Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Ziwekwe na Kamera majumbani na mahotelini ili kuona nani na nani anaenda kinyume na hayo,
Au kuwe na siku maalumu ya Watanzania wote kukutana kwenye viwanja vya wazi na kunjunjana hiyo style ya kifo cha mende, itasaidia sana
There is a guy ukimuona kwa threads anavyoshadadia killing gays humdhanii Ila three years back nilipotoa thread ya personal struggles na homosexuality akawa wa tatu kunitongoza. Hypocrites
 
There is a guy ukimuona kwa threads anavyoshadadia killing gays humdhanii Ila three years back nilipotoa thread ya personal struggles na homosexuality akawa wa tatu kunitongoza. Hypocrites
Hahahahahahahahahahahahaha mbavu zangu, naijua mijitu ya hivyo mbona, siku wewe lilipue tu kama nilivyomlipua manzi mmoja humu nikapewa ban ila sijajali kikubwa linafki limeumbuliwa.
 
kinachofanywa faraghani ni tofauti na cha hadharani. huko kwenye faragha ni ubatili mtupu.
kikubwa cha faraghani kamwe kisiwekwe hadharani kulinda maadili yetu.
kutetea ushoga ni kutaka huu ubatili uwea hadharani na hili halikubaliki kamwe.
kwa vile huko gizani hatuwezi kuingia tusipende kupekua kinachofanyika humo. na hao wanaotaka huo ujinga wanhimbe handaki wakaishi humo jua lisijewamulika hatukubali!
 
mapenzi ya jinsia moja, ndio vita inayopiganwa, tusichanganye hizi mambo.

dume vs dume, jike vs jike.
Suala siyo jinsia moja bali ni kufanya tendo la ndoa kinyume na mpango qa Mungu.

Wanaofahamu maandiko matakatifu, wanajua imeandikwa:

1 Kor 6:9 SUV

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti.

Tena kiimani, hakuna mahali kunatajwa ushoga, bali wanatajwa walawiti na wafiraji. Na matendo hayo haiangaliwi kama ni dhidi ya mwanamke au mwanaume.
 
Vipi kuhusu mapenzi kwa njia ya mdomo? Kitendo kama kula au kuliwa cone.
Hakuna linalokubalika, iwe mwanamke kuingiliwa na mwanaume kinyume cha maumbile au mwanaume kumwingilia mwanaume mwenzie kinyume au mwanamke kumsaga mwanamke mwenzie

Wote huo ni uchafu na ufirauni
 
Kama hizi ndio takwimu basi hili lilipaswa kuwa jambo la kwanza kushughulikiwa kabla ya ushoga.
 
Itakuwa wanaume wanaofumania wanawake wao na kuwapaka wagoni wao mafuta ni mashoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…