalia nimesema kuongelea mwingine hata akiangalia anaangalia ili baadae apate nondo za kubishana na wenzake....
1741526827510.png

Na hapo kwenye feeling of accomplishment timu yake ikishinda na yeye ni mshindi ikishindwa anaitetea na yupo na wenzake /marafiki hence he / she belongs as you might have gathered humans are social beings..., kama wewe unavyoweza kushinda na marafiki zako mnaimba na kujadili kitabu kile kile day in day out, year in year out (ingawa hakijabadilika) to others eyes might not be time well spent...., ila ndio hivyo from your perspective that is where you belong and you are building a better future (ingawa others might judge you differently)

To each their own...
 
Kama jana maeneo tofauti nakutana na watu from nowhere wanajadiliana mpira wa Simba vs Yanga issue ya Derby.

Nikawa nawaza,hivi hawa mbona wamekazana sana?

Hivi hawa wangekuwa ndio kizazi cha miaka ya 1920+ hadi 1959+ hii inchi ingepata huu uhuru wa leo tulio nao?🤔

Imagine wazungu wangeweka mambo ya mpira redioni muda wote na kuruhusu pombe kwa wingi plus mademu kujiuza na udangaji hivi hili taifa lingepatikana.

Hiki kizazi ni cha hovyo kuwahi kutokea katika hii jamii ya muafrika tokea uhuru.
 
kwamba kuna binadamu anaweza kuishi bila basic needs (hao wangekuwa hawapati mlo wangeshakufa kitambo) After basic needs kila mtu ana mahitaji yake binafsi na dunia ya leo hakuna correlation between hard work and getting paid....; na sijasema kuangalia nimesema kuongelea mwingine hata akiangalia anaangalia ili baadae apate nondo za kubishana na wenzake....
View attachment 3264493
Na hapo kwenye feeling of accomplishment timu yake ikishinda na yeye ni mshindi ikishindwa anaitetea na yupo na wenzake /marafiki hence he / she belongs as you might have gathered humans are social beings..., kama wewe unavyoweza kushinda na marafiki zako mnaimba na kujadili kitabu kile kile day in day out, year in year out (ingawa hakijabadilika) to others eyes might not be time well spent...., ila ndio hivyo from your perspective that is where you belong and you are building a better future (ingawa others might judge you differently)

To each their own...
Nafikiri hujaelewa vizuri walengwa(target audience) wa mada hii. Walengwa ni wale wanaolalamika kwamba maisha ni magumu, pesa hamna, wanakula mlo mmoja kwa siku, watoto wamefukuzwa shule kwa kukosa ada... au kwa ujumla walala hoi. Sasa hawa badala ya kutumia muda wao kutafuta njia au kufanya shughuli za kujikwamua kutoka katika adha hizo, wanapoteza muda kujadili mpira. Majadiliano ambayo hayawaongezei hata senti, badala yake yanawaongezea stress pale timu zao pendwa zinapofungwa. Kwenye piramidi yako, hao bado hawajavuka hiyo ngazi ya basic needs.
 
uko ni kuingilia uhuru wa wengine.
Kila mtu afanye kile akipendacho na kimleteacho furaha.
una viashiria vya ubinafsi mkuu
 
uko ni kuingilia uhuru wa wengine.
Kila mtu afanye kile akipendacho na kimleteacho furaha.
una viashiria vya ubinafsi mkuu
Kama unamuona kipofu anaenda kutumbukia shimoni halafu unamwacha tu kwa madai kwamba hutaki kuingilia uhuru wa wengine, basi wewe una viashiria vya kukosa upendo, na kutowajali majirani zako, mkuu. Biblia yangu inanifundisha nimpende jirani yangu kama ninavyojipenda mwenyewe(Mk 12:31).
 
Kama unamuona kipofu anaenda kutumbukia shimoni halafu unamwacha tu kwa madai kwamba hutaki kuingilia uhuru wa wengine, basi wewe una viashiria vya kukosa upendo, na kutowajali majirani zako, mkuu. Biblia yangu inanifundisha nimpende jirani yangu kama ninavyojipenda mwenyewe(Mk 12:31).
hobbies zimetofautiana, wewe utapenda kusoma bible, mimi nitapenda kutizama mpira wa miguu na yule atapenda kusikiliza muziki na kuucheza pia etc.

hatuwezi kufanana wote, kwa kuwa kila mtu ana ubongo wake.
miili ya wanadamu siyo computer useme itawekewa software moja
 
Kwa bongo mpira ni kitu pekee kinafanya watu wakae pamoja na kuongea, ukiacha mambo ya ccm na cdm.

Ukweli ni kwamba watz kwetu muda sio issue sana, hatujali muda ndio maana unakuta saa mbili asubuhi watu wapo sehemu kundi kubwa wanajadili simba na yanga, kwetu muda sio tatizo.

Lakini pia wengi wetu kazi rasmi hatuna, lile eneo unatukuta tumekaa kujadili simba na yanga ndio tunazuga na kusubiri mishe zije tupate rizki. Umewahi kuona mtu anatoka home saa12 asubuhi na hajui anaenda wapi, kufanya nini...njoo bongo utatukuta.

Mpira unatupa relief na kupinguza msongo tulionao, can you imagine?
 
hobbies zimetofautiana, wewe utapenda kusoma bible, mimi nitapenda kutizama mpira wa miguu na yule atapenda kusikiliza muziki na kuucheza pia etc.

hatuwezi kufanana wote, kwa kuwa kila mtu ana ubongo wake.
miili ya wanadamu siyo computer useme itawekewa software moja
Unaona ni busara baba kutumia muda mwingi kwenye hobbies wakati familia yake inakula mlo mmoja kwa siku? Wakati watoto wake wanafukuzwa shule kwa kukosa ada? Mada yangu inawalenga watu hao. Wanaolalamika kwamba maisha ni magumu, pesa hamna... lakini wanatumia muda mwingi kwenye ushabiki badala ya kufikiria njia za ku-meet basic needs.
 
Back
Top Bottom