Bosspraise
Member
- Feb 10, 2020
- 98
- 74
Modern contemporary house plan
Do you need other samples ?
Check me on +255742892195 call text whatsapp
WE design and build your dream home
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safiView attachment 3046700View attachment 3046701View attachment 3046702
Modern contemporary house plan
Do you need other samples ?
Check me on +255742892195 call text whatsapp
WE design and build your dream home
Karibusafi
Baadhi ya wachora ramani nao ni changamoto, wengine wanatoa majengo ya ajabu kabisa! huelewi ilikuwa ni chumba, dining au nini, unashangaa kina milango pande zote.View attachment 3047968
View attachment 3047966View attachment 3047967NAJUTA KWANINI NILIJENGA BILA KUTUMIA RAMANI
haya ni maneno ya baadhi ya watu baada ya kujenga bila kutumia RAMANI
kamaa haujui umuhiku wa kujenga nyumba Yako Kwa kutumia RAMANI
hiii ndio yenyewe
👇👇👇
Umuhimu wa kuwa na Ramani ya nyumba Au jengo
Ramani hutoa hutoa maelezo ya kitaalamu , vipimo vinavyotakiwa kufatwa na mafundi na wahandisi wakati wa ujenzi wa nyumba Yako ...
Ramani Ina kurahishishia kujua mahesabu ya gharama zinazohitajika katika ujenzi wa nyumba Yako itakuasaidia kujua vifaa vya ujenzi ambayo unatakiwa kuandaa mfano tofali , kokoto , saruji n.k Ukidiriaji kiholela unaweza kusababisha kununua materials ya ujenzi mengi au kidogo
Ramani ya nyumba itakuasaidia kupata kibali Cha ujenzi kutoka mamlaka husika iliyo amriwa kutoka vibali vya ujenzi
Ramani Ina kupa muongozo namna ya kujenga mifumo taka katika nyumba yako wakati wa ujenzi kulingana na ukubwa wa nyumba
Ramani inakupa taswira ya usanifu wa jengo au nyumba Yako jinsi itakavyokuwa pindi umalizapo ujenzi wa nyumba
unataka Ramani ya nyumba Au ujenzi wa nyumba Yako. wasiliana na sisi zaidi. 0742892195
Hela sio kila kiongozi ndio mana tunategeamana huwezi kufanya kila kitu wewe mwenyewe ndio mana mana watu wanaenda shule kusomea hivo vitu huwezi ukawa mgonjwa ukqjitbiq mwenyewe lazima utaenda kwa daktariKinachojenga ni hela sio ramani
Kuna raha ya kuishi kwenye nyumba nzuri sio tu nyumba mkuuMuhimu ni kuhakikisha tu unapata faragha, hunyeshewi na mvua au kupigwa na jua. Hizo ramani zenu ni mbwembwe tu.
Ni kweli kabisa jitahidi kufanya kazi na watu smart kama sisi hahahaBaadhi ya wachora ramani nao ni changamoto, wengine wanatoa majengo ya ajabu kabisa! huelewi ilikuwa ni chumba, dining au nini, unashangaa kina milango pande zote.
Sawah karibu kiongozi unaweza kuni pm au wasilina na mimi tuweze kuyajenga whatsapp 0742892195 call text whatsappNahitaji ramani ya nyumba vyumba vitatu kimoja master, ila nyumba iwe ndogo
Kagoogle na wewe kiongozi google ni bure kabisaArchtect saivi ubunifu zero.....Wana google tu sasa nani asiyejua kugoogle
Okey mkuuUkuaji wa teknolojia umerahisisha upatikanaji wa ramani nyingi kwa wepesi.
Kwa kiwango kikubwa nyie watalamu na sisi tusio watalamu tunapigana vikumbo huko google na kwenye apps kadha wa kadha kudownload ramani hizo.
Nakutakia kila la heri katika kazi yako hiyo na Mungu akujalie kupata mkate kupitia kazi yako hiyo.