MOI watoa tamko kuhusu uvunjifu wa maadali uliofanywa wodini. Mgonjwa aomba radhi

𝐀𝐭𝐡𝐚𝐫𝐢 𝐳𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐰𝐚𝐳𝐢 𝐡𝐢𝐳𝐨
 
Hapa umechanganya vitu viwili. Kuna mambo sote tunayafanya na ni halali kama mapenzi japo ni muhimu kujuwa unayafanyia wapi au hali ya kuonesha upendo sote tunafanya shida tu sehemu gani lakini yako mambo hayakubaliki na hayafanwi na watu wote ni kama mfano uliotoa kukojoa hovyo barabarani na mengine.
 
Hanna cha wivu wala nini sema watu mnaendekeza ujinga kila sehemu...hamjui sheria na taratibu za hospitalini? Mnajitoa ufahamu kwa kutetea ujinga. Pumbavu sana hii if ya kizazi hiki
Swala sio sheria na taratibu, toa ujinga wako hapa. Kama sheria na taratibu zinafuatwa nchi hii kusingekuwa na mzozo wa DP World.

Waliotajwa na CAG wote wangekuwa selo. Kwanini sheria ifuatwe kwenye mambo ya kijinga tu yahusuyo raia ila watawala ya kwao yanafumbiwa macho?
 
Aondolewe haraka ni mshenzi. Mtu anapata wapi nguvu ya kufanya umbeya na uzandiki kama anaumwa kweli? 😂 😂 😂
Kibaya zaidi anafanyia uzandiki mgonjwa mwenzake haya ndo machawi sehemu za kazi Sasa mkiwa mmeajiliwa sehemu na mzandiki kama huyu kazi itakuwa shughuli
 
Kibaya zaidi anafanyia uzandiki mgonjwa mwenzake haya ndo machawi sehemu za kazi Sasa mkiwa mmeajiliwa sehemu na mzandiki kama huyu kazi itakuwa shughuli
Hahahah yani uchawi full. Bongo kwa uchawi na wivu tuna 100%!!!

Mtu ukionekana una enjoy maisha tu lazma uletewe zengwe yote hio ni wivu tu. Utarogwa tu bila sababu ili tu usiendelee kuinjoy 🤣

Ndio yale yale unagonga mpenzi wako kwenye gari yako anatokea mtu anawagongea vioo.
 


Tatizo lipo kwa aliye record video, jinga kabisa. Hayo ni maisha ya watu. Umbea tu usio maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…