Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Hii chai tunainywa na mandazi au
 
Basi huyo mdada ni mimi kabisa, ila mimi sirushi mateke😃😃🤣🤣...nakumbuka kuna siku mdogo wangu alikua analilia kulala na mimi nikamwambia sawa,, ile nastuka asubuhi simuoni kitandani nikauliza wakaniambia walisikia tu analia wakaja kumtoa nilikua nimembana shingoni na miguu,, nikasema baaasi kwisha habari yangu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…