Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Hizi mvua za juzi na kaubaridi kazi ilikuwa ni hii
IMG_1180.jpg
 
Du basi wewe ni hatari. Inaonekana umri wako bado mdogo. Wewe ni KE au ME? Mimi nilikuwa na hilo tatizo zamani nilipokuwa mdogo (nimegundua watu wengi huwa hivyo wanapokuwa wadogo lakini wakiwa watu wazima wanaacha). Kuna mdada mmoja alikuwa kwenye 20s yeye alikuwa anacheza kung fu.. Jamaa kalala naye siku moja nikasikia usiku kilio ''mamaa''. Kumbe ni yule dada amejiviringisha na kugeuka, halafu akarusha teke likampa kidevuni. Na haya yote alikuwa anafanya huku amelala fo fo fo.
Hii chai tunainywa na mandazi au
 
Du basi wewe ni hatari. Inaonekana umri wako bado mdogo. Wewe ni KE au ME? Mimi nilikuwa na hilo tatizo zamani nilipokuwa mdogo (nimegundua watu wengi huwa hivyo wanapokuwa wadogo lakini wakiwa watu wazima wanaacha). Kuna mdada mmoja alikuwa kwenye 20s yeye alikuwa anacheza kung fu.. Jamaa kalala naye siku moja nikasikia usiku kilio ''mamaa''. Kumbe ni yule dada amejiviringisha na kugeuka, halafu akarusha teke likampa kidevuni. Na haya yote alikuwa anafanya huku amelala fo fo fo.
Basi huyo mdada ni mimi kabisa, ila mimi sirushi mateke😃😃🤣🤣...nakumbuka kuna siku mdogo wangu alikua analilia kulala na mimi nikamwambia sawa,, ile nastuka asubuhi simuoni kitandani nikauliza wakaniambia walisikia tu analia wakaja kumtoa nilikua nimembana shingoni na miguu,, nikasema baaasi kwisha habari yangu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ama kweli kila mtu na starehe yake.

Mie nishazoea kulala nyuma ya matako, nikilala pekee yangu usingizi ni wa maruweruwe tu, mara niote fisi kala mguu wangu, mara niote nakojoa ub00 umekatika umedumbukia kwenye sink na imeuflash.

Lakini nikilala na mama watoto, alalie kifua, au nilale nyuma ya matako, dah.. Nasahau kama kibanda changu cha makuti kinavujisha.
[emoji23][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah!!!
 
Back
Top Bottom