Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Kwa ivo ni sawa kwa mwanaume kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke??
Sijasema ni sawa, hata hawa LBTGQ wangekuwa wanafanya mambo yao with privacy hakuna ambaye angewaingilia na kuwapiga vita. Hili suala la legalization wanalilipigania ndipo tatizo linapoanzia, yaani 'mashoga' wawe na uhusiano ulio public unaoambulika na kukubalika kijamii na kisheria? Huo ujinga waufanye kwa siri kama wafanyavyo wezi na wachawi yaani wakibainiwa waadhibiwe. Hata mwanaume anapomuingilia mwanamke kinyume na maumbila wanamke akienda kushitaki kwenye vyombo vya dola na ushahidi ukathibisha ya kuwa ni kweli huwa sheria inachukua mkondo wake lakini inapokuwa wamekubaliana na kila mmoja 'happy happy' inakuwa si tatizo provided wote ni watu wazima na wana akili timamu.
 
Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.

Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.

Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.

Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!

Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
"Batili haialalishi batili,yote ni batili!!
Jema halibatilishi jema, yote ni mema"


Mfano, kwa kuwa unyanyasaji wa kijinsia unapingwa zaidi kwa kuegemea upande wa mwanamke (yaani katika jamii yetu neno hilo likitamkwa akili hujielekeza kwamba kuna mwanamke kafanyiwa lisilo jema).

Huzuiliwi kusema kuna wanaume pia wanayanyaswa .

Pinga hilo nalo pia kwa kuwa nalo ni batili, na utapata wa kukuunga mkono mimi ni mmoja wao.
 
"Batili haialalishi batili,yote ni batili!!
Jema halibatilishi jema, yote ni mema"
Hakuna mahali nimefanya ulinganisho. Suala la ushoga nimelitumia tu kama ngazi ya kupandia kwenda kwenye hoja yangu. Ni lazima tujue kinachopingwa ni nini. Na kwa baadhi ya watu hapa naona ni kama wanasema tatizo siyo tendo bali ni jinsia kufanana.
Pinga hilo nalo pia kwa kuwa nalo ni batili, na utapata wa kukuunga mkono mimi ni mmoja wao.
Sawa.
 
Tatizo ni kwamba, hao wanawake wanaofanyiwa hawajawahi kuomba iwe haki na hawana chama chao kama ilivyo kwa mashoga.
Hawa wanaomba kutambuliwa na dunia ione kama ni jambo la kawaida.

Au umewahi kukuta hamasa ya wazi ya kuruhusu wanawake kuingiziwa kinyume na maumbile?

Lakini hamasa za kutaka wanaume kwa wanaume kuoana au wanawake kwa wanawake,zinafanyika kwa nguvu zote. Hii si sawa. Hata kama wanafanya, wasingetafuta kukubaliwa kwa kile wanachofanya!
Kinachogomba wanataka mifumo yetu ya sheria na maisha itambue rasmi ndoa za wanaume kwa wa wanaume na wanawake kwa wanawake .Ndio maana sisi kama jamii tunapinga maana ikitambulika katika sheria zetu itakuwa lazima sehemu za kazi watengewe miundombinu yao rafiki kama vyombp vya kutupa uchafu wao chooni nauli za likizo kwa wenza wao kama ilivyo kwa wafanyakazi waliooa/ kuolewa, watataka wawe na uwakilishi katika vyombo vya maamuzi, wakija kupanga chumba kwako usiwanyime ukiwakatalia sheria ikubane, wataitaka haki ya kulea watoto waliowaasili. Haya ni baadhi ya mambo wanayodai; hivyo kama taifa la waadilifu ndio maana tunapinga ushoga ; lakini mambo ya wapenzi wa kiume na kike hayajaletwa hadharani na kufungamanishwa na haki za kutaka watambulike. Mtoa mada anataka kuitoa jamii katika reli.
 
lakini mambo ya wapenzi wa kiume na kike hayajaletwa hadharani na kufungamanishwa na haki za kutaka watambulike. Mtoa mada anataka kuitoa jamii katika reli.
Kwa ivo sio muda wa kukemea wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile hata kama inafanyika faragha!!
 
Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.

Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.

Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.

Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!

Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
Usilete upuuzi hapa. Mwanaume aliumbwa kuingiza na mwanamke aliumbwa kupokea. Mwanaume kuingizwa ndilo kosa maana hakuumbwa kuingizwa. Mengine waachie wao
 
Kwa maneno yako haya kwa hiyo ni sawa tu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile??
Mkuu, kwanza turudi kwenye Basics, tukubaliane kitu Kimoja, wewe unapenda Mwanamke Mwenye Mzigo au hupendi, Mfano unapewa Machaguo, utachagua nini, tuanzie hapa kwanza
 
Wasipotibu laana ya mwanaume kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile Basi ni kupoteza muda kupambana na ushoga....Am philosopher
You are not serious bwashee. Hivi unaona kumwinamisha mwanaume mwenzako ni halali?
 
mapenzi ya jinsia moja, ndio vita inayopiganwa, tusichanganye hizi mambo.

dume vs dume, jike vs jike.
Penal code ya kulawiti ni moja , haijalishi jinsia , unless kama unataka kuwe na double standard kwenye kutekeleza adhabu hiyo
 
Kwa ivo sio muda wa kukemea wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile hata kama inafanyika faragha!!
Haya yalishakemewe ni ugumu wa mioyo ya watu

Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa.

Hali kadhalika wanaume waliacha uhusiano wa asili kati ya waume na wake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanyiana mambo ya aibu, nao waka pata katika miili yao adhabu waliyostahili kama matokeo ya uovu wao.
 
Usilete upuuzi hapa. Mwanaume aliumbwa kuingiza na mwanamke aliumbwa kupokea. Mwanaume kuingizwa ndilo kosa maana hakuumbwa kuingizwa. Mengine waachie wao
Kwa ivo mwanaume anaruhusiwa kuingiza popote anapotaka kwa mwanamke?
 
Back
Top Bottom