we jamaaa tecno gani ina technolojia kuizid samsung asee [emoji1787]
asee jamaa kanichekesha et kuna tecno bora kuliko samsung [emoji1787]
Kwa nini ufananishe simu zilizoachana miaka 10 yote hiyo?Msikariri maisha
Someni hoja muelewe
Huwezi kulinganisha Tecno teleo mama ya 2023 na Samsung mid range za miaka 10 iliopita
Habari.
Nina mwezi wa tatu sàsa natumia tecno yaani hadi nakoma.Yaani ni stress tupu nashindwa kuizoea mara inepeleke kule mara huko nikirudi huku inanitoa nje mara iminimize yenyewe nikibonyeza huku inarudi juu..mara casa ikwame inanitizama tu kama bundi sàsa sijui tatizo ni mimi au simu yaani ni shida.
Pamoja na ungugi wangu wote wa kutumia simu hapa kwa tecno naona nimekwama yaani naona maluweluwe tupu.
Sàsa hapo ni kwenye simu tu huko kwingine kwenye mitandao nikisema nitatandae kidogo ndo kabisa inanivurumisha naona giza tupu. Sijui nianzie wapi niishie wapi nimebaki kufungua J. forum tu. Jamani kama kuna simu tecno ambayo mtu ukitumia unajisikia raha hebu nijuzeni hapa angalau nilale kidogo .maana kichwa kinauma.
Kuna mtu anaongeaga humu kuhusu hizi simu sàsa naanza kumuelewa maana nilkuwa nadharau.
Nimeandika kwa fujo maana nachoka.
Asee ko tecno ya 2023 ili imzidi Samsung inabidi uilinganishe na Samsung ya miaka 10 nyumaMsikariri maisha
Someni hoja muelewe
Huwezi kulinganisha Tecno teleo mama ya 2023 na Samsung mid range za miaka 10 iliopita
Kwa nini ufananishe simu zilizoachana miaka 10 yote hiyo?
Maybe ukisema kwa Sasa ukifananisha Samsung Galaxy A13 na Tecno Camon 19 Pro basi hapo Tecno ndio nzuri zaidi na zote ni simu za mwaka 2022
Ila sio ufananishe Tecno na simu za Samsung za miaka 10 iliyopita inakuwa sio fair
Samsung yupo vizuri kuliko Tecno kuanzia hardware hadi software. Hata hawapaswi kufananishwa ila kuna baadhi ya model Tecno ana simu nzuri kuliko model chache za Samsung za bei rahisi mfano Tecno Camon 18 ni nzuri kuliko Samsung Galaxy A13 licha ya kuwa na bei sawa
Asee ko tecno ya 2023 ili imzidi Samsung inabidi uilinganishe na Samsung ya miaka 10 nyuma
Comment bora kabisa kuwahi kumtokea.🏂🏂🏂🪂🎂Tatizo lenu mnaujua ukweli ila mmekariri au hamjaelewa mada kwasababu tu mmeona mstari unaosema “kuna tecno bora kuliko Samsung”
Unaweza kukuta mtu anatumia iphone 6 lakini anaponda balaa Tecno spark go 2022......... yaani kwake brand ya Tecno ni kichefuchefu
Hapa hatulinganishi simu kwa miaka iliotoka(Samsung atashinda) hapa watu wanaongelea kwamba hakuna Tecno inayofaa kutumika wakati wanatumia Samsung za miaka ya nyuma na wanajiona bora kuliko Tecno za kisasa zilizo boreshwa
Mleta mada kaleta sifa za Tecno phantom wakati tupo mwaka 2023, ndio tukamwambia atafute hata spark za sasa ni bora kuliko midrange za zamani za sumsang....... hamtaki kabisa kusikia huu ushauri
Kwenu samsung hata miaka 10 nyuma itabaki kuwa bora kuliko Tecno yoyote ile
Spark ni za last year.kitu Cha May 2023 ni camon 20 premiumTatizo lenu mnaujua ukweli ila mmekariri au hamjaelewa mada kwasababu tu mmeona mstari unaosema “kuna tecno bora kuliko Samsung”
