Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

ni watu tu hawajaelewa mada....

kulala mkiwa mmekumbatiana haiwezekani, hapa kinachozungumziwa ni pale mpo kitandani mnautafuta usingizi

mnapoamka hamuwezi mkawa mmekumbatiana vile vile
 
Hiyo mkuu inatokeaga miezi sita ya mwanzo ya mapenzi. Baada ya hapo mnagandiana kidogo tu halafu mnaoneshana mgongo.

Baada ya mwaka badala ya kugandiana mnajambiana tu.

Baada ya miaka mwili ni maigizo mwanamme analala sofani sebuleni.

IF WALLS COULD TALK
 
Wee acha kabisa, unakuta umekumbatia ka taco cha kishkaji ile ya wastani aaah...usiku unakuwa mfupi sana😂
Glenn Youngpin jana kaangukia pua huko Virginia.

Glenn huddle sijui yuko wapi siku hizi.

Pia Glenn Close kapotea sana.

Glenn Campbell country music
 
Me napenda kulalia tumbo ndiomana sipendi hekaheka za mikumbatio 😜
Sijui ni mshamba
 
Hahahahahah tunaotumia dabo deka tunacomment wapi 🤣
 
Inategemea mimi kama demu ni ingizo jipya kwenye chart ndo huwa naweza kugandiana nae
Ila Hawa wengi huwa inakua ngumu kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…