Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Labda mwanamke wako mchafu au huna mzuka nae ulimuoa ili mradi tu usikose mke, ila pisi kali mzee hasa kipindi hiki cha mvua na kiubaridi unaanzaje kujifunika shuka lako mwenyewe.

Miguu yangu katikati ya mapaja yake na nido zake zinanichoma choma
Mimi kwangu hata kama awe pisi kali akishatoa harufu ya kunuka namshusha thamani namuona kama kunguni tu
 
Najaribu kuwaza negative hapa.. Paap ndio mmekumbatiana maybe mko kwa sofa, mmoja wenu akakata tu moto mazima(kifo cha usingizini) ,we ukadhani mwenzio amepitiwa na usingizi kawaida! Utaishawishi vipi jamhuri ya muungano isikutie hatiani na first degree murder?
 
Najaribu kuwaza negative hapa.. Paap ndio mmekumbatiana maybe mko kwa sofa, mmoja wenu akakata tu moto mazima(kifo cha usingizini) ,we ukadhani mwenzio amepitiwa na usingizi kawaida! Utaishawishi vipi jamhuri ya muungano isikutie hatiani na first degree murder?
Kwa sisi tunaokaa na wake zetu as family hil hata sio tatizo.Shida iko kwenu nyie mnaobanduana kwa wiz na watoto wa watu hapo lazima uozee jela.
 
Hahaha, ushajikoroga tayari hapo mkifika pasaka mmejitahidi sana 😁... kwanini mnaingia kwenye ndoa bila kupata ushauri kwa wazee kwani hamjui maana ya pingu za maisha? Je, mlishawahi ku-expirience how mtu anafeel kukosa uhuru iwapo atafungwa pingu au kamba mikononi? Kama bado hujawa tayari au unahisi huwezi kuishi maisha hayo na uka-act normal basi usioe.
 
Kuna kosa moja ulifanya,na wengine wengingi hujichanganya na yanawakuta kama hayo hayo.
1.Kipindi bado unaishi mwenyewe,kitanda na godolo ulinunua saizi gani?
2. Alipokuwa akija kulala kwako,mlielewanaje?!

Kubali ukatae we mwenyewe umejenga hayo mazoea ya kunatana kwamba leo baridi,mara upweke.

Ulitakiwa uwe na vigodolo viwili vidogo vya single. Kama unajiweza,kila kimoja na kitanda chake.
Hakikisha kimoja kinakaa kichafu chafu,hata viatu weka. Kama we ni fundi,weka mazagazagavyako hapo,lala nayo. Kama kaamua kulala,mnagandiana huko kwenye kile kisafi,mkimaliza sarakasi zenu,rudi kwako.
Akishaona hivo,mwenyewe atajiongeza.
Omba tu asibebe mimba. Au akibeba,iwe ya kukuchukia wewe. Vinginevyo,uanunua kubwa tuuuu

#usisheebedi
 
Tunakoelekea inabidi iwe namna hii wakuu😅😅
FB_IMG_1699374714302.jpg
 
Back
Top Bottom