Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,226
- 8,961
Shauri yako saiz kuna wanawake wahuni[emoji38]Nimeshakwepa mishale mingi. Mimi ni mzoefu niliyebobea
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shauri yako saiz kuna wanawake wahuni[emoji38]Nimeshakwepa mishale mingi. Mimi ni mzoefu niliyebobea
Ugomvi wetu umeishia hapa....Asante studio, hili bandiko wazee na nyie mpewe maua yenu
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Ndiyo umeona sasa babuSijawahi kuona bikira aliyeolewa....
Mimi ukaguzi nilishagoma viunzi nimerukaUgomvi wetu umeishia hapa....
Sasa jiandae kwa ukaguzi...
Hao ndio wazuri sasa. Unaenda nao kihunihuni hivyohivyo....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na tabia yangu ya kusaga meno usiku usingizini, naweza kumtafuna bure...namkumbatia mwanzoni tu akipata usingizi naachana nae! Maana usingizi ukinichukua nakua kama Zombi.
Dai talaka haraka sana
Utaenda kutia aibu ukweni.
Niko poa my dear.. Umerudi kwenu au uko mji wa Wazaramo bado?Uko poa lkn kipenzi cha kwetu?
NdiooooMbuzi mbuzi mbuzi
Niko mbali sana rafiki yangu.Niko poa my dear.. Umerudi kwenu au uko mji wa Wazaramo bado?
🤣🤣🤣🤣Hahaa kwani watumishi hamgandiani?Kwa sababu mimi ni mtumishi wa Mungu lazima niende kiroho zaidi
🤣🤣🤣🤣Babu mbona umekuwa kama Mzee kifimbo chezea Sasa?tunajua hakuumaanisha vikojoleo Bali alimaanisha nyama Kwa nyama yaani mwili Kwa mwili🤣Kwahiyo ulidhani huyo mwasherati mwenzenu alimaanisha mlale vikojoleo vikiwa vinaumana?
Mbinguni utaenda kulala stoo
Dunia imechafuka babu acha nitulie na mtoto wa mamkweDai talaka haraka sana
Wanyenyekevu oyeeHao ndio wazuri sasa. Unaenda nao kihunihuni hivyohivyo....
Ila wale wanyenyekevu unaenda nao kinyenyekevu, wanafaidi mema ya mwili, kikojoleo na mema ya nchi
Hapana. Tukimaliza tendo takatifu, tunapiga magoti na kumshukuru Mungu kwa kutufikisha salama kileleni. Kutuepusha na mabalaa ya vifo vya presha. Na tunamshukuru sana kwa kutowahi kumaliza safari kabla jinsia KE haijapata haki yake ya kunaniliu...🤣🤣🤣🤣Hahaa kwani watumishi hamgandiani?
Kwahiyo unataka udedi na bikira? Unataka ufuate nyayo za mama wa Yesu?Dunia imechafuka babu acha nitulie na mtoto wa mamkwe
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Umewabebea maua yao?