Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

Dada zako walidhalilishwa kwa kupenda
Yule nusrat kakaa jela na kufanywa mbaya na askari wa CHADEMA?
Acha umbea mtoto wa kiume
[/QUOTE

Usiwe na chuki na maneo ya kudhalilisha mama zetu,dada zetu,kama hutosimama kukemea tabia za uzinzi za viongozi wa CHADEMA ipo siku atadhalilika mama yako au dada yako.Tuungane tukemee hizi tabia
 
Endeleeni kufurahiya maigizo yanayoendelea tz, ndo maana mnaitwa ng'ombe mliokatwa mikia na ubongo wenu umetolewa vichwani mwenu, ni lini Jobbb akapiga picha na wachadema????
 
Waliapishwa pengine wametumia umafia kufika hatua hiyo na kukataa udhalilishaji,sasa tuone kama serikali itakubali wadhalilishaji wawanyanganye wanawake wazalendo ubunge wao wa halali kwa kukataa matakwa ya wahuni wachache.
Kazi kwa serikali
 
Wakuu sina mengi ya kusema maana roho yangu i dhaifu kiasi cha kufa.

Jana tulishuhudia uapishwaji wa wabunge viti maalumu was CHADEMA pale Dodoma, moja ya suala la kushitua ni kiongozi wa Wanawake hao kulitangazia bunge na Taifa kwa ujumla kuwa anamshukuru Mwenyekiti Fremon Mbowe kwa kufanikisha jambo hilo.

Hapa ndipo ulipo uasi wa Mbowe.

1. Amemwachia Katibu Mkuu kuzungumzia swala nyeti la uvunjifu wa katiba huku yeye kama kiongozi mkuu wa chama akiwa amejitenga.

2. Ametanjwa na Halima Mdee kama mtoa baraka.

3. Amekuwa kimya tangu suala hili liwe wazi.

Don't trust anybody. Nchi imejaa mamluki kila sehemu.
Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyewe

Acheni upumbavu bwana.
 
Wakuu sina mengi ya kusema maana roho yangu i dhaifu kiasi cha kufa.

Jana tulishuhudia uapishwaji wa wabunge viti maalumu was CHADEMA pale Dodoma, moja ya suala la kushitua ni kiongozi wa Wanawake hao kulitangazia bunge na Taifa kwa ujumla kuwa anamshukuru Mwenyekiti Fremon Mbowe kwa kufanikisha jambo hilo.

Hapa ndipo ulipo uasi wa Mbowe.

1. Amemwachia Katibu Mkuu kuzungumzia swala nyeti la uvunjifu wa katiba huku yeye kama kiongozi mkuu wa chama akiwa amejitenga.

2. Ametanjwa na Halima Mdee kama mtoa baraka.

3. Amekuwa kimya tangu suala hili liwe wazi.

Don't trust anybody. Nchi imejaa mamluki kila sehemu.

Inawezekana,angalia tweets ya Mbowe.

2624063_IMG-20201125-WA0019.jpg
 
Bla bla mpaka muwaite kuwasilikilza yanini si muwafukuze uanachama wajiunge ccm
Mnajua sana hapo mnahadaa wananchi tu
 
Wakuu sina mengi ya kusema maana roho yangu i dhaifu kiasi cha kufa.

Jana tulishuhudia uapishwaji wa wabunge viti maalumu was CHADEMA pale Dodoma, moja ya suala la kushitua ni kiongozi wa Wanawake hao kulitangazia bunge na Taifa kwa ujumla kuwa anamshukuru Mwenyekiti Fremon Mbowe kwa kufanikisha jambo hilo.

Hapa ndipo ulipo uasi wa Mbowe.

1. Amemwachia Katibu Mkuu kuzungumzia swala nyeti la uvunjifu wa katiba huku yeye kama kiongozi mkuu wa chama akiwa amejitenga.

