Modi kamchana live Puttin uso kwa uso bila kupepesa macho

Modi kamchana live Puttin uso kwa uso bila kupepesa macho

Una uelewa mdogo sana kuhusu Geopolitics.
Sera kubwa ya China ya mambo ya nje ya kutuuzia earphones, toothpicks, vitana, kuchukua tenda kubwa kubwa za kujenga barabara na vibarua kutoka kwao huku kampuni za wazawa wakitoa tu macho wewe ndio unaona sera bora ya mambo ya nje??

Inasikitisha kufurahia Africa kuwa dampo la bidhaa hafifu za wachina na sehemu za kujaza wachezesha kamari wa Kichina.
Ujamaa ni laana hakika.
Moja ya makosa makubwa alowahi kuyafanya hayati ni kuingiza hili taifa ktk ujamaa.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Kama Russia na China yanaongozwa na watu wenye akili basi US na Ulaya wanaongozwa na ma-genius.
U.S.A , China na Russia haya mataifa matatu yana ongozwa na watu wenye akili sana ni hivyo nilivyo weza kusema na hivyo ndivyo naweza kusema.
 
Una uelewa mdogo sana kuhusu Geopolitics.
Sera kubwa ya China ya mambo ya nje ya kutuuzia earphones, toothpicks, vitana, kuchukua tenda kubwa kubwa za kujenga barabara na vibarua kutoka kwao huku kampuni za wazawa wakitoa tu macho wewe ndio unaona sera bora ya mambo ya nje??

Inasikitisha kufurahia Africa kuwa dampo la bidhaa hafifu za wachina na sehemu za kujaza wachezesha kamari wa Kichina.
Ujamaa ni laana hakika.
Hiyo sio sera ya mambo ya nje ya China 😆. Acha kuongea vitu usivyo vifahamu.

: Sera ya mambo ya nje ya China ni kuto ingilia maswala ya ndani ya taifa husika.
 
Una uelewa mdogo sana kuhusu Geopolitics.
Sera kubwa ya China ya mambo ya nje ya kutuuzia earphones, toothpicks, vitana, kuchukua tenda kubwa kubwa za kujenga barabara na vibarua kutoka kwao huku kampuni za wazawa wakitoa tu macho wewe ndio unaona sera bora ya mambo ya nje??

Inasikitisha kufurahia Africa kuwa dampo la bidhaa hafifu za wachina na sehemu za kujaza wachezesha kamari wa Kichina.
Ujamaa ni laana hakika.
Ujamaa na Ubepari ni laana kwa watu wenye akili ndogo kama wewe.
 
Ujamaa na Ubepari ni laana kwa watu wenye akili ndogo kama wewe.
Hata marekani na ulaya ni dampo la bidhaa kutoka China😆 .jielimishe kijana China ni Giant hata kama una umia kuona ujamaa unauvua nguo ubepari ndio kwanza bado watoto wa Mao wanazidi kusonga mbele.
 
Hiyo siyo sera ya mambo ya nje ya China 😆. Acha kuongea vitu usivyo vifahamu.

: Sera ya mambo ya nje ya China ni kuto ingilia maswala ya ndani ya taifa husika.
Na hii sera inamfanya Mchina akubalike sana na kuwekeza kwenye mataifa ambayo Marekani na Ulaya wameyawekea vikwazo kwa sababu ya uvunjaji wa wanachokiita Demokrasia.

Yaani Mchina hata serikali yenu iwe inaua raia wake, hakuna uhuru sijui wa vyombo vya habari, hakuna uhuru wa kutoa maoni au sijui nchi inaendeshwa kidikteta wao hawadeal na hizo wanachotaka ni kufanya nawe biashara tu hayo mengine mtajua wenyewe

Huwa inawauma sana wazungu ila ndo sera zao zinawaponza

Chinese are very smart
 
Utakuwa mgeni kwenye nchi hii,
Huwaonagi wanadiplomasia wa Wachina na kofia za CCM kipindi cha uchaguzi??
Huwa huwaoni viongozi wa CCM wakikutana na balozi wa China??
Hiyo sio sera ya mambo ya nje ya China [emoji38]. Acha kuongea vitu usivyo vifahamu.

: Sera ya mambo ya nje ya China ni kuto ingilia maswala ya ndani ya taifa husika.
 
