Mo Dewji: Karibuni nitaikatia tamaa Simba

Mo Dewji: Karibuni nitaikatia tamaa Simba

Kinachohitajika ni mpango kazi wa muda mfupi, wa kati, na wa muda mrefu na gharama zake na wadau wenye weledi, huo mpango kazi lazima uainishe mapungufu ama changamoto zilizopita na jinsi ya kuzitatua na mfumu ulio wazi wa utendaji ili hata mwingine asipate ugumu wa kuenenda
Je si kweli kwamba yeye ndio anateuwa bodi ya wakurugenzi wanaomuwakilisha yeye kama muwekezaji? hata CEO yeye ndio anateuwa sio wale wa 51% maana wale wanafuata upepo tu. Mimi bado sijamuelewa kweli miaka 6 anasema mchakato bado lakini anawekeza, sasa anawekeza kama nani? share au mfadhili tu
 
Hebu tupeane eleimu kidogo transformation gani haijakamilika? sababu anateuwa mkuregenzi, ana kauli katika team ni kitu kilitakiwa kufanywa ili hiyo transformation ikamilike. Ni nini hasa kimapa malalamiko haya. tupeane elimu tu mimi nimeuliza tu kujuwa.
zaidi ya ile MoU ya kuweka 20b kwa 49% ya hisa, hakuna kinachoendelea....

infact hio 20b hajaweka bado, maana upande wa wenye 51% hakuna kinachoendelea.... nadhani hizi timu wenye nazo hawataki ziendeshwe kisasa!
 
zaidi ya ile MoU ya kuweka 20b kwa 49% ya hisa, hakuna kinachoendelea....

infact hio 20b hajaweka bado, maana upande wa wenye 51% hakuna kinachoendelea.... nadhani hizi timu wenye nazo hawataki ziendeshwe kisasa!
Hapa ndio nazidi kuchanganyikiwa, nilishawahi kumsikia kuwa pesa wameweka hata kukatoka watu kutaka kujuwa bank gani tena unasema hakuna kinachoendelea naomba utupe elimu ni kipi hicho kinachosubiriwa kiendelee. Vinginevyo hii ndoa inakaribia kufa kwa maoni yangu.
 
Huyu jamaa huwa ni mbabaishaji sana , kila kukicha kutishia watu, hili ndiyo tatizo la timu kumilikiwa na mtu mmoja! Ifike wakati sasa Simba waige mfano wa namna Yanga namna wanavyoendesha mambo yao, hawako perfect lakini Simba wana mengi ya kujifunza kutoka Young African SC.
Kunywa chochote hata sumu nitalipa mimi!
 
Rais wa heshima wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji 'Mo Dewji'kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema "Transformation ya Simba bado haijakamilika. huu ni mwaka wa 6. Karibuni ntakata tamaa"

Mohammed Dewji aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu Simba miaka minne mfululizo hadi alijiuzulu nafasi hiyo mnamo Septemba 21, 2021.

Wakati akitoa taarifa yake ya kujiuzulu alisema "Nimeachia nafasi hiyo lakini nitaendelea kuwa Simba mpaka siku ya mwisho, sijajiondoa kwenye Simba bado ni mwekezaji mimi kwa sasa mara nyingi sipo nchini Tanzania nakuwa nje"
Kichwa cha habari kingesomeka hivi; "MO aahidi kuikatia tamaa Simba".
 
Rais wa heshima wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji 'Mo Dewji'kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema "Transformation ya Simba bado haijakamilika. huu ni mwaka wa 6. Karibuni ntakata tamaa"

Mohammed Dewji aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu Simba miaka minne mfululizo hadi alijiuzulu nafasi hiyo mnamo Septemba 21, 2021.

Wakati akitoa taarifa yake ya kujiuzulu alisema "Nimeachia nafasi hiyo lakini nitaendelea kuwa Simba mpaka siku ya mwisho, sijajiondoa kwenye Simba bado ni mwekezaji mimi kwa sasa mara nyingi sipo nchini Tanzania nakuwa nje"
Mnaweza mkawa mnahangaika na kujiuliza kuh7su hizi posts zake za mpira, kumbe Privadinho sijui nani yule ndiye anaendesha accounts zake.
 
Back
Top Bottom