2. Ametanjwa na Halima Mdee kama mtoa baraka.

3. Amekuwa kimya tangu suala hili liwe wazi.

Don't trust anybody. Nchi imejaa mamluki kila sehemu.
sijui unawezaje kumtofautisha na hela, kaskazi na hela! hesabu zimepigwa tayari kisha kapangusa mdomo mkavuu kama siye yeye vile!!
 
Hizo ni shutuma tu lakini udhalilishaji haswa unafanywa na polisi je wajua mabinti wa ngapi wa kizanzibari wamedhalilishwa kwa kubakwa?
Nani amewahi kubakwa na mbiwe?
Acheni umbea watoto wa kiume
 
Hivi nyinyi kijani kibichi huwa Ni wazima kweli vichwani mwenu .Wewe Pimbi leo unatetea haki za binadamu kwa bandiko refu ?

Jiwe hakuwakata wanawake walioshinda kura za maoni akawapitisha wanaume walioshinda ? Hizo ndio haki za binadamu ? Mwana efuei hakushindwa na mwanamke akawa wa tano , Jiwe akakata mwanamke akamuweka mbongo fleva ?

Hizo ndio haki za wanawake ? Haki za wanawake CCM nchi nzima kuweka wagombea kumi na mbili tu wanawake nchi nzima? Tumia basi hata akili ya punda kuweka mzigo mgongoni bila kuuangusha .
 
Kwa mujibu wa tamko la Kimataifa kuhusu haki za Binadamu la mwaka 1948 ambalo lilibainisha msingi wa kutokubaguliwa kifungu cha (2)kinakariri
’kila binadamu ana haki sawa na uhuru bila kubaguliwa kwa misingi ya rangi utaifa jinsia lugha na itikadi za kisiasa’

Vile vile mkataba wa Kimataifa wa kutokomeza aina zote za ubaguzi dhidi ya wanawake wa mwaka 1979 unasisitiza kwamba
‘Ubaguzi dhidi ya wanawake ni ukiukwaji wa haki zao za msingi hususani haki ya kuheshimu utu wao na haki zao za msingi.’

Pia katika tamko la shirika la maendeleo kusini mwa Afrika SADC(2005) ambayo Tanzania ni mwanachama liliweka kiwango cha jinsia chini ya uwakilishi wawanawake kutoka kuwa asilimia 30%na baadae kupandisha hadi kufikia 5O%.

Kwa utangulizi huo hapo juu ni wazi kuwa jamii inapaswa kuelimishwa na kuoneshwa umuhimu wa wanawake kushiriki katika uongozi kutokana na umuhimu wa kundi hili ndani ya jamii na kupiga vita wale wote wanaotumia hila na nyadhifa zao kuwadhalilisha na kuwanyima haki zao wanawake.

Hivi sasa tatizo la udhalilishaji na rushwa ya ngono kwa wanawake kwenye vyama vya upinzani limekua kubwa kiasi cha kuwanyima fursa wanawake kushiriki katika uongozi ndani na nje ya vyama vyao. Ni wanawake wachache wanaoshiriki siasa nchini bila kukutana na vikwazo hivi kutokana na misimamo yao mikali ndani ya vyama vya upinzani.

Hii inapelekea ushiriki wa wanawake ndani ya vyama vya upinzani kuwa mdogo ukilinganisha na ushiriki wao ndani ya chama tawala Chama cha Mapinduzi (CCM).
Katika uchaguzi uliomalizika hivi karibuni,yapo mambo kadhaa ambayo yalifanyika ndani ya uongozi wa vyama vya upinzani yanayodhihirisha uwepo wa rushwa ya ngono na udhalilishaji mkubwa wa kundi hili muhimu la wanawake ndani ya vyama hivi.Miongoni mwa mambo haya ni kama yafuatayo:

1.Ucheleweshaji wa haki za wanachama wanawake
Baada ya uchaguzi mkuu wa Octoba 2020 Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilitakiwa kwa mujibu wa sheria kupeleka majina ya wanawake viti maalumu kuwakilisha chama na wanawake bungeni.Ucheleweshaji wa haki hii kwa wanawake waliostahiki umegubikwa na udhalilishaji na viashirishi vya rushwa ya ngono kwa wanawake waliostahili kupewa nafasi hizi.Mzozo unaoendelea hivi sasa ndani ya CHADEMA ni matokeo ya msimamo mkali wa wanawake waliokataa kudhalilishwa na viongozi wachache ndani ya chama.

