Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kujifungia😂😂😂Hizi mvua za juzi na kaubaridi kazi ilikuwa ni hii
View attachment 2807961
Hongera sanaMi si timu chaputa. Nina mke mzuri na Amenizalia, na namganda usiku kucha.
Hii chai tunainywa na mandazi auDu basi wewe ni hatari. Inaonekana umri wako bado mdogo. Wewe ni KE au ME? Mimi nilikuwa na hilo tatizo zamani nilipokuwa mdogo (nimegundua watu wengi huwa hivyo wanapokuwa wadogo lakini wakiwa watu wazima wanaacha). Kuna mdada mmoja alikuwa kwenye 20s yeye alikuwa anacheza kung fu.. Jamaa kalala naye siku moja nikasikia usiku kilio ''mamaa''. Kumbe ni yule dada amejiviringisha na kugeuka, halafu akarusha teke likampa kidevuni. Na haya yote alikuwa anafanya huku amelala fo fo fo.
Hata najali basi 🤸♀️🤸♀️🤣🤣🤣unataka urudi kifungoni?
🤣🤣🤣 amesikitika nini jamani kabla sijajibu swali lako.Hata najali basi 🤸♀️🤸♀️
Ko ndo Zulu anavyokwambiaga? 😂😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Inahusika aje?Sasa umeoa kibonge utamkumbatiaje si atakunyima pumzi!
Ila huyo aliyelala kwa juu sio wewe.Hizi mvua za juzi na kaubaridi kazi ilikuwa ni hii
View attachment 2807961
Basi huyo mdada ni mimi kabisa, ila mimi sirushi mateke😃😃🤣🤣...nakumbuka kuna siku mdogo wangu alikua analilia kulala na mimi nikamwambia sawa,, ile nastuka asubuhi simuoni kitandani nikauliza wakaniambia walisikia tu analia wakaja kumtoa nilikua nimembana shingoni na miguu,, nikasema baaasi kwisha habari yangu 🤣🤣🤣🤣🤣Du basi wewe ni hatari. Inaonekana umri wako bado mdogo. Wewe ni KE au ME? Mimi nilikuwa na hilo tatizo zamani nilipokuwa mdogo (nimegundua watu wengi huwa hivyo wanapokuwa wadogo lakini wakiwa watu wazima wanaacha). Kuna mdada mmoja alikuwa kwenye 20s yeye alikuwa anacheza kung fu.. Jamaa kalala naye siku moja nikasikia usiku kilio ''mamaa''. Kumbe ni yule dada amejiviringisha na kugeuka, halafu akarusha teke likampa kidevuni. Na haya yote alikuwa anafanya huku amelala fo fo fo.
Kazi kujifungia[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huyo aliyelala kwa juu sio wewe.
Sijambo, nimefurahi kukuona hapa, ni miaka kadhaa imekatika sijakuona humu.Nipo ndugu yangu za masiku
Manyunyu yakianza ni nduki 😂😂😂Acha tuu. Kamvua kakianza ile raaaha huko nje mnakumbatiana ni kubadilisha tu style
View attachment 2807963
Asante kwa taarifa.Ndiyo sio mimi .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah!!!Ama kweli kila mtu na starehe yake.
Mie nishazoea kulala nyuma ya matako, nikilala pekee yangu usingizi ni wa maruweruwe tu, mara niote fisi kala mguu wangu, mara niote nakojoa ub00 umekatika umedumbukia kwenye sink na imeuflash.
Lakini nikilala na mama watoto, alalie kifua, au nilale nyuma ya matako, dah.. Nasahau kama kibanda changu cha makuti kinavujisha.
[emoji23][emoji1787][emoji1787]