Hila na wivu wa huyo mwanaCCM mutungi, kunahusiana vipi na mapokezi ya Lissu we masaburi?Kwa hali hii msishangae kukutana na rungu la jemedali MUTUNGI Msajili wa vyama.Endelezeni utaahira wenu mkidhani mko huru kiiiiiivyo.hiiiiiiiiiiiiii
Twende ni kumpokea shujaa wetu. Twendeni kwa amani, twendeni huku tukionyesha kuwa sie ni watu wa amani, si watu wa fujo.
Kama fujo waanzishe polisi, kama kuua waue polisi. Tuone kama wanaweza kutupiga risasi watu 1000 au 2000 tutakaokuwa tumeenda kumpokea shujaa wetu
AMENChadema na watanzania ni watu wa amani. Kama fujo na matatizo wataleta polisi na ubabe wao
Nyie huko ndio bado waoga, ingawaje safari hii mmejitahidi kidogo kwa kuwapiga usoni wahamiaji haramu wa JiweWatz walivyo waoga wanaweza wasifike hata 50
Uchawi wako unakudhuru mwenyeweYaliwapata segerea na bado hamjifunzi! Pamoja na sehemu nyeti za kiusalama wa taifa airport ni mmojawapo. Kuna sehemu za kufanya mkusanyiko ya mihemko ya kisiasa lakini siyo airport hasa kwa mazingira ya msiba wa kitaifa. Naamini safari hii kipigo siyo tu cha jeshi la police, lakini pia majeshi mengine pia halali yao. Sisi wengeni ni kuonya ili msije mkasema hatukuambiwa. SHAURI YENU.
Shetani hajawahi kumshinda MunguNa maombolezo haya...kuna watu watapigwa spana kwanini wameenda kumpokea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]