2.Uteuzi ndani ya Vyama vya Upinzani
Ili uweze kugombea ndani ya Chama chochote ni lazima chama kikupitishe ndipo jina lako likubalike kwa ajili ya kugombea.Uteuzi ndani ya vyama vya upinzani kwa mwaka 2020 uligubikwa na usiri mkubwa na hujuma ambazo baadhi yake zilihusiha udhalilishaji mkubwa wa wanawake na rushwa ya ngono.Haya yaliwekwa pia wazi na Chama Cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) katika ripoti yake ya vitendo vya rushwa katika uchaguzi.

3.Gharama za uchaguzi
Kutokana na mfumo dume wa kurithi wa kiafrika ambao ulimpa mali mwanaume na kumnyima mwanamke ni wazi kuwa idadi kubwa ya wanawake wanaotaka kushiriki siasa kipato chao kinakuwa kidogo.Hivyo kuhitaji msaada ndani ya vyama au familia ili kumudu uchaguzi ambao unakua na gharama kubwa.Gharama za uchaguzi ndani ya Chadema zimekua zikitolewa kwa maamuzi ya viongozi wachache ambao wamekua wakitumia nafasi zao kutekeleza matakwa yao binafsi yakiwemo ya ngono na udhalilishaji wa wanawake.

4.Vitendo vya udhalilishaji katika uchaguzi
Viongozi wa juu wa Chadema wamekua wakiwatumia wanawake kwa kuwadhalilisha ili jamii na mataifa ya nje yaone kuwa Tanzania inawadhalilisha wanawake.Mfano,tukio la kutengeneza la kura za jimbo la Kawe ambalo lilipelekea Mh Halima Mdee kudhalilika kwa kujua kura zilizoletwa na waliotengeneza tukio na kuondosheka zililetwa na mgombea wa CCM.

5.Kuwatumia wanawake kuvunja sheria
Viongozi wa juu wa Chadema wamekua wakiwatanguliza mbele wanawake katika matukio mbalilmbali ya uhalifu kuwakabili polisi na kusababisha taharuki huku wao wakiwa nyuma,hii imepelekea mara kadhaa wanawake ndani ya vyama hivi kuanguka na kuvunjika mkono kutokana na matukio ya kutengeneza ya viongozi wao.
Zipo sababu nyingi zinazothibitisha udhalilishaji na rushwa ya ngono iliyokithiri ndani ya CHADEMA na umuhimu wa serikali kufanya uchunguzi juu ya tuhuma hizi kwa lengo la kuwalinda wanawake na jamii ya Kitanzania kwa ujumla.
Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyewe

Acheni upumbavu bwana.
 
Bla bla mpaka muwaite kuwasilikilza yanini si muwafukuze uanachama wajiunge ccm
Mnajua sana hapo mnahadaa wananchi tu
Tatizo katiba ya chama ndio inavyotaka,ukiwafukuza bila kufuata utaratibu spika atawabeba watalalamika hawakusikilizwa wataenda mahakamani,mahakama ni CCM kesi itapigwa kalenda hiyo huku wabunge wanaendelea na ubunge mpaka miaka mitano kesi haijaamuliwa,ili kuwayia aibu serikali na CCM angalau CDM wawe smart ijumaa sio mbali
 
Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyewe

Acheni upumbavu bwana.
 
Back
Top Bottom