Unaweza kukuta mtu anatumia iphone 6 lakini anaponda balaa Tecno spark go 2022......... yaani kwake brand ya Tecno ni kichefuchefu
Hapa hatulinganishi simu kwa miaka iliotoka(Samsung atashinda) hapa watu wanaongelea kwamba hakuna Tecno inayofaa kutumika wakati wanatumia Samsung za miaka ya nyuma na wanajiona bora kuliko Tecno za kisasa zilizo boreshwa
Mleta mada kaleta sifa za Tecno phantom wakati tupo mwaka 2023, ndio tukamwambia atafute hata spark za sasa ni bora kuliko midrange za zamani za sumsang....... hamtaki kabisa kusikia huu ushauri
Kwenu samsung hata miaka 10 nyuma itabaki kuwa bora kuliko Tecno yoyote ile
Shida chajitafuta iphone achana na hizo
ni kwa sababu samsung ya miak 10 nyuma unamkuta nayo mtu bado anaitumia leoTatizo lenu mnaujua ukweli ila mmekariri au hamjaelewa mada kwasababu tu mmeona mstari unaosema “kuna tecno bora kuliko Samsung”
Unaweza kukuta mtu anatumia iphone 6 lakini anaponda balaa Tecno spark go 2022......... yaani kwake brand ya Tecno ni kichefuchefu
Hapa hatulinganishi simu kwa miaka iliotoka(Samsung atashinda) hapa watu wanaongelea kwamba hakuna Tecno inayofaa kutumika wakati wanatumia Samsung za miaka ya nyuma na wanajiona bora kuliko Tecno za kisasa zilizo boreshwa
Mleta mada kaleta sifa za Tecno phantom wakati tupo mwaka 2023, ndio tukamwambia atafute hata spark za sasa ni bora kuliko midrange za zamani za sumsang....... hamtaki kabisa kusikia huu ushauri
Kwenu samsung hata miaka 10 nyuma itabaki kuwa bora kuliko Tecno yoyote ile
Hii ndio point takatifu Samsung ya miaka 10 bado inadunda na watu wanaitumia lakin tecno ya miaka 10 Uikute wap? yan ilishaenda dampo siku mingiKwenu samsung hata miaka 10 nyuma itabaki kuwa bora kuliko Tecno yoyote ile
durability vip ?Simu ni camera,chaji,speed na storage mengine ni ziada
kachukue kuanzia iphone 12 hamna anaelalamik chaj kuanzia apo kupanda juuShida chaji
Hebu soma nilichokiandika hapo juuTatizo lenu mnaujua ukweli ila mmekariri au hamjaelewa mada kwasababu tu mmeona mstari unaosema “kuna tecno bora kuliko Samsung”
Unaweza kukuta mtu anatumia iphone 6 lakini anaponda balaa Tecno spark go 2022......... yaani kwake brand ya Tecno ni kichefuchefu
Hapa hatulinganishi simu kwa miaka iliotoka(Samsung atashinda) hapa watu wanaongelea kwamba hakuna Tecno inayofaa kutumika wakati wanatumia Samsung za miaka ya nyuma na wanajiona bora kuliko Tecno za kisasa zilizo boreshwa
Mleta mada kaleta sifa za Tecno phantom wakati tupo mwaka 2023, ndio tukamwambia atafute hata spark za sasa ni bora kuliko midrange za zamani za sumsang....... hamtaki kabisa kusikia huu ushauri
Kwenu samsung hata miaka 10 nyuma itabaki kuwa bora kuliko Tecno yoyote ile
Teh teh teh teh teh teh teh tehTECNO ni simu ambayo unaweza amka asbh na mapema ukakuta imemtumia sms mama mkwe wako inasema I love you baby, usicheze na hiyo simu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
NAKAZIATatizo Tecno hazidumu