mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,565
- 2,944
Acha urongo kisutu hakuna taa,Lile eneo kuna mataa pale ila baadhi ya madereva wa magari ya kawaida wanaletaga dharau sana pale.
Unakuta taa nyekundu imewaka ikimaanisha magari ya kawaida yasimame kupisha ya mwendokasi yapite, lakini ukiangalia kulia na kushoto hakuna gari la DART basi wao wanatumia nafasi hiyo kuvuka
Kwani wakisema amefariki nini kitatokea. Kuna mantiki gani kuficha. Mbona ni raia wa kawaida tu.Wanabuy time tu ,hawezi kupona kwa ile impact.....wanatuliza tu kusiwe na kelele za raia mitandaoni ,wananchi wakishatulia ndiyo watatoa taarifa au umesahau kifo cha mchezaji aliyetokea Ghana Atsu?
Sasa kama kweli amekufa wangekuficha kwa faida gani? We unafikiri Kuna mtu anaeogopa kutoa taarifa ya kifo kilicho sababishwa kwa ajali iliyo wazi kama hiyo kwa uzembe wa watu wengine?Kwani wakisema ukweli kwamba amefariki kuna tatizo? Huo si ndiyo ukweli? Wewe kubamizwa vile ukutani na gari utatoka mzima?
Idiot, pale palipo tokea ajali ni highway sindio nilataka ni sikujibu lkn nimeona bora nikujibu tatizo la WATANZANIA wengi wanajifanya wanajua mambo mengi kumbe wapo usiku wa GIZA NENE.Kama mwendokasi ilikuwa ni express utalazimisha liende 20mph?
Halafu unazijua sheria za gari lililopo highway na gari linalotaka kuingia highway?
Hugo jamaa ana roho mbaya kama avatar yake.Sasa kama kweli amekufa wangekuficha kwa faida gani? We unafikiri Kuna mtu anaeogopa kutoa taarifa ya kifo kilicho sababishwa kwa ajali iliyo wazi kama hiyo kwa uzembe wa watu wengine?
Taarifa umeshaambiwa hakuna aliekufa pokea taarifa nenda hospital kamtambue majeruhi hakuna aliekatazwa usilazimishe tu kuwa kafa hata akifa huna utakacho faidikia nacho
Ndio angempelekea moto mzimamizima ubavuniKila sehemu wanamlaumi Dereva wa mwendokasi kumkwepa gari ndogo
Alikuwa na vitu kichwani huyo..si bure..Yule dereva wa Rav 4, anatakiwa apigwe marufuku kuendesha gari. Maana hana sifa ya kuitwa dereva.
twende tukaiokoeπNdege ndogo ishazama muda huu.
Hili nalo ni swali?Kwa pale nani mwenye kosa mkuu...? Dereva wa mwendo kasi au.. yule wa gari ndogo
Wafuasi wa kile kigagula Mange Kimambi fuse zimechomoka.Kwani wakisema amefariki nini kitatokea. Kuna mantiki gani kuficha. Mbona ni raia wa kawaida tu.
Hiki ndicho ningekifanya, ningemalizana nae tuSeriously unataka bus liende 20kph! Unaijua 20kph lakini? Wewe kama dereva unaweza kuendesha 20kph? Kwani hilo bus la mwendokasi lilikuwa speed kubwa ngapi? Mimi namshangaa tu huyo dereva wa mwendokasi kuhatarisha maisha ya watu wengi kwasababu ya mpuuzi mmoja. Angemburuza tu kwenye njia yake bila kukwepa tusingepata usumbufu huu.
Sasa wewe unabishana na hospitaliMh mbona wengine wanasema amesagika pale pale. Anyway Mungu hashindwi kitu.
Alikamatwa?Kwa ajali ile nafasi ya kupona kibaolojia ni asilimia 1% nje ya hapo Nguvu za Mungu ziingilie kati uhai wake.. kwenye ajali ile dereva wa RAV 4 ndiye ana hatia ya kujibu duniani na mbinguni.. ile ngoma ya kwake na uzao wake wote..
Nishaelewa Dr Matola PhDHili nalo ni swali?
Mkuu ungefuatila mtiririko tulioanza nao Mimi n huyo niliyem quote ungeelewa Kwamba Mimi na wewe tuna maoni yanayofanana.Sasa kama kweli amekufa wangekuficha kwa faida gani? We unafikiri Kuna mtu anaeogopa kutoa taarifa ya kifo kilicho sababishwa kwa ajali iliyo wazi kama hiyo kwa uzembe wa watu wengine?
Taarifa umeshaambiwa hakuna aliekufa pokea taarifa nenda hospital kamtambue majeruhi hakuna aliekatazwa usilazimishe tu kuwa kafa hata akifa huna utakacho faidikia nacho
Kuna watu wakishakula matango pori ya mange huwaambii kituπππWafuasi wa kile kigagula Mange Kimambi fuse zimechomoka.
Ameshawadangaya ana video ameona akikata roho, kuna mijitu mipumbavu sana.
Huwezi jua, wengine tunatimba town wenyewe hatuna anaetujua.Nashukuru kwa taarifa,maombi ya wengi yamesikika bado anapumua hata kama hajitambui.
Ila ndo hawajamtambua hadi kumsema unknown....!!!!
Jamani, hakuwa hata na kitambulisho, simu pia ilipasuka pasuka.....
Kwenye ile picha aliyolazwa chini baada ya ajali anaonekana kwenye mfuko wake wa suruali kulikuwa na kitu kimetuna.....
Najaribu kuwaza kama amgekuwa na trace yoyote ili kupata hata majirani wa mahali alipokuwa anaishi.....πππ
Hivi hapa Dar, hakuna mtu ambaye aidha ndugu au jirani hamjamuona kwa siku mbili tatu hizi? Mwenye rangi na kimo kile?
Au hata yawezekana alitoka mkoani....
Pengine hakuaga.....πππ
All in all, natumai anapata huduma sahihi chini ya uangalizi wa serikali maana hakuna wanaomfahamu waliojitokeza.
Hata waumini wenzie wa dini kama alikuwa muumini..... hata kama alikiwa machinga, machinga wenzake wangejitokeza iwapo wangefahamu ni yeye....
Until then, hali na nia ya kusaidia walio nyuma yake bado ipo, japo kibaba cha unga wa siku moja, kutoa ni moyo hasa kwa wahitaji....
Kuna wazo linanijia labda hana wanaomtegemea.... alikuwa anaishi solo....π€·ββοΈπ€·ββοΈπ€·ββοΈπ€·ββοΈ
Kikubwa nia inatoka moyoni, God knows more πππ
Namuombea afueni njema na ya haraka.
Huwezi jua, wengine tunatimba town wenyewe hatuna anaetujua.
Labda alikua solo ila tusubiri atajulikana. Mungu amuweke salama.