Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani


2015 I told you! The effect of Willibrod Slaa Ambassador will be seen in the 2020 election.
Now here you are!
 
maswali mazito haya duuu! haswa kuachiwa na kuapishwa! huu mchongo mzima una baraka zote kutoka juu
Hiyo ni rushwa kabisa, kumfunga mdomo..Kwanini umnyime mtu haki yake kumshikilia muda wote huo bila kosa halafu in less than 48 hrs anaapishwa kuwa mbunge??? HII NI RUSHWA KABISA..
 
masikini mataga mmeacha vinywa wazi mlidhani chadema watakubali kuzama na wasailiti mwisho wasiku mmebaki na bosheni [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mkuu wewe ni kidagaa tu hapo chadema,

Hujui chochote kinachoendelea
 
NCCR-Mageuzi ilikuwa hivi hivi 1997.Ngoja akina Halima waje na vielelezo vya kiofisi halafu utashuhudia Mnyika atakavyopata kesi ya udhalilishaji wa wanawake ndani ya chama.Bawacha inakwenda kumshitaki Mnyika
 
Jazba hazitawasaidia...jiunge na washindi...unga mkono juhudi...maendeleo hayana vyama...Mdee na wenzake wameenda bungeni na watakula kuku...Kibaraka Lissu amekwenda ulaya...wapiga kelele mitandaoni wameachwa solemba...
 
Ubavu huo Mnyika hana maana na yeye ni mchumia tumbo tu, kama kweli anaweza angejihudhuru yeye maana amedharauliwa.
Kujiuzulu kwa sababu ya makosa ya wengine ni kukosa utambuzi,,, yeye asimamie mamlaka yake basi na kuhakikisha utaratibu na sheria vinafuatwa! Huko ndiko kuonesha ukomavu wa kiongozi
 
Maneno ni matatu tu ndugu mnyika usirembe FU...KU...ZA hao political prostitutes
Dah...wakupitisha hayo nani? Dijei? ...Mburaaa.... watu wanatafuta ELA wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Naona kama kawaida malalamiko ni kwa mfumo.

1.Ina maana Halima Mdee ambaye pia ni mjumbe wa hiyo kamati kuu hajui utaratibu wa kuwapata hao wanawake?

Hajui Kamati kuu huketi? Haujui msimamo wa chama chao kuhusu hilo ilhali jana yake tu "Mbelgiji" katamka wazi?

2.Ina maana hata mawasiliano ndani ya CHADEMA hayapo? Watu wanapokea barua "iliyogushiwa" tu na kwenda Dodoma bila kushirikisha chama ilhali ni jambo linalokinzana na msimamo wa chama chao?

3.Huu utaratibu wa kuita watu wajieleze mbona kwa wengine huwa hautumiki ilhali kumbe upo kikatiba?

Kwa maelezo ya Mnyika, either kuna mgawanyiko kuhusu viti maalumu au wameamua tu kutuletea utetezi wa kitoto kuzugia.

BTW:Last time,Mbowe alikata baadhi ya majina yaliyopitishwa na kamati kuu akapachika vimada na wachaga wa DSM.

Ngoja tuone hii Movie itaishaje.
 
Kujiuzulu kwa sababu ya makosa ya wengine ni kukosa utambuzi,,, yeye asimamie mamlaka yake basi na kuhakikisha utaratibu na sheria vinafuatwa! Huko ndiko kuonesha ukomavu wa kiongozi
unawezaje kuwa kiongozi wa taasisi ya watu wasiofuatautaratibu na kujiamlia mambo watakavyo bila kukujulisha wala kukushirikisha huoni kama ni dharau kubwa hiyo? aeendelee tu kuchumia tumbo sio dhambi.
 
Mmepigwa za uso na Mnyika mnashangaa !! Kudadeki zenu !
Nyie ni wajinga kabisa. Na wajinga kama nyie ndio Mbowe anawafurahia kweli.

Subiri uone kama kina Mdee watafanywa lolote ndio utajua hujui.

Na kama unafikri kina Mdee wamekurupuka basi wewe ni mjinga kiwango cha lami
 
Mkuu mengi ya maswali yako hapo juu hayapaswi kujibiwa na Mbowe au Mnyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni bora asingefanya hiyo Press maana imeonyesha jinsi gani CHADEMA ilivyo na mfumo mbovu wa uendeshaji na mawasiliano (kinaendeshwa kama kibanda cha Tigopesa)
Maswali muhimu
1. Ni kweli CHADEMA haikujua kuwa wanachama wake zaidi ya 10 wangeapishwa?
2. Nini msimamo wa CHADEMA kuhusiana na wanachama hao?
3. Kutotambua matokeo ya Uchaguzi mkuu wa October ni maneno ya viongozi au msimamo wa Chama?
4. Je mwenyekiti hajui chochote kuhusiana na swala hili?
 
Ndo maana katibu mwenezi anakiita chama cha mtu kile.

Wao hawajapata ubunge hvyo hawataki na wenzao waulate. Je wanavyodai uchaguzi wa mwaka huu ulivyofanyika Je ni tofauti na zile zingine ambazo walikataa kuutambua wakati wamepata ubunge na kuendelea kuapishwa. Hii yote sababu ya maslahi yao ya hela...
 
Chama ni mali ya umma hamuwezi kikundi fulani kujiamria tuu.

Hawa wamama ni wa kuwapongeza sana, niwapenda amani na MAENDELEO ya nchi hii na wazalendo wa kweli.
 
Wakuu sina mengi ya kusema maana roho yangu i dhaifu kiasi cha kufa.

Jana tulishuhudia uapishwaji wa wabunge viti maalumu was CHADEMA pale Dodoma, moja ya suala la kushitua ni kiongozi wa Wanawake hao kulitangazia bunge na Taifa kwa ujumla kuwa anamshukuru Mwenyekiti Fremon Mbowe kwa kufanikisha jambo hilo.

Hapa ndipo ulipo uasi wa Mbowe.

1. Amemwachia Katibu Mkuu kuzungumzia swala nyeti la uvunjifu wa katiba huku yeye kama kiongozi mkuu wa chama akiwa amejitenga.

2. Ametanjwa na Halima Mdee kama mtoa baraka.

3. Amekuwa kimya tangu suala hili liwe wazi.

Don't trust anybody. Nchi imejaa mamluki kila sehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…