Wameona kuna respond kubwa inakuja wameaanza kuwatumia maswahiba wa Putin
 
Na hii sera inamfanya Mchina akubalike sana na kuwekeza kwenye mataifa ambayo Marekani na Ulaya wameyawekea vikwazo kwa sababu ya uvunjaji wa wanachokiita Demokrasia.

Yaani Mchina hata serikali yenu iwe inaua raia wake, hakuna uhuru sijui wa vyombo vya habari, hakuna uhuru wa kutoa maoni au sijui nchi inaendeshwa kidikteta wao hawadeal na hizo wanachotaka ni kufanya nawe biashara tu hayo mengine mtajua wenyewe

Huwa inawauma sana wazungu ila ndo sera zao zinawaponza

Chinese are very smart
Upo sahihi mkuu, huyo bwana anajifanya kujua na kuielezea vitu vya ajabu akiita ni sera za mambo ya nje sasa bidhaa zenye mid quality na sera wapi na wapi .

Hiki ulichosema ndicho sahihi China haidhubutu kuingilia maswala ya ndani ya taifa husika yenyewe inafanya biashara tu maswala ya kwenu yamalizeni wenyewe na hapa ndipo China inapata wafuasi wengi wa kibiashara kwa sababu maswala yenu ya ndani ya taifa lenu yanakuwa kwenye usalama mnao utaka nyie.
 
Upo sahihi mkuu, huyo bwana anajifanya kujua na kuielezea vitu vya ajabu akiita ni sera za mambo ya nje sasa bidhaa zenye mid quality na sera wapi na wapi .

Hiki ulichosema ndicho sahihi China haidhubutu kuingilia maswala ya ndani ya taifa husika yenyewe inafanya biashara tu maswala ya kwenu yamalizeni wenyewe na hapa ndipo China inapata wafuasi wengi wa kibiashara kwa sababu maswala yenu ya ndani ya taifa lenu yanakuwa kwenye usalama mnao utaka nyie.
Umeona mkuu

Hawa jamaa wana akili sana na ndio maana anapata deals nyingi sana ujenzi wa miundombinu na miradi mingine mikubwa

Kuna article moja nilisoma watafiti wanasema makampuni ya Kichina sasa hivi yanaongoza duniani kwa kupewa zabuni kwenye miradi mingi mikubwa hapa Afrika, Amerika Kusini, Asia Kusini na hata Middle East

Anaingia mikataba mingi ya kibiashara na hizo nchi

Na ndio maana Balance of Trade ya China si Marekani sio Ulaya wanaomfikia wana the most favourable BoT (Balance of Trade)
 
Utakuwa mgeni kwenye nchi hii,
Huwaonagi wanadiplomasia wa Wachina na kofia za CCM kipindi cha uchaguzi??
Huwa huwaoni viongozi wa CCM wakikutana na balozi wa China??
Umeona sasa jinsi ulivyo wa ajabu hao ni wanasiasa wa Chama cha kikomunisti cha China na wanachama wa Chama Cha mapinduzi [ awali kikiwa kimejengwa chini ya falsafa za ujamaa na kujitegemea ] wala hakuna maafisa wa China kuingilia mambo yetu ya ndani , Chama cha CPC kina uhusiano mpaka na MPLA, ZANU, chama Cha kikomunisti cha Urusi , Chama cha kikomunisti cha Vietnam , Chama cha kikomunisti cha Korea kaskazini, Chama cha kikomunisti cha marekani , Chama cha ANC , CPC wamejenga mpaka chuo Cha uongozi hapa Tanzania huku vyama karibia vyote vya ukombozi vya Kusini mwa Afrika vikiwa vina ruhusiwa kutoa wanafunzi kutoka katika matifa yao kuja kupiga shule hapa .

: Acha kuchanganya maswala ya CPC Kama chama uya ingize na serikali ya China.
 
Yaani hata Putin akisimamisha vita,Majeshi yake yalichofanya Ukraine kwa miezi 7 ni kama ameirudisha Ukraine miaka 50 nyuma.Miundo mbinu kama njia za reli,viwanja vya ndege,mabwawa ya maji,vinu vya kuzalisha umeme,nk vimeharibiwa vibaya mno! Madeni yanayotokana na silaha alizopewa na US N NATO usifikiri amepewa bure! Waukraine watalipa madeni kutoka kizazi kimoja hadi kingine.
Kwa kweli itachukua miaka mingi Ukraine kurudi kama ilivyokuwa kabla ya Vita.
VITA NI MBAYA MNO!
 
