pole sana aisee ,, mimi nisipoweka alarm au mama asipokuwepo naweka nikachelewa kila mahali. Yani naweza kuamka hata saa4 ππππππNakuonea wivu, nataman na mimi nilivyokua na uwezo wa kulala usingiz wa namna hiyo.
Now days unaweza jikuta tu umekaa kitandani unawazua mambo ni mengiii hata hujui uliamka muda gan, ndio unashtuka tena unajirud kutafuta usingizi π
Kweli!mnakuza sana mambo
Namaanisha yeye....Mi ni mwanamke
π πWengine hata dudu inalalia kule kule ndani...
Kukosa usingizi ni mateso makali sana, poleNakuonea wivu, nataman na mimi nilivyokua na uwezo wa kulala usingiz wa namna hiyo.
Now days unaweza jikuta tu umekaa kitandani unawazua mambo ni mengiii hata hujui uliamka muda gan, ndio unashtuka tena unajirud kutafuta usingizi π
sanaa kwakweli,huwa n kweli nataman kulalia kitanda niwe free ila mkono wangu huwa lazima uwe juu ya maeneo muhimu, ukiona mkono haupo hapo ujue nishaptiwa usingizi sijielewiπKumbe ndo maana mnapenda matako matako
Hali zote zipo,Mlipo kuna joto sana nini? Washeni feni tena mi napenda ile nimelala nikishtuka nikute mkono kiunoni au kifuani ama namgusisha kota kwenye dick yake basi ndo maana halisi ya wapenzi
Sauti bado ndogo bana[emoji1][emoji1][emoji1]Mlipo kuna joto sana nini? Washeni feni tena mi napenda ile nimelala nikishtuka nikute mkono kiunoni au kifuani ama namgusisha kota kwenye dick yake basi ndo maana halisi ya wapenzi
π Yaani ni full kugeukiana.Acha buana!π
Upo kipenzi[emoji255][emoji255][emoji255]
Mambo ya small spoon na big spoon. πcuddling....
natamani sana
Jamaa ana tabia za ubinafsi tu,Namaanisha yeye....
Kumbatianeni bhana na gusaneniHali zote zipo,
wengine hatupati usingizi mpaka uvizie alale, hili ukimbilie sehemu murua
Upo Dada yangu..Upo kipenzi
Uko vizurii mzee mamapole sana aisee ,, mimi nisipoweka alarm au mama asipokuwepo naweka nikachelewa kila mahali. Yani naweza kuamka hata saa4 ππππππ
cuddling....
natamani sana
hauko mwenyewe kiongozi, sema tunashindwa kuwaambia tu
ππ WeuweeSauti bado ndogo bana[emoji1][emoji1][emoji1]