Mnawachukuliaje wasichana walioweka bleach kichwani?

Miaka hiyo nikiwa nasoma chuo bwana nikaenda kariakoo kuna saluni fulani hivi wanauza weaving bei poa. Nikanunua la 45k. Nililiona zuri balaa.

Nikashonewa, kushona ilikua 15k kama sikosei. Bado kuosha ilikua elf 5na steaming jumla elfu 10. Alipomaliza kunishonea nikajitizama kwenye kioo.
Uuwuuii, ile rangi ya weaving ilikua inashout sanankwa upande wangu. Kila mtu ananambia mbona rangi yake haijashout sana.

Nikagomaa. Haki ya Mungu nilifumua palepale. Niliwaambia naogopa kuonekana shankupe sijui shangingi[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] ile rangi sijui ndo gold sijui nini ile. Yaan daah.

Nikawaambia bwana, kwetu kimaadili hakuna kitu kma hiki. Kwanza mwenyewe sina amani. Nikamzawasia yule dada ile weaving nikanunua ingine nyeusi tii kama nywele zangu. Ila kushonea nako nimeachaga kama miaka mitano nyuma.

Yaani ni kipaji kwakweli hizi rangi rangi. Unikute nimeweka rangi nyekundu kichwanii[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza unaingia nyumba ya nani[emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unavyosema hauwezi date na watu wa aina hiyo utasema wao wamesema wanataka kudate na wewe, au labda utafikiri usipodate nao kuna kitu utawapunguzia.

Endeleeni kukariri maisha hivyo hivyo maana ndiyo hulka ya wengi wenu
 
Unavyosema hauwezi date na watu wa aina hiyo utasema wao wamesema wanataka kudate na wewe, au labda utafikiri usipodate nao kuna kitu utawapunguzia.

Endeleeni kukariri maisha hivyo hivyo maana ndiyo hulka ya wengi wenu
Mkuu au na wewe unaweka bleach kichwani?
 
Duuh! Weekend ilnilimuona Mama wa marehemu star mkubwa wa filamu bongo ambaye marehemu, ana hiyo bleach hair style...low cut


Alexander The Great
 
Mm nna mawazo tofaut kdg, nahis wapo wanoweka km urembo na mwngine anaweka sbbu tuh kamuona mtu wake wa karibu ameweka na kupendeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mbunge mmoja
Sijajua ni wa chama kipi

Naona nae ana hizo takataka kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…