last Commando
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 233
- 304
Nyie wanawake huwa mnanuka sana sijapata kuonaAcha uchoyo, sio tabia nzuri hiyo kwa mwenza wako ni kama ananuka vile kah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wanawake huwa mnanuka sana sijapata kuonaAcha uchoyo, sio tabia nzuri hiyo kwa mwenza wako ni kama ananuka vile kah
Mimi kwangu hata kama awe pisi kali akishatoa harufu ya kunuka namshusha thamani namuona kama kunguni tuLabda mwanamke wako mchafu au huna mzuka nae ulimuoa ili mradi tu usikose mke, ila pisi kali mzee hasa kipindi hiki cha mvua na kiubaridi unaanzaje kujifunika shuka lako mwenyewe.
Miguu yangu katikati ya mapaja yake na nido zake zinanichoma choma
Muoshe atakate mkuuNyie wanawake huwa mnanuka sana sijapata kuona
Mwanamke kama huyu ni heri nimuache alale mwenyewe mimi nilale chini. Nisije kuwekewa kalio mdomoniKwakweli nikue niyaone... na ninavyopenda kujiachia nikilala mbona atajikuta miguu iko shingoni kwake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sure thing...raha jipe maana shida zinakujaga zenyewe tuuWacha niendelee kuenjoy my golden chance😃😅
Hapana siwezi kuosha jitu zimaMuoshe atakate mkuu
Mna moyo nyieWengine hata dudu inalalia kule kule ndani...
Kwa sisi tunaokaa na wake zetu as family hil hata sio tatizo.Shida iko kwenu nyie mnaobanduana kwa wiz na watoto wa watu hapo lazima uozee jela.Najaribu kuwaza negative hapa.. Paap ndio mmekumbatiana maybe mko kwa sofa, mmoja wenu akakata tu moto mazima(kifo cha usingizini) ,we ukadhani mwenzio amepitiwa na usingizi kawaida! Utaishawishi vipi jamhuri ya muungano isikutie hatiani na first degree murder?
Nashauri watu wajitahidi 6x7 hasa miji yenye joto, kugandana sio afya.Wanandoa wanashauriwa kutumia 4×6 5×6 ili hata mkigombana ukijigeuza umemshika mama nyonyo! Na ugomvi unaishia hapo
Nimekubali! Nitafanyaje tena wakati ukubwa dawaNashauri watu wajitahidi 6x7 hasa miji yenye joto, kugandana sio afya.
hatari sana. Njoo huku field sasa. Totally messy😁😁😁😁
Maisha ndani ya Jamii Forums ni mazuri mnoo
[emoji1787][emoji1787]Lazima nikumbatiwe nikigeuka ninae Yaan labda nipitiwe usingizi ila nikishtuka ninae [emoji23][emoji23][emoji23] Yaan mpaka athemeeee