Umeona sasa jinsi ulivyo wa ajabu hao ni wanasiasa wa Chama cha kikomunisti cha China na wanachama wa Chama Cha mapinduzi [ awali kikiwa kimejengwa chini ya falsafa za ujamaa na kujitegemea ] wala hakuna maafisa wa China kuingilia mambo yetu ya ndani , Chama cha CPC kina uhusiano mpaka na MPLA, ZANU, chama Cha kikomunisti cha Urusi , Chama cha kikomunisti cha Vietnam , Chama cha kikomunisti cha Korea kaskazini, Chama cha kikomunisti cha marekani , Chama cha ANC , CPC wamejenga mpaka chuo Cha uongozi hapa Tanzania huku vyama karibia vyote vya ukombozi vya Kusini mwa Afrika vikiwa vina ruhusiwa kutoa wanafunzi kutoka katika matifa yao kuja kupiga shule hapa .

: Acha kuchanganya maswala ya CPC Kama chama uya ingize na serikali ya China.
 
Umeona mkuu

Hawa jamaa wana akili sana na ndio maana anapata deals nyingi sana ujenzi wa miundombinu na miradi mingine mikubwa

Kuna article moja nilisoma watafiti wanasema makampuni ya Kichina sasa hivi yanaongoza duniani kwa kupewa zabuni kwenye miradi mingi mikubwa hapa Afrika, Amerika Kusini, Asia Kusini na hata Middle East

Anaingia mikataba mingi ya kibiashara na hizo nchi

Na ndio maana Balance of Trade ya China si Marekani sio Ulaya wanaomfikia wana the most favourable BoT (Balance of Trade)
Hawa jamaa kwenye ulimwengu wa biashara na uchumi wame teka sehemu mbalimbali za dunia. Ni ngumu kuwa kwepa napenda namna wanavyo tanguliza ushirikiano wa biashara na uchumi mbele kuliko vita. Na uchumi na biashara hawa mabwana wanaweza sana kudos nyingi ziende kwa chama makini CPC wanajua kazi yao kama chama kwa China.
 
Umeona sasa jinsi ulivyo wa ajabu hao ni wanasiasa wa Chama cha kikomunisti cha China na wanachama wa Chama Cha mapinduzi [ awali kikiwa kimejengwa chini ya falsafa za ujamaa na kujitegemea ] wala hakuna maafisa wa China kuingilia mambo yetu ya ndani , Chama cha CPC kina uhusiano mpaka na MPLA, ZANU, chama Cha kikomunisti cha Urusi , Chama cha kikomunisti cha Vietnam , Chama cha kikomunisti cha Korea kaskazini, Chama cha kikomunisti cha marekani , Chama cha ANC , CPC wamejenga mpaka chuo Cha uongozi hapa Tanzania huku vyama karibia vyote vya ukombozi vya Kusini mwa Afrika vikiwa vina ruhusiwa kutoa wanafunzi kutoka katika matifa yao kuja kupiga shule hapa .

: Acha kuchanganya maswala ya CPC Kama chama uya ingize na serikali ya China.
 
Umeona sasa jinsi ulivyo wa ajabu hao ni wanasiasa wa Chama cha kikomunisti cha China na wanachama wa Chama Cha mapinduzi [ awali kikiwa kimejengwa chini ya falsafa za ujamaa na kujitegemea ] wala hakuna maafisa wa China kuingilia mambo yetu ya ndani , Chama cha CPC kina uhusiano mpaka na MPLA, ZANU, chama Cha kikomunisti cha Urusi , Chama cha kikomunisti cha Vietnam , Chama cha kikomunisti cha Korea kaskazini, Chama cha kikomunisti cha marekani , Chama cha ANC , CPC wamejenga mpaka chuo Cha uongozi hapa Tanzania huku vyama karibia vyote vya ukombozi vya Kusini mwa Afrika vikiwa vina ruhusiwa kutoa wanafunzi kutoka katika matifa yao kuja kupiga shule hapa .

: Acha kuchanganya maswala ya CPC Kama chama uya ingize na serikali ya China.
 
Back
Top Bottom