Jibu haya:Too bad, hatopata kiki aliyokuwa anaitegemea.
Habari ya taifa kwa sasa ni Hayati Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Right now Lissu is a footnote.
Msimkaripie wajumbe wamemfanyia vitu vibayaMnafiki mkubwa wewe, hebu kaa kimya! Leo ndio unaliona hili?
Katika hizi siku saba ofisi zinafungwa?
Hahahaha! Serious? Mbona sina taarifa?? Mpwa unawezaje kuninyima taarifa tamu kiasi hiki? Kumbe Wajumbe wamemkaza?Msimkaripie wajumbe wamemfanyia vitu vibaya
Na wasafiiriwa wanaingia na kutoka Kama kawaida na wanasindikizwa na kupkelewa Kama kawaida.Hapana, Maofisi yako wazi na watu wanaendelea na kazi..
Mbona hamjasimamisha michezo??? Mbona hamjafunga sehemu za starehe na watu wanaruka majoka kama kawaida ???Hekima na busara ni jambo muhimu sana.
Rais ameshatangaza maombolezo ya 7days, ni vyema tukatii hili, BWM alikuwa ni Rais wa JMT kwa miaka 10 ni vyema tukampa heshima yake kwa kututumikia pamoja na yote yaliyotokea kwenye utawala wake.
Siku saba za maombolezo sio nyingi, tuache zipite siasa ziendelee, TL angeweza kubadili ratiba yake akasogeza mbele, Tuweke siasa pembeni kwenye mambo ya msingi..
Kwani kumpokea mpendwa wetu kuna husiana nini na maombolezo? Mbona mnachanganya vitu visivyokuwa na uhusiano?Hekima na busara ni jambo muhimu sana.
Rais ameshatangaza maombolezo ya 7days, ni vyema tukatii hili, BWM alikuwa ni Rais wa JMT kwa miaka 10 ni vyema tukampa heshima yake kwa kututumikia pamoja na yote yaliyotokea kwenye utawala wake.
Siku saba za maombolezo sio nyingi, tuache zipite siasa ziendelee, TL angeweza kubadili ratiba yake akasogeza mbele, Tuweke siasa pembeni kwenye mambo ya msingi..
Hata mi nilidhani ni masihara[emoji848]Daaah,anakuja kweli nilijua utani utani kumbe kamaanisha
Huo msiba in wa nguruwe wa lumumbaToo bad, hatopata kiki aliyokuwa anaitegemea.
Habari ya taifa kwa sasa ni Hayati Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Right now Lissu is a footnote.
Wajumbe wamemtenda?Hivi uligombea ubunge kwa ticket ya ccm ukakosa? Mbona u turn Kali
Maombolezo yana athirika vipi na kumpokea mtu wako umpendae? Mbona tunakuwa mabwege namna hiyo nchi hii?Hekima na busara ni jambo muhimu sana.
Rais ameshatangaza maombolezo ya 7days, ni vyema tukatii hili, BWM alikuwa ni Rais wa JMT kwa miaka 10 ni vyema tukampa heshima yake kwa kututumikia pamoja na yote yaliyotokea kwenye utawala wake.
Siku saba za maombolezo sio nyingi, tuache zipite siasa ziendelee, TL angeweza kubadili ratiba yake akasogeza mbele, Tuweke siasa pembeni kwenye mambo ya msingi..
Wewe unajuaje kama alikuwa ni rafiki binafsi wa Mkapa?Anaenda kwenye Msiba wa Nani??