Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Afu me nakua Raha P au siyo? 😂😂😂
Achana na wamatumbi njoo huku tuwasikilize wanyamwezi Jigga na baby mama wake Bey drunk in love 🥰
Sikiliza ngoma kama
"LOVE IN YA MOUTH" - KILO ALI FEAT. BIG BOI
BIG MOMMA thing ya lil kim
SLOB ON MY KNOB" - THREE SIX MAFIA
 
Tafuta mwanamke mwenye matako. Sio kugandiana tu, utamla usiku kucha kila siku.
Sio unakuja hapa mwanamke mwenyewe mbavu za mbwa unaleta story sizo hapa.
Halafu ukikesha kila siku unamla mkeo,hivi kazi utaenda kufanya kwa ufanisi hiyo kesho yake?
Mbona kama adhabu hiyo,yaani kwake na kwako,au ukifika kazini ndo unapumzika?
Aisee basi waliooa wana kazi kubwa sana.
 
Hili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.

Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!

Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
Umeoa wa nini kaka, are you not scorpio [emoji756] [emoji853]
 
Hapana, mgandamizo katika kifua kwamuda mrefu inawezakua changamoto,
Sometime tunapenda mridhike nyie kuondoa makasiriko
Mwanaume unakua kama unafanyiwa CPR hasa akiwa kakulalia upande wa moyo.Kifua kinaweza kikauma endapo mdada ni mnene sana.
 
Back
Top Bottom